Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?

Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?

wivu wa maendeleo..
kuna mawizard waliotoka porini wakang'aa mjini kwa kulishwa bure
wakikuona umepiga hatua roho huwauma na kuwakereketa..
matokeo yake ndio haya..
mapepo yaishio mjini
ni vitisho tu wanavyompatia, tunaamini ataachiliwa huru mtanzania mwenzetu aliyeajiri mamia ya watanzania wengine
 
What happened to this man? Leo nimesikia watu wakisema ametekwa ila sijapata habari zozote!
 
Akitoka huyo tajiri kufanywa chochote wewe nae hutapona....

Usifurahi mwenzako kushughulikiwa,wewe nae utafuata!

Tusichukie wafanyabiashara namna hii aisee..hii ni persecution kabisa!

Deal na watu by the LAW and not otherwise!
mkuu wewe mgeni humu? Humju huyu unayemjibu ukamuelewa? Erythrocyte
 
Siamini kabisa kuwa Serikali yetu ya Awamu ya Tano inaweza kumdhuru mtu kama MO kwa kuwa ni mwekezaji mkubwa na serikali ndiko inakoelekea. Acheni kuleta chuki na fitina kwa articles ambazo ni za kishabiki na ki activists ili kuipaka serikali matope.
 
Duh hadi kero sasa..yani kila tukio linageuka sera ya siasa,acheni ushabiki wa ki-siasa wa namna hii.

Huu ungekua muda mzuri kupiga kelele tume huru ya uchaguzi

Huu ungekua muda wa kupiga kelele katiba mpya...na mengine kibao
Ikifika tena 2020 tutabaki kulialia na kuzidi kuongozwa na ma-lofa wa CCM
 
Back
Top Bottom