Rais wa klabu ya Al Nassr ya nchini Saudi Arabia Bw. Al Muammar amesema anajuta sana kumsajili mshambuliaji Cristiano Ronaldo na anasema kumnunua mchezaji huyo ni moja kati ya matukio mawili ya kitapeli ambayo amewahi kufanyiwa maishani mwake.
Hii imefuatia baada ya klabu ya Al Nassr kutolewa kwenye kombe la ligi nchini Saudi Arabia.
Hii imefuatia baada ya klabu ya Al Nassr kutolewa kwenye kombe la ligi nchini Saudi Arabia.
Al-Nassr president slams Cristiano Ronaldo as he regrets signing the Portuguese star
Cristiano Ronaldo, who joined the Saudi Arabian club Al-Nassr during the off-season, has continued to be a subject of conversation for fans. According to El Desmarque,
www.mundodeportivo.com