Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,572
Pia kuna uwezekano ni watu wake pia!Kwa Zakari ilikuwa hivi hivi sema yeye aliwahi kujihami ndio maana ikajulikana!Vitu kama hivi sio vya kufurahia.
Habari kama hii huonesha kuna uwezekano wabaya wa Magufuli wamemteka Mo ili achafuliwe Magufuli na serikali yake.
Lengo aindolewe Magufuli waje waendelee kutafuna rasilimali za taifa letu.
Hata kama wapinzani hamtaki Magufuli basi kwa hili msiwape nafasi maadui wa taifa watatuletea machafuko ambayo tutaishia kuwa kama Sierra leon, Liberia, DRC, Central Africa, South Sudan, n.k.