Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?

Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?

"Nyerere was an outward-looking globalist who saw Tanzania as a leader in world affairs. Magufuli, on the other hand, is an inward-looking provincial nativist who wants a Tanzania for Tanzanians alone."
 
Ni ya lini kwani? Jibu kwanza hilo swali.
"Nyerere was an outward-looking globalist who saw Tanzania as a leader in world affairs. Magufuli, on the other hand, is an inward-looking provincial nativist who wants a Tanzania for Tanzanians alone."
 
"Nyerere was an outward-looking globalist who saw Tanzania as a leader in world affairs. Magufuli, on the other hand, is an inward-looking provincial nativist who wants a Tanzania for Tanzanians alone."
So what's the problem?
 
Hili saga wasiojulikana watapatikana sasa hivi... bad timing bashite. Alizoea kuwapoteza wasio na sauti hili pichu itambana dammit.
Mungu amemwanika peupe
Forbes watafuatilia mwisho wa uharamia huu ni sasa bashite na genge lake wajiandae kuwekwa mambo hadharani.
Huko aliko anazunguka nyumba mara kumi kumi dammit
Time will tell ndiyo hii
Wanajiuliza wakimuachia atakuja kusema nini uraiani?

Huyu si mtu wa kumpoza kwa kumuonga labda wamnyamazishe kwa style nyingine lakini sio kwa kumuhonga.
 

Tuambie kama yale ya roma mkatoriki yatatokea tena; manake uliibuka kama Yohana mbatizaji...kweli yakatokea kesho yake roma mtaani.

Suala la wazungu si hoja; hoja mrusisheni MO wetu...msimuue kabisa!!
 
Sure; he might be refused to do some sort of instructions from JIWE!!

Same what happened to Zakaria but he escaped from ... for what we call it mbinu za medani; for MO lets us cross our fingers!!! Lazima arudi mzima bila masharti...

Wekundu Mpo???
 
Watu wakiamua kukuteka ata kama una walinzi kwenye gari..kitu cha msingi ni kubaini watekaji ni wakina nani? Je jengo hilo lina CCTV,kuingia hapo Gym kuna maafisa usalama au la? Kama wapo wanafanya vipi kazi yao kuhakikisha wateja wao wapo salama! Kitu kingine hii kutekwa ni aina mpya ya uhalifu unaoanza kushika kasi hapa Tz kila mtu yampasa kuwa makini kila unapoenda mahali ukizingatia hoja zako,mali zako au uadui na watu.
Unavaa body camera
 
imageresize
Billionaire Mohammed Dewji, head of MeTL, is targeted by President John Magufuli.

Still vigorously pursuing his moralistic campaign to clean up the business sector, President John Magufuli, nicknamed Tinga Tinga (bulldozer in Kiswahili), has decided to go after Mohammed Dewji, the owner of Tanzania's second largest conglomerate, MeTL (Mohammed Enterprises Tanzania), and....

TANZANIA : Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?
Mwandishi acha ujinga kila siku wewe unaiwazia mabaya serikali, sahau ukidhani uharo unaoleta hapa kila siku utadhoofisha serikali yetu pendwa utaishia kuleta majungu na hakuna mtakalofanikiwa.
 
Mleta mada unanikumbusha michezo ya Crown Prince wa Saudi Arabia alivyowatia ndani matajiri na kuwabana watoe concenssions kwa serikali kutokana na madai ya kukwepa kodi!
 
Back
Top Bottom