Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?

Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?

Vitu kama hivi sio vya kufurahia.
Habari kama hii huonesha kuna uwezekano wabaya wa Magufuli wamemteka Mo ili achafuliwe Magufuli na serikali yake.

Lengo aindolewe Magufuli waje waendelee kutafuna rasilimali za taifa letu.

Hata kama wapinzani hamtaki Magufuli basi kwa hili msiwape nafasi maadui wa taifa watatuletea machafuko ambayo tutaishia kuwa kama Sierra leon, Liberia, DRC, Central Africa, South Sudan, n.k.
Pia kuna uwezekano ni watu wake pia!Kwa Zakari ilikuwa hivi hivi sema yeye aliwahi kujihami ndio maana ikajulikana!
 
imageresize
Billionaire Mohammed Dewji, head of MeTL, is targeted by President John Magufuli.

Still vigorously pursuing his moralistic campaign to clean up the business sector, President John Magufuli, nicknamed Tinga Tinga (bulldozer in Kiswahili), has decided to go after Mohammed Dewji, the owner of Tanzania's second largest conglomerate, MeTL (Mohammed Enterprises Tanzania), and....

TANZANIA : Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?
Pia Naanza kupata mashaka juu ya kifo cha ndesamburo
 
Kama ni kweli safi sana na Mungu ambariki Raisi wetu, mimi ningetaifisha kila kitu na kugawia watu wetu halafu ningepeleka mswada Bungeni kuliomba Bunge letu tukufu kupitisha sheria ya wote wasio weusi wawe ni raia daraja la pili baada ya sisi.

Sisi kwanza Wahindi na wengineo daraja la pili!
Mungu huwa habariki upumavu na ufalaufala!
 
Siamini kabisa kuwa Serikali yetu ya Awamu ya Tano inaweza kumdhuru mtu kama MO kwa kuwa ni mwekezaji mkubwa na serikali ndiko inakoelekea. Acheni kuleta chuki na fitina kwa articles ambazo ni za kishabiki na ki activists ili kuipaka serikali matope.
Kwani MO ni wa kwanza kutekwa?
Ben Saanane,Azori,Zakaria ,Kanguye Super Sami na wengine wengi.
Magufuli anahusika na ndiye anayetoa maagizo ya watu kupotezwa.
Nyie mataahira endeleeni kushangilia ujinga ipo siku tu.
 
Na Chadema inawagharimu sana ndio 202o mbunge wa Chadema akirudi niite mbwa I officially declare official war with Chadema Since they have decided to war with CCM in all fronts I welcome them to the war zone in all fronts wether political , business etc and their supporters Chadema members and supporters be prepared .Vita haina macho mtatutambua
Mpumbavu kweli wewe,CHADEMA isiporudi bungeni ndo Magufuli wenu ataishi milele hatokufa? au CHADEMA ni adui wa Taifa inazuia maendeleo ya nchi?
Gesi mliiiuza wenyewe CCM ,dhahabu na mikataba yote ni nyie,sijui ni kipi kinakufanya ufurahie ibilisi wewe.
CCM haipendwi hata na sisimizi wa Tanzania, bila police, jeshi na TISS hakuna CCM.
Mmelaaniwa nyie.
 
Kama ni kweli safi sana na Mungu ambariki Raisi wetu, mimi ningetaifisha kila kitu na kugawia watu wetu halafu ningepeleka mswada Bungeni kuliomba Bunge letu tukufu kupitisha sheria ya wote wasio weusi wawe ni raia daraja la pili baada ya sisi.

Sisi kwanza Wahindi na wengineo daraja la pili!
Hii ni akili ya mtu mweusi mwenye Roho nyeusi anaeamini Umaskini wake utaisha siku mwenye nacho akiishiwa Shame!
 
Hii ni akili ya mtu mweusi mwenye Roho nyeusi anaeamini Umaskini wake utaisha siku mwenye nacho akiishiwa Shame!


Dunia nzima wanaamini hivyo na ndo maana Wazungu, Wakorea na Wajapani wameendelea, hawaruhu watu wa jamii nyingine kumiliki uchumi wao, ndo maana mnsafisha choo kwa Muhindi na Muzungu unafikiri ni kwa nini? Ulishaona Muhindi anasafisha choo hapa Dar hata kama hajasoma?
 
Mungu ni cheo, kama ilivyo Rais ni cheo, swali ni je huyo Mungu unayemsema wewe ni yupi? Kuna Mungu anaitwa JEHOVAH, MOLECH, CHEMOSH, ASHTORETH etc.


Mungu ni Mungu tu haihitaji maelezo, na Mungu hapendi watu dhaifu na wasojithamini, hakuumba mataifa mbalimbali na race mbali mbali ili race wengine wawe Watumwa, na ndo maana Ubaguzi wa makusudi dhidi ya race nyingine ni muhimu na ni lazima, kinyume cha hapo ni udhaifu na ni dhambi kwa Mungu, Mungu hakuumba Uwe dhaifu!
 
imageresize
Billionaire Mohammed Dewji, head of MeTL, is targeted by President John Magufuli.

Still vigorously pursuing his moralistic campaign to clean up the business sector, President John Magufuli, nicknamed Tinga Tinga (bulldozer in Kiswahili), has decided to go after Mohammed Dewji, the owner of Tanzania's second largest conglomerate, MeTL (Mohammed Enterprises Tanzania), and....

TANZANIA : Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?
Weka full article hapa....sio kusema tukalipie huko
 
Back
Top Bottom