Nimesema makala ya Gazeti la mwananchi unayosema CRDB walifungua Tawi chato Kwa kulazimisha na magufuli na mara baada ya kumfariji kwako tawi walilifunga.
Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB? Ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na yakisasa zaidi. Sasa Kwa kuwa Gazeti la mwananchi ya jana linasema CRDB ilifunga tawi lao mara Magufuri kumfariji, na wao kuka a kimya. Inaonyesha wanakubalina na mauudhui ya uwongo ya gezeti la mwananchi na hivyo kukubali kuwa CRDB inashirikiana na Gazeti la mwananchi kuchagua Magufuri..
Haijulikani Kwa faida ya nani
Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB? Ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na yakisasa zaidi. Sasa Kwa kuwa Gazeti la mwananchi ya jana linasema CRDB ilifunga tawi lao mara Magufuri kumfariji, na wao kuka a kimya. Inaonyesha wanakubalina na mauudhui ya uwongo ya gezeti la mwananchi na hivyo kukubali kuwa CRDB inashirikiana na Gazeti la mwananchi kuchagua Magufuri..
Haijulikani Kwa faida ya nani