cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,653
No one is safe kwenye hii corona imagine Boris Johnson,mwana mfalme Prince Charles aliupata ndo sisi aisee.
Ukisema at personal level utajichunga how about community ambayo haijali hzo tahadhari, pia nchi nyingine ziki control corona ujue Watanzania tutaanza kubaguliwa, na hao watalii wagome kabisa kuja kisa hatukuchukua serious measures?
Ni vizuri kuanza kuchukua serious measures honestly
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisema at personal level utajichunga how about community ambayo haijali hzo tahadhari, pia nchi nyingine ziki control corona ujue Watanzania tutaanza kubaguliwa, na hao watalii wagome kabisa kuja kisa hatukuchukua serious measures?
Ni vizuri kuanza kuchukua serious measures honestly
Rais yuko safe (at least that is what he thinks).
Rais hana watu wa kumshauri, sidhani hata kama anao huwa anapokea ushauri.
Tuendelee kupambana at personal level, ila at National Level ni tatizo. Imagine hali ilivyo Dar lakini bado watu wanasafiri kwenda mikoani bila kizuizi.
Sent using Jamii Forums mobile app