Couples za JF ni hizi...!

Couples za JF ni hizi...!

Was is it too much to ask? My intention is to guide those who have been nominated more than once..........!!
icon10.gif

I think it was suppose to be mis-guide.............hahaaaaaaaaaaa!!!!

wachague mmoja tu ambaye wanamfil na wao!!!!
 
Vipi couples zimeisha?
Kiranga kapewa nani?
Na yule dada Askofu kampata nani vile?
 
Vipi couples zimeisha?
Kiranga kapewa nani?
Na yule dada Askofu kampata nani vile?

weeee Kiranga na Nyani Ngabu wana allege na wives........

kheeee kuna dada askofu tena humu?
 
isingekuwa project na mimi ningekamata wa kwangu,lol!PROJECT 13/02/2010 imeniharibia mpango mzima!enewei:
GEOFF na VALUU
X-PIN na VALUU
KAIZER na HEINEKEN PORI
BIGIRITA na KONYAGI NDOGO
FIDEL na TBL

enjoy your friday guys,narudi kubeba mabox🙂
 
Ijumaa wikienda

i wish i could be that one on yourside

halafu jamaa anaibukaga akiona unanyemelewa hapa

huyo sio pastor kabisa

afu huyo ni pacha wake na shem AK-47 .....hahaaaaa!!!

ha ha ha BK hujachoka tu!

ndugu yangu kipenda roho hula nyama mbichi.

wapi roho imependa shem???

shem mi natangatanga na njia tu,kila miti ninayodandia ishapopolewa

wewe na Penny basi

Vipi couples zimeisha?
Kiranga kapewa nani?
Na yule dada Askofu kampata nani vile?

Na wewe si uwe mtawa/padri tu? labda ndio wito wako.

hahaa huko hajaitwa huyu ni mlei 'pa se'

Naona wakuu mnavuta mida tu mwende kurekebisha makoo ijumaa ikifika ina mambo mengi, wengine Valuer zinawasubili wengine vikao vya harusi, wengine maapointment wanaona kama mida haiendi, wengine kudumisha mila, wengine vekesheni ndo zinaanza yote kheri na raha ya ijumaa.
Week end njema.
 
isingekuwa project na mimi ningekamata wa kwangu,lol!PROJECT 13/02/2010 imeniharibia mpango mzima!enewei:
GEOFF na VALUU
X-PIN na VALUU
KAIZER na HEINEKEN PORI
BIGIRITA na KONYAGI NDOGO
FIDEL na TBL

enjoy your friday guys,narudi kubeba mabox🙂

hilo chimbo ulilopo leo mmhhhh!!...halafu hao kwenye red wana kesi ya kujibu......huyo wa bluu itabidi tuende faragha
 
Naona wakuu mnavuta mida tu mwende kurekebisha makoo ijumaa ikifika ina mambo mengi, wengine Valuer zinawasubili wengine vikao vya harusi, wengine maapointment wanaona kama mida haiendi, wengine kudumisha mila, wengine vekesheni ndo zinaanza yote kheri na raha ya ijumaa.
Week end njema.
mkuu nilizifakamia jana hapa naugulia tu,hata kazi haiendi
 
yaani posts zaidi ya 200 na mie sijapata hata partner?? kweli nimechoka mazee... Geoff yuko wapi aniokoe japo kunipangia deci?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom