Corona virus wanakufaje kwa kufukiza?

Corona virus wanakufaje kwa kufukiza?

Post tweet ya Naibu Waziri wa Afya Dr. Ndugulile
Alitahadharisha kuhusu kujifukiza, wewe unatulisha matango pori shwain kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwanini wagonjwa wa Surua walikuwa wanapona kwa kuvukizwa miaka ya 90, kwani yule anaye sababisha Surua sio VIRUS? Kuna kitu Bado mnatakiwa mjifunze zaidi mweelewe kiundani kuhusu mechanism ya kujivukiza na kunywa maji ya moto. Maana hata wazungu pia wanashauri wa wagonjwa wao watumie hivyo vitu.
 
Ukitaka kujifunza zaidi ni vyema kujisomea maana corona wa SARS NA MARS ni yule yule na anafanana na wa surua.

Sasa kwanini wagonjwa wa Surua walikuwa wanapona kwa kuvukizwa miaka ya 90, kwani yule anaye sababisha Surua sio VIRUS?. Kuna kitu Bado mnatakiwa mjifunze zaidi mweelewe kiundani kuhusu mechanism ya kujivukiza na kunywa maji ya moto. Maana hata wazungu pia wanashauri wa wagonjwa wao watumie hivyo vitu.

Post tweet ya Naibu Waziri wa Afya Dr. Ndugulile
Alitahadharisha kuhusu kujifukiza, wewe unatulisha matango pori shwain kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapopata COVID 19 (ambapo hakuna dawa) katika harakati za kufanya yao mwili unapata madhara mengine kama homa, koo kukauka, kifua et al.

Maana yake nini mfano unapika kwa kutumia kuni ndani ya nyumba wakati zinapoungua moshi utajaa na chances kila mtu aliendani atakohoa, kwa ivyo ukifingua madirisha na mlango moshi ukitoka hali ya hewa inakuwa safi na kila mtu ataacha kukohoa; sasa aina maana moto wa kuni nao umezima.

Ndio COVID 19 inapofanya yake moshi wake ni homa, koo kukauka, mafua, mwili kuchoka etc. Kwa ivyo wewe ukila paracetamol, sijui ukichemsha malimau, kujifukiza (ni sawa na kufungua madirisha moshi wa kuni utoke hila ujazima moto).

Kitu pekee kinachoweza ishinda Corona ni immune system na wengine zao imara hasa vijana na wengine zao ni weak haswa wazee na wagonjwa; immune system ndio inayoamua aina ya madhara utakayopata COVID 19 akishaanza kufanya yake (mpaka kinga rasmi itakapo ingia mtaani).
 
Kilatha,
"Kujifukiza" kunakomaanishwa si kwa moshi, neno linalotumika si sahihi, neno sahihi ni "kujifusha" au kufanya nyungu, ni kutumia mvuke (steaming), siyo moshi.
 
Sasa kwanini wagonjwa wa Surua walikuwa wanapona kwa kuvukizwa miaka ya 90, kwani yule anaye sababisha Surua sio VIRUS? Kuna kitu Bado mnatakiwa mjifunze zaidi mweelewe kiundani kuhusu mechanism ya kujivukiza na kunywa maji ya moto. Maana hata wazungu pia wanashauri wa wagonjwa wao watumie hivyo vitu.
Tofautisheni remedies na cure...

Virus anamalizwa na kinga ya mwili, kinga inachukua muda kumtambua virus (akiwa ni mgeni hajawahi kuingia ) ndio maana chanjo huwa ina introduce virus (akiwa hana nguvu) ili mwili umtambue pindi akija iweze kupigana nae...

Hivyo basi kinachofanyika na remedies zote ni kutoa ahueni mpaka pale mwili utakapotengeneza kinga / kumkabili virus na kumuondoa (kwahio remedies zote) be it plenty of drinks, moisture kwenye koo, pua na njia za hewa au chochote kile kitakachokupa ahueni wakati mwili unatengeneza kinga kinaweza kuwa tofauti ya wewe kufa kwa zile symptoms (be it kushindwa kupumua sababu ya pua kuziba au kwa homa) kabla ya mwili haujapata fighting chance... Thus kama kufukiza kunasaidia kukupa ahueni ya kupuma then jibu unalo (its a remedy)
 
Sasa kwanini wagonjwa wa Surua walikuwa wanapona kwa kuvukizwa miaka ya 90, kwani yule anaye sababisha Surua sio VIRUS? Kwanini mgonjwa. Kuna kitu Bado mnatakiwa mjifunze zaidi mweelewe kiundani kuhusu mechanism ya kujivukiza na kunywa maji ya moto. Maana hata wazungu pia wanashauri wa wagonjwa wao watumie hivyo vitu.
Mimi sipingi ila nawashangaa wanaopinga wakati HAKUNA TIBA ya kisayansi. Yaani wanapinga watu kujifukiza halafu hawatoi njia mbadala, ni ujinga uliopitiliza

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
"Kujifukiza" kunakomaanishwa si kwa moshi, neno linalotumika si sahihi, neno sahihi ni "kujifusha" au kufanya nyungu, ni kutumia mvuke (steaming), siyo moshi.
Hakuna sehemu nimezungumzia kujifukiza sijui kujifusha kwa kutumia moshi, soma tena vizuri post yangu.

