Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Ni kweli sijui kinachoendela.... sasa hayo maji kwanini yauzwe?
macho_mdiliko kwani wewe maji ya DAWASCO wachota bure? Au UHAI wagawiwa bure?
Last edited by a moderator:
Ni kweli sijui kinachoendela.... sasa hayo maji kwanini yauzwe?
macho_mdiliko kwani wewe maji ya DAWASCO wachota bure? Au UHAI wagawiwa bure?
Yaa,ametangaza hivyo bt ame invite makanisa/pastors wawasiliane km wapo tayari kuhudumia watu makanisani kwao sith that annointing water bure!na mpaka ss viongozi wa makanisa wanafanya mawasiliano,then watatangaza how 2 get it frm those churches
Bt ukiipata unatakiwa usaidie wengine mia 2 jus 4 giving them a drop of it unless otherwise God will nt bless u. So mkuu vuta subira,tutapata 2
LET LOVE LEAD!
Hivi kuna mtu yoyote amepiga simu SCOAN kueleza matatizo haya ya Martha au tunaobgelea hapa JF tu?
Watumishi wengi wa Tanzania ni wabinafsi,sijui kama watakubaliana na kuchukua Anointing water toka SCOAN'
dada ni martha nkya
amekuwa mjasiriamali siyo mtumishi wa Emmanuel tv tena
kwa habari za hivi karibuni sana hayo maji anauza kichupa kimoja shs.85,000/= na kwa tamaa yake ya pesa ni lazima ameshayachakachua.
kweli tutaangamia kwa kukosa maarifa
ni vema mtu ukajiombea tu mwenyewe kwani Mungu wetu ni mwaminifu na atasikia na kuyajibu maombi.
jamani tumeulizwa humu ndani kama tumechukua hatua au ndio kama kawaida yetu ya kupiga vuvuzele tu, Mimi binafsi nimepiga simu leo kwa kupitia namba zifuatazo +234 708 222 8338, +234 705 853 6984, +234 706 371 7108 na kutuma email tatu on info@scoan. org nyinyi je
Siku za hizi karibuni tumeshuhudia watanzania wengi wakijitahidi kwenda kwa Mchungaji T.B. Joshua, wa SCOAN Nigeria kwa maombezi. Hiki kinachotokea kwa sasa ni kielelezo tosha kwamba watu wengi wana mahangaiko makubwa sana na wangependa kumrudia Mungu wao kwa Uponyaji.
Naomba nizungumzie tabia za kukera za Coordinator wa SCOAN hapa Tanzania, Martha. Huyu dada ni kiburi sana, anamajidai, hajali watu, anajibu jeuri, na ku treat watu wazima kama vile wanafunzi wa sekondari. Huyu dada amejisahau, anaona kama vile anafanya kazi White House, amekosa kabisa maadili ya watu wanaosaidia watu wa Mungu. anajipangia tu muda wa watu na siku za kwenda ofisini kwake bila kujali kwamba hao watu wanatoka mikoani, au dar! Hata Dar yenewewe ina foleni, unapowaambia watu wafike Benjamini Mkapa saa moja kamili anafikiria nini? Na hata ukimwambia kwamba unatoka mbali hajali, atakupa jibu la karaha.
Last week wisemen from SCOAN- Nigeria walikuja Diamond Jubilee. Huyo dada aliadhirika sana kwa kiburi chake, kwa maana matendo yake na tabia zake ni tofauti sana na watu wa SCOAN kutoka Nigeria. hakuwapaa watz taarifa za kutosha madhumuni ya safari yao. Hili lilileta usumbufu mkubwa sana. Waliokuwepo Diamon Jubilee ni mashahidi zangu.
nasikia amesusa kuuza maji baada ya kuona kwamba watu wamemsemea,
Typical of Tanzanians behavior, sasa kazi ni yako unasusa nini?
Unamsusia nani?
Kwa nini uliikubali? Kama hutaki si uache?
Kwa kweli huyo dada, ni janga la taifa.
nndondo mimi nimeshatuma email.jamani tumeulizwa humu ndani kama tumechukua hatua au ndio kama kawaida yetu ya kupiga vuvuzele tu, Mimi binafsi nimepiga simu leo kwa kupitia namba zifuatazo +234 708 222 8338, +234 705 853 6984, +234 706 371 7108 na kutuma email tatu on info@scoan. org nyinyi je
Ozzie mweleze kwanza tofauti ya maji ya T.B. Joshua na yale ya DAWASCO
Hata mkinielezea kamwe hamtanipata. Huyo Mungu ambae ukimwomba wewe hakusikii mpaka utumie maji kutoka Nigeria ni wa wapi? Kwa taarifa yako huu utapeli haujaanza leo. Umekuwepo tangu zamani sana. Wakristu wa zamani sehemu kama Italia walikuwa wananunua ''baraka za Mungu'' au ''kuponi za kuondolea dhambi''. Huu ni upotoshaji tu. Kama una shida na Mungu piga magoti omba kwa imani na utapata. Kumbe babu wa Loliondo wapo kila mahali.
XXLIZ Umejitahidi sana kumtetea Martha (kama sio wewe ndio Martha. Naomba kukuliza mawsali yafuatayo:Martha mnaemsema ni mtu ana maisha yake ,kazi anayoifanya halipwi hata senti moja na hata ile ofisi unayoiona analipa mwenyewe hakuna hata mtu mmoja anaemsaidia kulipa pale wala sio kuwa inalipiwa na scoan FYI, kumbuka kuwa nae ni binadamu na yuko yeye kama yeye, zaidi ya watu elfu moja kwa siku wanampigia simu na kumuuliza maswali na kumweleza shida zao wakitarajia good service ..... She is human with her own stress za kimaisha na kifamilia kama wewe and she has her own problems and issue kwahiyo usiende kwake ukazani unaenda kwa sub prophet ,her job is to coordinate you to go to scoan as directed by prophet and not to console and make you feel better...
Bado akusikilize wewe na watu wengine kama wewe elfu ,akuandikisheni apige simu kwa pesa yake kwa shida yako aende embassy akuletee visa , akukatie tiketi huyo huyo martha na bado awe in good spirit kufanya unavyotarajia wewe.
Think ! Je wewe ungekuwa martha ungeweza hayo yote bado utafutie wanao chakula na ada ya shule ?????? Tusiwe selfish na wepesi kulaumu.
Kama unaamini kuwa TB Joshua is a man of God and he can help you with whatever you need then basi hakufanya makosa kumchagua Martha kuwa coordinator ...... Na kama Martha ana matatizo basi yule aliyemuona anafaa ndie atakaemuona hafai.
Tb Joshua did not seek advice from man to choose coordinators. If you respect and accept what he does the you will know that even Martha is chosen by the prophet and you have no choice than to respect and accept her as she is , usiexpect zaidi.
And if you think hafanyi unachokitarajia then nenda SCOAN - The Synagogue, Church Of All Nations ukajiandikishe online bila shida ya kuambiwa njoo leo njoo kesho .... Wengi wameenda kupitia hapo. Angalia usijeukakosa uponyaji wako kwa kumshikilia mtu ambaye she is who she is by the grace of GOD