copy & paste ya Clouds TV

copy & paste ya Clouds TV

umeona eeh. yaani wale wabibi na familia zao sijui niwaweke kwenye fungu gani. wewe bibi yangu ninavyompenda na kumuheshimu siwezi furahi nikimuona anazodolewa na kukatishwa kiuno kama mtoto mdogo.

clouds hawana adabu kabisa, huko ni kuwadhalilisha hao wamama sijui waliofikiria nini kuanzisha hilo shindano upuuzi mtupu!
 
Taarifa ya habari mbovu..channel saut mbovu

Hili la sauti ndilo linaloboa zaidi. Hawa jamaa Clouds TV hawakujiandaa kabisa kuingia digitali. Audio system yao ni very poor, sijui kama hawajaliona hili. Kwani wao hawaangalii hii TV yao na kuona upungufu huo?
 
Hili la sauti ndilo linaloboa zaidi. Hawa jamaa Clouds TV hawakujiandaa kabisa kuingia digitali. Audio system yao ni very poor, sijui kama hawajaliona hili. Kwani wao hawaangalii hii TV yao na kuona upungufu huo?

walipoona kwenye radio watu wanaiongelea wakajua na tv ni simple tu kumbe inabidi waongee na kina eric babu wawape magraphics ya ukweli..
 
walipoona kwenye radio watu wanaiongelea wakajua na tv ni simple tu kumbe inabidi waongee na kina eric babu wawape magraphics ya ukweli..

Sawia kabisa. Bado wanayo nafasi ya kurekebisha hizo kasoro mbili tatu za kwenye TV yao
 
tatizo wanataka cheep labour na wanaangalia mbwembwe na usharo uharo tu,myu mwenye skill zako za kweli huwezi kupata kazi clouds nakwambia cse kuanzia mkuu wa vipindi wote vilaza hawana elimu ya tasnia ya media wanafanya uzoefu
 
.
.
.
.
.
.
kwenye pia walikuwa na kipindi cha watoto kinaitwa klabu kumi na sijui kama bado kipo siku hiczi lakini nacho walikopy kutoka cartoon network, tena walikopy hadi jina wakatafsiri tu. kule kilikuwa kinaitwa teen's club
 
Back
Top Bottom