Kutengeneza couple ni kipaji , kwa kumbukumbu zangu mahusiano marefu zaidi nliyowahi yaishi ni 3weeks.. hua paka nakaa chini najiuliza "how do they do this"
99.999% ya maisha yangu paka leo nimeishi nikiwa single
Hahaaa jamaa unifurahisha asee mm pia mahusiano yaliyodumu mda mrefu sidhani ata miezi saba inafika ,yatatokea yakutokea tu jini makata atayaingilia.
Itakua kua tatizo ni mm lakin shida hadi leo sijajua iko wap na wote tukiacha tunawasiliana na nikitaka mzigo napewa,nakosea wapi hapo ndo sijajua.
Mtu akiniona anaweza sema siwez kukosa mpenzi lakn sina,sema tu mademu ninao wakukizi aja.