Couples za JF ni hizi...!

Couples za JF ni hizi...!

kwa hii verse nimamini Mungu anajibu maombi shemeji,.....

so tuendelee kuwa na jofu hata kama anachafua hali ya hewa na mirangi myekundu?

Hehehehehee.Jifunze uvumilivu.Wakatekumeni huwa wana uvumilivu sana
 
Hehehehehee.Jifunze uvumilivu.Wakatekumeni huwa wana uvumilivu sana
WAKATEKUMENI WOTE wapo simba😀😀😀
yanga zao kulia lia kila siku!tutasikia kesho hatima ya kocha wao
 
Bwana acheni bathi kuikimbiza hii Sredi kiivi natumia ungo siipati PJ njoo ujaribu kuwa monita aaaaaaaaaaaaaggggggggggggggh sredi
 
Ngoja nikakamate moja baridi hapa nikirudi Mod amesha klozi hii Sredi
mabinamu nakuja eeh1?
 
jipe mooyoooooo
utayashindaaaaaaa
yana mwishooooo
vumiliaaaaaaaaaaa
Dah,kweli ulimkamia.N a bado siku ya mechi ya Simba na Yanga wiki ijayo.Kaizer nakuomba unywe vitunguu saumu kabisa kudhibiti presha.au tualike mimi na bht ili tuwe karibu na wewe.
 
Dah,kweli ulimkamia.N a bado siku ya mechi ya Simba na Yanga wiki ijayo.Kaizer nakuomba unywe vitunguu saumu kabisa kudhibiti presha.au tualike mimi na bht ili tuwe karibu na wewe.
muwe mnampa BACKUP😀😀
 
The Following User Says Thank You to Kaizer For This Useful Post: Next Level (Today)


Huyu mtu kafufukuka?
 
Dah,kweli ulimkamia.N a bado siku ya mechi ya Simba na Yanga wiki ijayo.Kaizer nakuomba unywe vitunguu saumu kabisa kudhibiti presha.au tualike mimi na bht ili tuwe karibu na wewe.
😱😱😕😕😡😡
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom