Siamini kabisa kuwa Serikali yetu ya Awamu ya Tano inaweza kumdhuru mtu kama MO kwa kuwa ni mwekezaji mkubwa na serikali ndiko inakoelekea. Acheni kuleta chuki na fitina kwa articles ambazo ni za kishabiki na ki activists ili kuipaka serikali matope.
Swali ni kwanini serikali ihusiswe mbona huko nyuma mauaji na utekwaji wa wafanyabiashara kamwe serikali haikuhusishwa nini kimebadilika?