bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,880
HEHEHE!an obvious stuff,yah?😀😀
jep!!!
kabila la KAIZER kabila la KAIZER
NIMEWAKOSEA NIIINIIIIIIIIIIIII
hatukujibu, hatukujibu................
HEHEHE!an obvious stuff,yah?😀😀
kabila la KAIZER kabila la KAIZER
NIMEWAKOSEA NIIINIIIIIIIIIIIII
KWARESMA HII!kafunga kila kitu😀Currently Active Users Viewing This Thread: 25 (9 members and 16 guests) Chrispin*, Ama, Charity+, Chongowela, Kimey, king1m, Magezi, MwanajamiiOne, Next Level
Huyu Hommie wa bwana harusi kashatoka gesti. Mbona hachangii sredi? Au hangover?
shemejiyo huyu dah!Jamani? shemeji yangu! kwani kuna shida gani?🙄
shemejiyo huyu dah!
Jamani naomba kufafanuliwa! wakatakumeni ni watu wa aina gani? Sorry Off topic jamaniHehehehehee.Jifunze uvumilivu.Wakatekumeni huwa wana uvumilivu sana
kuna ubaya gani sasa😀😀Mpwaz tatizo UNAJUA KUSOMA KATIKATI YA MISTARI maana
Jamani naomba kufafanuliwa! wakatakumeni ni watu wa aina gani? Sorry Off topic jamani
kwanza hujambo?Jamani naomba kufafanuliwa! wakatakumeni ni watu wa aina gani? Sorry Off topic jamani
kuna ubaya gani sasa😀😀
Simba my Bro. nasikia jana tumeshindakwanza hujambo?
WE NI SIMBA AU YANGA?
SASA ole wako muda ufike uanze udhuru!kama bado upo nyumbani kwako IKWIRIRI bira uwahi daladala ufike ''ukweni'' rhombotatizo unakuwa too commercial afu utakufa kwa 'presha'
muda naona kama hauendi?😀
NL, FL1, bht,...........
Come april 11........tusikiumbiane tu
Charity thanks for the back up suggestion, but no thanks kwa sababu U know what will happen,
nikirudi kwen mada, MJ1 and kaizer....tupo usingizini watoto msisumbue......bht please ufate unga mashine foleni imeshapungua kule...
Ni wanafunzi wa dini...Yaani kama unaupokea ukristu katika hali ya utu uzima ni lazima upitie mafunzo ya ukatukumeni, ndo hatimaye unapokelewa katika kanisa..Hii ni kwa mujibu wa madhehebu ya RC!Jamani naomba kufafanuliwa! wakatakumeni ni watu wa aina gani? Sorry Off topic jamani
muulize kaizer,mi sijui.Simba my Bro. nasikia jana tumeshinda
Simba my Bro. nasikia jana tumeshinda
Kitakachotoke ,nahisi Yanga watakuwa wateja wa Simba.SIMBA 2-YANGA1
Na ndio m,aana kwa upendo wangu kwako nakutahadharisha mapema shemeji!
Unasikia? kwani jana ulikuwa unaangalia taarifa ya ITV?
Au na wewe ni mbeba mabox!
Ni wanafunzi wa dini...Yaani kama unaupokea ukristu katika hali ya utu uzima ni lazima upitie mafunzo ya ukatukumeni, ndo hatimaye unapokelewa katika kanisa..Hii ni kwa mujibu wa madhehebu ya RC!
mi nimesoma apo tu shemeji asante!