Technologiest
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 3,712
- 4,026
Yaani nimeshindwa kujijibuhivi mo hana hata walinzi
Yaani nimeshindwa kujijibuhivi mo hana hata walinzi
Hata sasa, tajiri anaweza kufanya chochote. Under one condition, aunge mkono JUHUDI au anapaswa kuwa kwenye GENGE TEULE."Zamani tajiri alikuwa anaweza kufanya chochote , lakini leo tajiri anaweza kufanywa chochote "
Nimehisi tu kuwa ni wachochezi ila bado sijachocheka hadi muda huu! yajayo siwezi juaWamekuchochea ukachocheka?
hivi mo hana hata walinzi
Au.... something went wrong .....pia ingefaa......might have gone wrong.... Sivyo ulivyoandika.
Watu wakiamua kukuteka ata kama una walinzi kwenye gari..kitu cha msingi ni kubaini watekaji ni wakina nani? Je jengo hilo lina CCTV,kuingia hapo Gym kuna maafisa usalama au la? Kama wapo wanafanya vipi kazi yao kuhakikisha wateja wao wapo salama! Kitu kingine hii kutekwa ni aina mpya ya uhalifu unaoanza kushika kasi hapa Tz kila mtu yampasa kuwa makini kila unapoenda mahali ukizingatia hoja zako,mali zako au uadui na watu.hivi mo hana hata walinzi
"Zamani tajiri alikuwa anaweza kufanya chochote , lakini leo tajiri anaweza kufanywa chochote "
Bavicha wamefanyaje mkuu ?Ndio bavicha walivyo hivyo.
.....Billionaire Mohammed Dewji, head of MeTL, is targeted by President John Magufuli.![]()
Still vigorously pursuing his moralistic campaign to clean up the business sector, President John Magufuli, nicknamed Tinga Tinga (bulldozer in Kiswahili), has decided to go after Mohammed Dewji, the owner of Tanzania's second largest conglomerate, MeTL (Mohammed Enterprises Tanzania), and....
TANZANIA : Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?