Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?

Eti ameletwa dereva wa Uber anasema watekaji wazungu! Mbona walio kuwa ndani ya gym hakuna aliyesema kuna mzungu? Au huyo Uber ni 'wasiojulikana' naye?
Ukianza kula nyama ya mtu hauachi, na siku ukikosa mtu hata mama yako anageuka asusa
Very true
 
Hiyo article ya african intelligence nani kaweza kuisoma yote atuwekee hapa ambao tumeshindwa subscribe?
 
mmeanza kuja na habari zenu za kufikirika.
Chadema Wana steam out frustration zao kwa Mo Dewji baada ya kukimbiwa Na mbunge wao wa Ukerewe .Ndio maana unaona wamekazania sana hizi habari. Pigo walilopata ni kubwa wahurumie tu
 
Hakuna aliyeweza kuipakua hiyo habari then aibandike hapa? Naona kuisoma yote lazima uwe "subscribed"
 
Something might have went wrong..!
SIKU MAMBO HAYA YATAKAPOKUWA WAZI NA AKAFAHAMIKA KIGOGO ALIYENYUMA YA MATUKIO YA KIFEDHULI NATUMAI KUNA WATU HUMU WATAJIFUTA WENYEWE, LAKINI KWAKUWA MATAJIRI WAMEANZA KUINGILIWA NA HILI JINAMIZI BASI MUDA SI MREFU KILA KITU KITAKUWA WAZI.
 
That sounds good.
Mbona huyu Lumumba mwenzako hujamrekebisha kwenye kingereza chake cha ugoko lakini kutwa kiguu na njia kurekebisha wengine ?
 
Kiingereza cha wapi hiki???!! Something might have went wrong!!!!??? No no no...Something might have gone wrong
Hii hukuiona ?
 
Mambo yameanza!!
Hili saga wasiojulikana watapatikana sasa hivi... bad timing bashite. Alizoea kuwapoteza wasio na sauti hili pichu itambana dammit.
Mungu amemwanika peupe
Forbes watafuatilia mwisho wa uharamia huu ni sasa bashite na genge lake wajiandae kuwekwa mambo hadharani.
Huko aliko anazunguka nyumba mara kumi kumi dammit
Time will tell ndiyo hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…