Divine...
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 1,615
- 3,117
😂😂😂😂😂Haki nataman ingekuwa mchana niachie cheko kubwa khaaa watu mna matukioTulizinguana na kiranja mmoja mnoko sana yanii(labda ndo mana sa hivi ni afsa pale k/nyama) ...Akanchomea kwa displini masta,nkapewa kipande nchimbe shimo urefu wa yule kiranja...nkachimba for five days(nalegalega nsiingie klas). Sasa ule mchanga nlouto nkatengeneza kama kaburi na nkatafuta msalaba nkaandika jina lake nkauchomeka..nkaenda class, kama baada ya nusu saa tukaskia yowe kubwa uuuuuuuuwiiii jamani "kahawa ya njano" kaniuaaaaaaa.... Basi class zote zilizoskia zikatoka pamoja na walimu....
Kilichofuata ni SPAA na nlivorudi jina likaandikwa BLACK BOOK na viboooko vingi sana..
.na baada ya muda wakagundua tena mzazi nliemleta nimemnunua(mzee mmoja mishentown,)ambaye kwenye sekeseke lile alintoroka...
Ndo ukawa mwisho wangu pale kwenye ile shule ya KIKATOLIKI