Yes dada ake..six nimemaliza 2010..Serious?, Mimi nilikua ndyo nimemaliza six
![]()


Wacha weeh! Eenhee mliendelea Hadi la ngapi?Darasa la nne nilikuwa na mademu zangu wawili, warembo hasa. Furaha yangu ilikuwa kuwabinya tumaziwa twao. kufika la tano ndo nikawa naingiza tu kiukweli sikuenjoy. walijuana wakanifuata kibabe eti kwanini nawachanganya. nami nikawajibu kibabe kuwa asiyetayari asepe. Hakuna aliyesepa
Kwani bado unasoma mkuuSijawahi kuwa na couple shuleni na sitarajii.
Hii Ni principle yangu siku zote
Elimu haina mwisho.Kwani bado unasoma mkuu
Ahaa basi mungu akutangulie mkuu. Kila la kheriElimu haina mwisho.
Naweza kwenda kusoma
Wacha weeh! Eenhee mliendelea Hadi la ngapi?
Amen akhsante.Ahaa basi mungu akutangulie mkuu. Kila la kheri
HahahahaahhaMadomo zege
Tupoo![]()
Aiseee, nimesikitika watoto Wa siku hizi mnaanza Shule mapema kuliko enzi zetu,Yes dada ake..six nimemaliza 2010..![]()

Enzi hizo boys ila nilikuwa na kadoshodosho ulokoni, msimu wa mahindi niliienjoy sana. Bibi yake alikuwa anauza mbogamboga shuleni nilikuwa nachukua ugali tu dining na vimaharage kidogo then naenda kwa bibi mkwe wangu ananijazia mabogamboga bure nakamilosha draft. Nilikupenda sana popote ulipo
Nafikir atakua mavoice na pikpik lake lile nway cjui kama hawa wazee bado wapo box mbiliBabu mzee Nyoni dereva wa shule au Babu Mavoice
Mmmh, polee imekuathiri till now, Mwenyewe ilikua changamoto kuwazoea wakaka aisee,nakumbuka tulienda jeshini Kwa mujibu Wa sheria ndyo nikakutana na wakaka, ile mnakaa nao pamoja na vibukta vifupi yaani,full aibuu
Hahahaha! Kizuri uoga wangu hauonekani kwa nje, paka mtu anaenijua kiundani ndie anaweza kugundua![]()
![]()
,unajitetea tu kaoga wewee

na sina sababu ya kumwogopa mtu ninayejua anafikiria nini

Mi wa uboyizini nasoma comment tuTuliosoma girls tupu na wale wa uboyizini tunacomment wapi?
Au tuanzishe Uzi wetu tuMi wa uboyizini nasoma comment tu
