mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,004
Mkuu hata sisi tunayo hayo!
Kama mnayo ya Nigeria ya nini?
Mkuu hata sisi tunayo hayo!
Kaka salama?
Unafuatilia sana TB Joshua.
Do you want to cross the roads?
Tunaweza kwenda wote Nigeria, wakati sisi tunapiga maombi na kupata Upako, wewe unaweza kwenda kuwasalimia Boko haram.
Tukimaliza tunapanda pamoja ndege na kurudi "Kisiwa cha amani'.
queeny: Hata mimi niko gizani kama wewe.mtoa mada naomba nikuulize... pale benj mkapa kuna kaka mmoja ndo huwa anakaa pale ofisini, hivi ni nani yule jamani maana ana pozi yule kaka sijapata kuona.
kweli nimeamini hata yuda, pamoja na kukaa karibu na Yesu miaka yote aliishia kutenda dhambi kubwa na kuishia kujiua.. that means hakupata kuokolewa. kukaa karibu na uaridi si kunukia
Zion Daughter, what a great news!Nimemsikia Tb Joshua leo katika Emmanuel Tv kuwa kwa sasa new anointing water itagawiwa makanisani..Tena itakuwa free.Vuteni subira wakamilishe mchakato huo.
queeny: Hata mimi niko gizani kama wewe.
He must be one of the cerebrities of SCOAN Tanzania
Kwani kuna tofauti ya kikombe cha Babu wa Loliondo na maji ya anoited !? Yote si yameombewa na Bwana !
Wapigania uhuru wale ! Wameshtukia mafuta yanavyomalizwa na westerners. Nyie mmekalia masikioa na kujazwa ujinga wa annoited water !
Kama vile ' gesi haitoki Mtwara !
Nimemsikia Tb Joshua leo katika Emmanuel Tv kuwa kwa sasa new anointing water itagawiwa makanisani..Tena itakuwa free.Vuteni subira wakamilishe mchakato huo.
Naamin huu ni Mpango wa Mungu mwenye nguvu kupitia JF ili haki iweze kupatikana kwa huyo kodineta wa SCOAN hapa Tz, Binafsi huwa ninataman sana siku moja niende SCOAN pia nijifunze mengi kuhusu hiyo ministry lakin kama kwel siku nikienda nimkute mtu kama Martha basi ninaweza nikakagombana naye bure na kupoteza upako wote.
VIVA JF.
Kama mnayo ya Nigeria ya nini?
Naamin huu ni Mpango wa Mungu mwenye nguvu kupitia JF ili haki iweze kupatikana kwa huyo kodineta wa SCOAN hapa Tz, Binafsi huwa ninataman sana siku moja niende SCOAN pia nijifunze mengi kuhusu hiyo ministry lakin kama kwel siku nikienda nimkute mtu kama Martha basi ninaweza nikakagombana naye bure na kupoteza upako wote.
VIVA JF.
Yaa,ametangaza hivyo bt ame invite makanisa/pastors wawasiliane km wapo tayari kuhudumia watu makanisani kwao sith that annointing water bure!na mpaka ss viongozi wa makanisa wanafanya mawasiliano,then watatangaza how 2 get it frm those churches
Bt ukiipata unatakiwa usaidie wengine mia 2 jus 4 giving them a drop of it unless otherwise God will nt bless u. So mkuu vuta subira,tutapata 2
LET LOVE LEAD!
Janga la taifa una maanisha nini mkuu
Joshua TB, yuko jirani na mungu !
Umesema ukweli 100%,Martha anakwaza sana,tofauti kabisa na TB Joshua na team nzima ya SCOAN.Anatreat watu kama watoto wadogo,sijui kama TB Joshua ana taarifa za huyu Co-ordinator! Kwa kweli anamuharibia.