Haya mamushka ngoja nivae mawani. Dah!tumejipa break ili upate muda wa kuipitia.....
babu huku nilipo supu hakuna ndo mana naugulia tu kimyakimya
Hehehe! Za buku mbili ndo zimejaa. Zile za buku mbili unusu bado kujaa.
Haya mamushka! ngoja nivae mawani!tumejipa break ili upate muda wa kuipitia.....
Ngoja niibukie hapa tu, sthread yenyewe haikamatiki!Hehehe! Za buku mbili ndo zimejaa. Zile za buku mbili unusu bado kujaa.
Ni kweli ndugu.Wanasema maneno huumba.Angalieni, utani utani mwisho huwa kweliiiiii, baadae mamimba kwenye matumbo ndiiiiiiii
FL1, yule aliyekukwaza jana aliomba msamaha au bao anaendeleza harakati za kuvunja ndoa yakona hili Joto nendeni mkapate maji ya kunywa kidogo ndo mrudi ...mie nimeshindwa kuikamata nimejibrekisha kidogo ..nitafanya mapitio nikiwa nimejipumzisha akili imetulia ......
Hofu na mashaka kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu.......
usisahau, mameno huua vile vileNi kweli ndugu.Wanasema maneno huumba.
yeah sure... i hope ina breki tu, maana hukawii kuona watu wanamwaga sera aiseeSREDI imeshika kasi yake
Angalieni, utani utani mwisho huwa kweliiiiii, baadae mamimba kwenye matumbo ndiiiiiiii
Hivi ikitokea ikawa kweli itakuwaje? na mtoto mtamwitaje? na je mtaendelea kuwa member wa JF?Ni kweli ndugu.Wanasema maneno huumba.
upo mjini kiongozi?i just wanted to....u knw😀😀yeah sure... i hope ina breki tu, maana hukawii kuona watu wanamwaga sera aisee
Hivi ikitokea ikawa kweli itakuwaje? na mtoto mtamwitaje? na je mtaendelea kuwa member wa JF?
na isitoshe sio ugonjwa
ndio hivyo tena ishatokea.Hakuna cha kufanya zaid ya ku-face reality.Ila unaloongea mie naliunga mkono.Hivi ikitokea ikawa kweli itakuwaje? na mtoto mtamwitaje? na je mtaendelea kuwa member wa JF?