Couples za JF ni hizi...!

Couples za JF ni hizi...!

ha ha ha ha ha ha!! Charity nitake radhi kwanza.

ITV niliachaga kuangalia Tangu ilipoisha Ile Tamthilia ya second Chance!!
Sasa ulikuwa wapi kuona habari za michezo?ITV tu ndio hawakuonyesha.au na wewe ni mdumisha mila?
 
Ni wanafunzi wa dini...Yaani kama unaupokea ukristu katika hali ya utu uzima ni lazima upitie mafunzo ya ukatukumeni, ndo hatimaye unapokelewa katika kanisa..Hii ni kwa mujibu wa madhehebu ya RC!
Utawajua tu kwa maelezo yao!!
 
NL, FL1, bht,...........

Come april 11........tusikiumbiane tu

Charity thanks for the back up suggestion, but no thanks kwa sababu U know what will happen,

nikirudi kwen mada, MJ1 and kaizer....tupo usingizini watoto msisumbue......bht please ufate unga mashine foleni imeshapungua kule...

lini tumeanza kwenda mashine...?? tutanunua wa azam leo sichezi mbali....
 
Quote:
12n2_01.gif



1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake
Nasikia wenye sifa kama hizi ni wepesi kwa kumegwa nje ya ndoa, kwa huyu ni vipi?
 
The Following User Says Thank You to Kaizer For This Useful Post: Next Level (Today)


Huyu mtu kafufukuka?

.......ningali pamoja nanyi.........
icon10.gif
icon10.gif
!
Currently Active Users Viewing This Thread: 25 (9 members and 16 guests) Chrispin*, Ama, Charity+, Chongowela, Kimey, king1m, Magezi, MwanajamiiOne, Next Level

Huyu Hommie wa bwana harusi kashatoka gesti. Mbona hachangii sredi? Au hangover?
.....he!he!he! ''Moshi'' unagoma kunyooka.....kila tukipiga kura na kuchoma vikaratasi moshi unapinda......Pope hajapatikana hapa....so bado nipo secret room, sema washrooms kuna internet, so ikabidi nichepuke nipate chai kidogo hapa.......
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
!!

KWARESMA HII!kafunga kila kitu😀

....hommie refer hapo juu......Pope hajapatikana bado huku........uchaguzi mgumu sana........
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
!!!
 
NL, FL1, bht,...........

Come april 11........tusikiumbiane tu

Charity thanks for the back up suggestion, but no thanks kwa sababu U know what will happen,

nikirudi kwen mada, MJ1 and kaizer....tupo usingizini watoto msisumbue......bht please ufate unga mashine foleni imeshapungua kule...


...he!he!he! mpwa kwani kulikoni April 11? ....gozi nini? ss huwa sitaratibu zetu kuweka mpira kwapani mbona?.....kandambili ndo zao or sorry ...zenu......
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
!!!
 
Wanajukwaa,
Jana kumetundikwa thread moja, HII-HAPA, ambayo muwasilishaji anayeenda kwa jina la Pearl alieleza anavyoota sifa za wadau mbalimbali wa hapa ndani jinsi walivyo kwa hisia zake na kwa kusoma mabandiko yao!!..mfano, (nanukuu):

na wengine weengi walioorodheshwa!

Swali: Je JF ingelikuwa ni SAYARI , ni nani na nani hapo wanakubaliana KWA SIFA na HADHI zilizobuniwa, kuwa couple?...

naona hii thread tuiupdate....mambo yameongezeka humu jukwaani......hali ni tete kiujumla
 
naona hii thread tuiupdate....mambo yameongezeka humu jukwaani......hali ni tete kiujumla

Preta and Nyani Ngabu............... hakuna kulala hata kama hujala
 
Preta and Nyani Ngabu............... hakuna kulala hata kama hujala

NN atapata heart attack tu kwa theory ya kule kwamba unachofantasize ukikiona live unakuwa mpoole kabisa..Preta apa makeke tu....mwenyewe ana aibuuuuuuuuu:tape::tape:
 
NN atapata heart attack tu kwa theory ya kule kwamba unachofantasize ukikiona live unakuwa mpoole kabisa..Preta apa makeke tu....mwenyewe ana aibuuuuuuuuu:tape::tape:

Hebu acha ku playa hate bana. Preta ni top modo wa ukweli na charm yake ni ya kweli....

Sasa wewe nenda maktaba ukajifunze zaidi kuhusu isimu linganishi (comparative linguistics), sarufi elekezi (prescriptive grammar), na sarufi zalishi/fafanuzi (generative grammar) Lol :smile-big:
 
Wanajukwaa,
Jana kumetundikwa thread moja, HII-HAPA, ambayo muwasilishaji anayeenda kwa jina la Pearl alieleza anavyoota sifa za wadau mbalimbali wa hapa ndani jinsi walivyo kwa hisia zake na kwa kusoma mabandiko yao!!..mfano, (nanukuu):

na wengine weengi walioorodheshwa!

Swali: Je JF ingelikuwa ni SAYARI , ni nani na nani hapo wanakubaliana KWA SIFA na HADHI zilizobuniwa, kuwa couple?...

Una uhakika na usemalo juu ya Maxence? Ninamfahamu, ametulia, ni mchapa kazi, tena ameoa na anampenda sana mke wake. Sasa huu uvivu, uchonganishi na kupenda wake za watu IMETOKA WAPI?
 
NN atapata heart attack tu kwa theory ya kule kwamba unachofantasize ukikiona live unakuwa mpoole kabisa..Preta apa makeke tu....mwenyewe ana aibuuuuuuuuu:tape::tape:

Yaani mimi Preta kanikamata mbaya hata simchoki I wish nimwone maeneo ya fukwe za mbezi anaonekana ni bonge la Lady na mwelewa. Ila siwezi kuwa naye maana ntampenda kupitiliza nikawa Bushoke then akantesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom