Couple za shule ni shida

Couple za shule ni shida

Tuliosoma girls tupu na wale wa uboyizini tunacomment wapi?
Kutengeneza couple ni kipaji [emoji1][emoji1][emoji1], kwa kumbukumbu zangu mahusiano marefu zaidi nliyowahi yaishi ni 3weeks[emoji23][emoji23].. hua paka nakaa chini najiuliza "how do they do this"
99.999% ya maisha yangu paka leo nimeishi nikiwa single[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Nyie mabint wa girls tupu mlkua mnajikuta watakatifu sana

Anyway mambo yanaendaje hapo paradiso
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] paradiso poa kabisa, yaani nimekuja kuinteract na wakaka chuo dooh, nilipata shida mwanzoni full aibuu, ila nyie Wa mixer full kujiachia mnajidai mna experience[emoji16]
 
Kutengeneza couple ni kipaji [emoji1][emoji1][emoji1], kwa kumbukumbu zangu mahusiano marefu zaidi nliyowahi yaishi ni 3weeks[emoji23][emoji23].. hua paka nakaa chini najiuliza "how do they do this"
99.999% ya maisha yangu paka leo nimeishi nikiwa single[emoji1][emoji1][emoji1]
Mmmh, polee imekuathiri till now, Mwenyewe ilikua changamoto kuwazoea wakaka aisee,nakumbuka tulienda jeshini Kwa mujibu Wa sheria ndyo nikakutana na wakaka, ile mnakaa nao pamoja na vibukta vifupi yaani,full aibuu
 
Enzi hizo boys ila nilikuwa na kadoshodosho ulokoni, msimu wa mahindi niliienjoy sana. Bibi yake alikuwa anauza mbogamboga shuleni nilikuwa nachukua ugali tu dining na vimaharage kidogo then naenda kwa bibi mkwe wangu ananijazia mabogamboga bure nakamilosha draft. Nilikupenda sana popote ulipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom