KABUGHA
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 351
- 999
Toka mwajuma alivyonisaliti kwa maandazi mawili ya hasani
Kipindi nipo la tatu sijawahi penda tena
Toka mwajuma alivyonisaliti kwa maandazi mawili ya hasani
Kipindi nipo la tatu sijawahi penda tena
Tusome tu comments hakuna namnaTuliosoma girls tupu na wale wa uboyizini tunacomment wapi?
we utakuwa songea boys nadhan. Mimi babu yakoEnzi hizo boys ila nilikuwa na kadoshodosho ulokoni, msimu wa mahindi niliienjoy sana. Bibi yake alikuwa anauza mbogamboga shuleni nilikuwa nachukua ugali tu dining na vimaharage kidogo then naenda kwa bibi mkwe wangu ananijazia mabogamboga bure nakamilosha draft. Nilikupenda sana popote ulipo
Tuliosoma boys tunacomment wapi?
Tuliwe vyote tu ila mwanaume kama huna hela nakupa pole sanaWanawake wengine ndo maana mnaliwa had tiGo kwa tamaa zenu.
Yan unamaanisha usingekuwa na huto tupesa ungejitongozesha kwa msela?
Ilikuwa rahisi sana, wote watatu walijikuta wanakuwa marafiki kinoma noma, na hadi leo ni mashosti kinoma noma. So walikuwa wanapitiana majumbani kwao wakiaga kuwa wanakwenda maktaba kujisomea, halafu wanakuja home, tunasoma kweli, kuanzia saa nne asubuhi hadi saa nane, wanapika pale home, tunakula, tukishashiba sasa, ni mtifuano hadi saa 12 jioni wanarudi makwao. Kwa wiki ilikuwa mara moja tu.Duuu ww noma uliwapangaje wakajikubali kuliwa wote na wakat ukiwala ulifanyaje maana wanakuja wote kusoma
Hahaa kumbe nawe ni mhanga, naona Uzi umetutenga siyee, vipi lakini young Ccy!Tusome tu comments hakuna namna
Hahaaa, hapo mwisho nimechekaa, kumbe muoga hivo,ntakua nakuchimba mikwara sasa, oyaaa ile ahadi unaikumbuka ama umezinguaHuwa naficha weakness zangu kwa kua serious (yani kama defensive mechanism), too bad wadada wengi huwa hampendi mtu aliyeserious everytime i get nervous, shy, or fear automatically nakua serious
matokeo yake mtu anaweza akaniogopa akati kiukweli namwogopa yeye
Hahahaha! U don't scare me hata kidogo, nafikiri i've known u from past life.. maana hiyo technique haifanyi kazi kwa watu ninaowafahamHahaaa, hapo mwisho nimechekaa, kumbe muoga hivo,ntakua nakuchimba mikwara sasa, oyaaa ile ahadi unaikumbuka ama umezingua
Safi dada mkubwa.Hahaa kumbe nawe ni mhanga, naona Uzi umetutenga siyee, vipi lakini young Ccy!
kumbe we 3 some kumbe we kitambo,wakati huo hata hiyo term hujaijua bahariaIlikuwa rahisi sana, wote watatu walijikuta wanakuwa marafiki kinoma noma, na hadi leo ni mashosti kinoma noma. So walikuwa wanapitiana majumbani kwao wakiaga kuwa wanakwenda maktaba kujisomea, halafu wanakuja home, tunasoma kweli, kuanzia saa nne asubuhi hadi saa nane, wanapika pale home, tunakula, tukishashiba sasa, ni mtifuano hadi saa 12 jioni wanarudi makwao. Kwa wiki ilikuwa mara moja tu.
,unajitetea tu kaoga weweeHahahaha! U don't scare me hata kidogo, nafikiri i've known u from past life.. maana hiyo technique haifanyi kazi kwa watu ninaowafaham
Nipo form 3 seminary x nikawa na karembo changu shule x kakatuma barua utaratibu wa hiyo seminary barua ikija inasomwa na padri wa nidham ndo ikufikie
Dahh ilikuwa ndo tumetoka likizo na likizo nilimpiga mti sasa alivyo kosea ile story yote ya mgegedo aliiandika mule na akaweka ahadi tukifunga tena tufanye zaid ya ile ile barua ikaja soma dining hall muda wa diner watu wametuliaaaaa hapo jina halija tajwa bado ila nikawa nishajijua maana mishale yote ilikuwa inanilenga mm dahhh nilipigwa adhabu ya kuchimba visiki na likizo iliofata nikaitumikia shule yoteeeeee utoto raha sana
Tutengeneze group la whatsup tujuane vzr maana tuna tabia tofautiTuliosoma girls tupu na wale wa uboyizini tunacomment wapi?
Hasara za uboyzin hizo.Kutengeneza couple ni kipaji , kwa kumbukumbu zangu mahusiano marefu zaidi nliyowahi yaishi ni 3weeks.. hua paka nakaa chini najiuliza "how do they do this"
99.999% ya maisha yangu paka leo nimeishi nikiwa single
Kwel boys zinaadhiri sometimes nilisoma O level A level pia but afadhali O level wa pale walikua mixture ila day haikua rahisi kujichanganya na siwi na mahusiano ya kudumu yani nachukulia poa kinomaHasara za uboyzin hizo.
Unakuwa na washkaji kibao lakin couple na wasichana unashindwa kutengeneza