Couples za JF ni hizi...!

Couples za JF ni hizi...!

Tafadhali nitake radhi.naanza kuhesabu 5,4.........
Mie sio Yanga,siwezi kuwa timu ya walioshindwa.Mie siku zote nakuwa timu ya washindi.Kwa kifupi hata Toto afrika wakitwaa kombe basi nitakuwa Toto afrika.

Aaaaaa weewe!!!!!Una maana mwenye hela ndiyo wako hutaki mchovu! Acha hiyo kuwa mzalendo
 
Bujibuji atakuwa Padre wa kuwafungisheni ninyi ndoa
Wanajukwaa,
Jana kumetundikwa thread moja, HII-HAPA, ambayo muwasilishaji anayeenda kwa jina la Pearl alieleza anavyoota sifa za wadau mbalimbali wa hapa ndani jinsi walivyo kwa hisia zake na kwa kusoma mabandiko yao!!..mfano, (nanukuu):

na wengine weengi walioorodheshwa!

Swali: Je JF ingelikuwa ni SAYARI , ni nani na nani hapo wanakubaliana KWA SIFA na HADHI zilizobuniwa, kuwa couple?...
 
Yaani mimi Preta kanikamata mbaya hata simchoki I wish nimwone maeneo ya fukwe za mbezi anaonekana ni bonge la Lady na mwelewa. Ila siwezi kuwa naye maana ntampenda kupitiliza nikawa Bushoke then akantesa

hapo panahusu sana...
 
naona hii thread tuiupdate....mambo yameongezeka humu jukwaani......hali ni tete kiujumla

Ni kweli mengi yameshajiri humu!!lakini ni busara tukianzia kwako!hebu Preta tuanzie kwako, twambie wa kwako ni nani humu?
 
:tape::tape::tape::tape: Mmmmmhhhhh mi sisemi


hahaha mbona umekasirika Mama Big

Hii Sredi wakati inachakachuliwa hukuwepo . na hata mtoa mada hilo jina hapo sijui kama unamfahamu.
unaweza kuongeza list :smile:
 
Mimi napenda kitambaa cheupe!:hippie::hippie::hippie:
 
Asprin nimeku-mr vibaya sana ................upo?
 
kwa mtazamo wangu ni kama ifuatavyo:
pakajimmy + WOS (familia itakuwa na adabu)
bht + balantanda (hilo halina mjadala)
pearl + drphone (imetulia)
MMK + FL1 (hawa ndugu watawaonea sana)
kigogo + birigita (mmhh)
Lilyflower + rayB (watacope)
Fidel + Maria Roza (hapa kutakesha)
Masanilo + Annina (mbona bibie atajiju)

Bado nitaendelea.......


Thanx God Masanilo sasa ni Rev...



Annina


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom