copy & paste ya Clouds TV

copy & paste ya Clouds TV

Clouds tv kuifikia EATV ni safari ndefu.
Ukiangalia EATV ni kama unaangalia channel za mbele!!

tena ile ndio inaonekana dhahiri shahiri kuwa wamecopy,ubaya kipendi chao hakibambi kabisaa
 
Everything in Clouds media is copy and paste. Poleni kwa mnaoliwa huku mkijiona, mie wala simo huko. Nikienda kwa washikaji nikisikia tu station ya Clouds, nawaoamba wabadilishe haraka kwani sitaki masikio yangu yaharibike kwa sauti zao na lafudhi zao feki za kujifanya hawajuwi kiswahili wakati wakiwa na wazazi wao wanaongea kiswahili tena fasaha ila redioni hawajuwi.

hahaaa hii imenikumbusha huu wimbo wao walioimba kina mchovu na wenzake unaohusu fiesta,wameimba kama wamarekani yani hamna kitu ni ujinga tuu...sometimes ni vizuri kuwa real.
 
ubunifu ni kitu pekee kinachoweza kuitofautisha brand moja hadi nyingine/kampuni nyingine ambazo/yo inatoa huduma zinazolingana/fanana.

Nirudi kwenye topic,sina shaka na uwezo wa clouds media Group katika ubunifu na mambo mengine linapokuja suala la burudani hapa Tanzania, ila kwa hili niseme Clouds TV wamekosa ubunifu na walichoishia kufanya ni kukopy na kupaste vipindi vyao kutoka TV stations nyingine mfano EATV.Vifuatavyo ni baadhi ya vipindi ambavyo Clouds TV wamekopy na kupaste kutoka EATV....

1.Siz kitaa- City sound (kilichokuwa kikiendeshwa na Seki)

2.Take One-Bongo movie (kilichokuwa kinaendeshwa na Joyce Kiria).

3.Ongea na Janeth-The Mboni show (kinachoendeshwa na Mboni)

4.Wazee wa Madebe-Friday Night Live(kinachoendeshwa na Sam Misago).

5.kipindi cha Paradise cha Irene uwoya nayo ni programu ambayo inendeshwa na TV stesheni nyingi za nje katika mtindo wa documentary,lakini kipindi hiko kinafanana kabisa na kipindi ambacho hufanywa huko Nigeria na moja ya TV stesheni,so sio kitu kipya pia.

Mdau unaweza kuongeza vipindi unavyovijua ambavyo jamaa wamecopy ila si kwa nia mbaya.

Kama kweli ni copyright za EATV kwa nini wasiende mahakamani?
 
Kama kweli ni copyright za EATV kwa nini wasiende mahakamani?

kwanza hakuna aliyezungumzia suala la copyright hapa,pili jaribu kusoma kuhusu copyright ukiielewa then uje uusome uzi huu then ucomment upya.
 
Cloudda Tv kuja kufikia mziki wa EATV ni baada ya miaka 50 hivi...Bado sanaaaaa........Wanaiga kila kitu mpaka wanaboaaa aisee..
 
kipindi cha evance bukuku cha nimekubamba wamekopi citizen tv ya kenya kwenye kaa rada
power breakfast ni copy ya ajabu!! Haya jicho la ng'ombe wamecopy citizen the bulls eye, cjui wamerogwa/? Mfyuuuuuuuu in manges voice!! Wanaboaje???
 
Na kile kipindi cha Afrika Bambaataa cha Clouds FM (sijui kama bado kipo) wameiga jina la kisanii la DJ mmoja Mmarekani ambaye jina lake halisi ni Kevin Donovan. Siku hizi za utandawazi si rahisi kuiga kitu kutoka nje na usijulikane.
 
Everything in Clouds media is copy and paste. Poleni kwa mnaoliwa huku mkijiona, mie wala simo huko. Nikienda kwa washikaji nikisikia tu station ya Clouds, nawaoamba wabadilishe haraka kwani sitaki masikio yangu yaharibike kwa sauti zao na lafudhi zao feki za kujifanya hawajuwi kiswahili wakati wakiwa na wazazi wao wanaongea kiswahili tena fasaha ila redioni hawajuwi.

Nimeacha kufuatilia habari za hawa wambea toka mwaka 2002....

So hapa naona maluwe luwe tu!
 
utapataje vipindi vilivyooenda shule wakti watu wa habari nchi hii div 4 na 0! Wenzetu watu wa habari ni specialists
Hebu fikiri swali aliloulizwa Obama na mwandishi wa kibongo!!! Parthetic
 
Penye Ukweli unasemwa, Redio na Tv nimekuja gundua ni vitu tofauti sana,
Kama ambavyo EA Radio wanavyohangaika kushika namba na bado wameachwa mbali sana ndivyo na Clauds TV hivyo hivyo Wanapata shida sana kuwakamata EATV. Ingawa katika general performance ya Entertainment Industry bado Clauds wapo juu.
 
Back
Top Bottom