Point less
Senior Member
- Jun 24, 2020
- 194
- 98
Nilikua sijawahi ongea kipind cha darasani na nilikua nikiogopa wasichana sana,ila adi saivi bado naogopa wasichana
nakumbuka nikiwa la std 7, afu ndo nilikuwa kati ya top 5 wanaotegemewa kubeba bendera ya shule.
Tukafanya mitihani, nikapata inglish 16% walimu walipagawa wakaniita ofisini wananishambulia wanataka kunichapa. Ile kuniuliza nimepatwa na nini.
Nikawajibu, Nimerogwa.
Ilibidi waniache maana nilikuwa nalia kama mfiwa.
aisee nmecheka balaa... kweli kahawa ya njano ulitisha sana kwahyo wazazi walivojua ikawaje baadaeTulizinguana na kiranja mmoja mnoko sana yanii(labda ndo mana sa hivi ni afsa pale k/nyama) ...Akanchomea kwa displini masta,nkapewa kipande nchimbe shimo urefu wa yule kiranja...nkachimba for five days(nalegalega nsiingie klas). Sasa ule mchanga nlouto nkatengeneza kama kaburi na nkatafuta msalaba nkaandika jina lake nkauchomeka..nkaenda class, kama baada ya nusu saa tukaskia yowe kubwa uuuuuuuuwiiii jamani "kahawa ya njano" kaniuaaaaaaa.... Basi class zote zilizoskia zikatoka pamoja na walimu....
Kilichofuata ni SPAA na nlivorudi jina likaandikwa BLACK BOOK na viboooko vingi sana..
.na baada ya muda wakagundua tena mzazi nliemleta nimemnunua(mzee mmoja mishentown,)ambaye kwenye sekeseke lile alintoroka...
Ndo ukawa mwisho wangu pale kwenye ile shule ya KIKATOLIKI
pole sana...Kuna jamaa alikua kani udi kidato Shule moja kule iringa, maarufu kama Nyomo guy yani ni mtemiiii balaaa, pande moja la mtu, na mm that time ndo kwanza Nipo form 1 alinishika kola ya shirt yangu, mm bila kumfaham nkampayukiaa “we kaka vipii” aisee alinikata jicho balaaa. Nkanyweaa bas kuja kufatiliaa kumbe alikua anantafuta anifahamu kisa bwenini kwao huko natajwaa na wahuni kila leoo
Nilkua na matatzo ya kusikia, bas siku wkt natembea DH npo stejini kule juu akatokea mvulana mmoja maskini aliniita akachokaa mm sina Habar. Nxt day naingia class nasikia naitwa Binti kiziwi nilmtafuta alientunga hilo Jina kuja kumpataaa namkuta jamaa mwenyewe mweusi tiiii nkamwambia acha dharau we black mambo, alinuna mwaka mzima but tukaja kua good friends ad sasa hivi.
A level Nilhama Shule from Moshi to Zoo (iringa girls) siku ya kwanza nareport dadeki nakuta form6 wanachapwaa stick za maana Yan wadada wanagalagala chini aisee nilmshka mama mkono nakazana kuhama na hii Shule, aiseee cjawah kuenjoy life ya pale zoo hata kduchuu.
Kuna siku kipindi cha mfungo wa ramadhan pale zoo Muslims huwa tunajipikia viaz. Ss hyo week kukawa na kamata kamata ya simu by this time Nipo form6. Kumbe form 5 wakishirikiana na baadh ya form6 walikuwa na mpango wa chnchn kumcharaza mwl yyte atakae kuja kukamata simu aisee Mwl Nazareth alicharazwaa gizani Ile kapata upenyo katorokaa basi nusu saa hii Polisi cjuiii ffu hawa hapa wakwanza kubondwa virungu ni sie Muslims maana tulkua karbu tu jmn nililiaaa mm dah hii shulee sutaisahauuu
Yaan hii dunia we acha tu. Wazazi walinisusa kwa mwaka mmoja..nilikua kdato cha nne ko nkaenda kufanya mtihani tu...advance nilijipeleka mwenyewe..aisee nmecheka balaa... kweli kahawa ya njano ulitisha sana kwahyo wazazi walivojua ikawaje baadae
hahahaha bweni gani hilo mwongozo au mapinduzi.Karatu high school..... Muda wa kulala Kuna jamaa alikuwa anatoa ushuzi balaa siku ya makande sasa siku moja alijisahau akawa amazungushia kitanda chake Na shuka Ile kutoa ushuzi harufu ikamzidia ndani ya shuka jamaa akatoka nduki...toka siku hiyo alikoma tabia hiyo
ii ii
Jiteute sio? Wapi mkisiMiaka 90s Jitegemee
mkifugua shule wiki nzima ni gwaride na kwata kwa kwenda mbele
Jiteute sio? Wapi mkisi
Kipingu alikuja kua headmaster wa makongo sec years aheadDuuh, huyo simfahamu kwakweli
Mimi ni Mhenga wa kipindi cha Colonel Massawe, Captain Kipingu, Major Ngajua kama unawafahamu
Kipungu alienda kuianzisha Makongo sec kwa maombi ya JWTZ baada ya mafanikio ya Jite(JKT)Kipingu alikuja kua headmaster wa makongo sec years ahead
Haha mimi piah nimmoj wap kabla disco kale ka wik upol kama wote ili nipate nafasi ya kucheza na manz mzurMkuu Invisible unanifurahisha lakini ndio ukweli wenyewe. Disco likipigwa na mademu jamaa wanapagawa wiki moja kabla.