Nimetumia analogy ya coronavirus symptoms na moshi wa kuni.
 
Post tweet ya Naibu Waziri wa Afya Dr. Ndugulile
Alitahadharisha kuhusu kujifukiza, wewe unatulisha matango pori shwain kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana wewe na Ndugulile hamjaelewa maana halisi ya "steaming".

"Kujifukiza" kunakomaanishwa si kwa moshi, neno linalotumika si sahihi, neno sahihi ni "kujifusha" au kufanya nyungu, inamaanisha kutumia mvuke (steaming), siyo moshi.

Kukulisha "matango pori" unamaanisha nini?

"Steaming' inafanyika kote duniani na wapo wasomi kuliko Ndugulile, au wewe ambae unaonesha wazi kuwa u poyoyo tu, wanaikubali kwa miaka mingi sana katika mambo yanayohusianq nqnmafua na Ku boost immune system, si leo si jana.

Kumbuka, hakuna aliyesema kujifusha ni dawa ya kuua virusi, kujifusha ni kupunguza dalili za mafua na kuistuwa (boost) immune system yako ianze kucharika isisubiri joto la mwili lipandishwe na homa kali.

Na steaming siyo kinga ambapo mtu hata dalili yoyote basi unajifusha tu, labda uwe unaitumia ili Ku revitalise mwili wako Tu.Steaming kama tiba ni vizuri ikaanza kutumika unapoona dalili za mwanzo za mafua, steaming itakusaidia sana kupunguza au kuondoa hayo mafua.
 
Hakuna sehemu nimezungumzia kujifukiza sijui kujifusha kwa kutumia moshi, soma tena vizuri post yangu.

Nimetumia analogy ya coronavirus symptoms na moshi wa kuni.
Jisome tena, umeandika hivi "mfano unapika kwa kutumia kuni ndani ya nyumba wakati zinapoungua moshi utajaa na chances kila mtu aliendani atakohoa".
 
Jisome tena, umeandika hivi "mfano unapika kwa kutumia kuni ndani ya nyumba wakati zinapoungua moshi utajaa na chances kila mtu aliendani atakohoa".
Key word ‘mfano’ halafu kilichofuata ni analogy ya Coronavirus symptoms kufananishwa na moto wa kuni unaotoa moshi mwingi (kwa kufungua milango na madirisha ujazima moshi).
 
Key word ‘mfano’ halafu kilichofuata ni analogy ya Coronavirus symptoms kufananishwa na moto wa kuni unaotoa moshi mwingi (kwa kufungua milango na madirisha ujazima moshi).
Tazama heading ya huu uzi halafu tazama mfano wako. Utaelewa kuwa haupo sahihi.

Hiyo ni "spinning and playing with words" Au ndiyo u "kilatha" wenyewe huo?
 
jmushi1,
Unapofanya steaming unaingiza mvuke kwenye Koo, nalo linajihami kwa kutengeneza mucus au makamazi badae unabanja unamtemeamo na korona, sio corona tu hata taka nyingine Kama vumbi

Labda niulize Kama varus sio kiumbe hai anazaliana vipi?
 
Kinachoua Virusi siyo joto.Ni zile dawa zinazokuwa kwenye ule mvuke.You got to understand the Science behind siyo ku post tu vitu.Ingekuwa joto tu si unachemsha maji tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwanini wagonjwa wa Surua walikuwa wanapona kwa kuvukizwa miaka ya 90, kwani yule anaye sababisha Surua sio VIRUS? Kuna kitu Bado mnatakiwa mjifunze zaidi mweelewe kiundani kuhusu mechanism ya kujivukiza na kunywa maji ya moto. Maana hata wazungu pia wanashauri wa wagonjwa wao watumie hivyo vitu.
Mkuu mbona point yako ya surua umeing'ang'ania sana? Kwanza utambue kwamba virus hawafanani. Mafua tu ya kawaida yanasababishwa na virus, na watu wanapona mafua.
HIV/AIDS ni virus pia, hapo hata ungejifukiza na kunywa maji ya moto 100c huponi.

Covid-19 ni virus pia. Hakuna mpaka sasa uhakika wa 100% kuwa kujifukiza kunaweza kuwaondoa hao virus mwilini, hasa wakiwa wameshaingia kwenye mapafu.

Kwa hiyo usidhani kwamba kama watu walijifukiza wakiwa na Surua wakapona, basi tuamini kwamba kujifukiza ndiyo dawa kwa kila ugonjwa unaosababishwa na virus?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbele ya CCM chochote kinawezekana wewe angalia kuanzia akili za baba na wanae kina Bashite,S abaya na Chalamila and the like. Wew angalia Sasa hivi air Tanzania zimegeuzwa Cargo flight....yaani kwenye passanger's cabin wanajaza mizigo halafu wanajitapa mbele ya camera.
Wakifanya ET, KQ Air Canada ndio inakuwa akili!!
 
Back
Top Bottom