Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
Ahahahaaaaaah watu mbona wanamgwaya Bwabwa!Hapana namuulizia tu..
DrPhone kwani ni vibaya kumtafuta mtu, mbona unamnyanyapaa au kwa vile ni BWABWA..?
Ahahahaaaaaah watu mbona wanamgwaya Bwabwa!Hapana namuulizia tu..
DrPhone kwani ni vibaya kumtafuta mtu, mbona unamnyanyapaa au kwa vile ni BWABWA..?
lol hongera nshakata tamaa kabsaa maana nilikua nakulia timing😕ndo ukweli wenyewe huo babukijana
Ahahahaaaaaah watu mbona wanamgwaya Bwabwa!
Jamani na ubabu wote huo?unataka kumfanya nini mtoto wa mwenzio.lol hongera nshakata tamaa kabsaa maana nilikua nakulia timing😕
Mpaka sasa katiba ya nchi hajruhusu matendo ya Bwabwa!! hapo jirani kwa M saba karibia watapitisha sheria ya kitanzi kwa watu hao!!Ahahahaaaaaah watu mbona wanamgwaya Bwabwa!
bht unaona sasa! Nimekwambia Baba Enock atamfaa Mwanajamii One! Huyu babukijana wako unayempigia debe hajatulia!
Hapana namuulizia tu..
DrPhone kwani ni vibaya kumtafuta mtu, mbona unamnyanyapaa au kwa vile ni BWABWA..?
Ahahahaaaaaah watu mbona wanamgwaya Bwabwa!
Jamani na ubabu wote huo?unataka kumfanya nini mtoto wa mwenzio.
Mie mwenyewe nashangaa, kwani Bwabwa anang'ata watu jamani
Angalizo-Wanaooana kwenye internet wanaanza hivi hivi
Kwani kuna ubaya wowote mzee?Angalizo-Wanaooana kwenye internet wanaanza hivi hivi
Angalizo-Wanaooana kwenye internet wanaanza hivi hivi
he hee,alafu kuna pastor mmoja kaenda juzijuzi kawapumulia kisogoni mapastor waganda vijana karibia wote kisha katimua.Mpaka sasa katiba ya nchi hajruhusu matendo ya Bwabwa!! hapo jirani kwa M saba karibia watapitisha sheria ya kitanzi kwa watu hao!!
i wish i could be that one on yoursideIjumaa wikienda
halafu jamaa anaibukaga akiona unanyemelewa hapahamna ubaya fungwe, mume wangu tulipata hapa hapa JF
he hee,alafu kuna pastor mmoja kaenda juzijuzi kawapumulia kisogoni mapastor waganda vijana karibia wote kisha katimua.
namtafuta Krolokwini ,mwenye habari zake ani PM tafadhari .
dawa ya Maralia popote ulipo ...jitokeze
zawadi nono itatolewa