bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,880
nieleweshe hapo bt
wito wako halisi ni wa ndoa
nieleweshe hapo bt
wa ukweli atakufaayaani posts zaidi ya 200 na mie sijapata hata partner?? kweli nimechoka mazee... Geoff yuko wapi aniokoe japo kunipangia deci?
yaani posts zaidi ya 200 na mie sijapata hata partner?? kweli nimechoka mazee... Geoff yuko wapi aniokoe japo kunipangia deci?
babu huku nilipo supu hakuna ndo mana naugulia tu kimyakimyaHehehehe haya sasa ungeboost na 3 asubuhi na supu juu ungekuwa fit
Kuna Esekia kule anajitambulisha.wa ukweli atakufaa
SI unajua tena ijumaa nyumba za kulala wenyeji GONGOLAMBOTO zinajaa sana wikiendi.TUMEAMUA KUJIFICHA KINYEREZI😀😀hilo chimbo ulilopo leo mmhhhh!!...halafu hao kwenye red wana kesi ya kujibu......huyo wa bluu itabidi tuende faragha
anapiga hodi mara kibaoKuna Esekia kule anajitambulisha.
wa ukweli atakufaa
mtafute utamuona,halafu haonekani sana siku hizindo yupi huo?
Naona wakuu mnavuta mida tu mwende kurekebisha makoo ijumaa ikifika ina mambo mengi, wengine Valuer zinawasubili wengine vikao vya harusi, wengine maapointment wanaona kama mida haiendi, wengine kudumisha mila, wengine vekesheni ndo zinaanza yote kheri na raha ya ijumaa.
Week end njema.
He MR si ndio yule juzi kawasha moto kule kwenye mambo ya kikubwa?? huyo saizi yangu ngoja nicheki kama the feeling is mutual (joke)😀Hehehehe dah naona ulikuwa busy by the way naona Maria Roza anakufaa.
Hao wote wamesahau ku-sign out.they are not active
mtafute utamuona,halafu haonekani sana siku hizi
Gesti Sinza zimejaa leo....!!! Itabidi ujaribu Kijitonyama au Ubungo!![]()
He MR si ndio yule juzi kawasha moto kule kwenye mambo ya kikubwa?? huyo saizi yangu ngoja nicheki kama the feeling is mutual (joke)😀
Dah! Hii sredi inakimbia sana nashindwa kuikamata kabisa.Hao wote wamesahau ku-sign out.they are not active
Nini tena mamushka? Nashindwa kulikamata hili Sredi. Hivi linazungumzia nini vile?nahisi naibiwa biggy.............!!! that is wat on here!!!
Mkuu we acha tu! Nilikuwa nimefumaniwa sasa mpaka kupata chansi ya kutoroka ilikuwa kasheshe!Ulikuwa gesti nini mkubwa? Maana tangu asubuhi sijakuona humu!![]()
Hehehe! Za buku mbili ndo zimejaa. Zile za buku mbili unusu bado kujaa.Hehehehe naambiwa gesti zote zimejaaa ukitoka utaniachia rumu na mm nakuja.
tumejipa break ili upate muda wa kuipitia.....Dah! Hii sredi inakimbia sana nashindwa kuikamata kabisa.
Nini tena mamushka? Nashindwa kulikamata hili Sredi. Hivi linazungumzia nini vile?
Mkuu we acha tu! Nilikuwa nimefumaniwa sasa mpaka kupata chansi ya kutoroka ilikuwa kasheshe!