Coordinator wa SCOAN Tanzania

Coordinator wa SCOAN Tanzania

Umaskini ni mbaya sana.

Umaskini unamfanya mtu hata uwezo wa kufikiri upungue. Pamoja na kwamba mimi ni muumini Mkatoliki mzuri, lakini hizi imani zinazoibuka zina mlengo zaidi wa kimaslahi kuliko kiroho. Naomba kujua gharama za hicho kichupa cha maji (Anointed Water).


Viongozi wa kidini wamekuwa wafalme kuliko Bwana wao wanaye mhubiri. Yesu alikuwa mnyenyekevu, mtoto wa seremala. Tunaona wanaojiita manabii wanachuma sadaka kwa wasiojiweza, wao wanaendesha Hammer! Bahati mbaya sana hata ukisema watu hawakusikii!


Nimeshangaa sana huduma za kiroho zinalipiwa????
people, wake up?
yaani watu wanapenda miujiza bila kujiuliza miujiza inatoka wapi.

Tubu dhambi zako, piga goti umlilie Mungu shida zako, uone kama hatokujibu. Tatizo mnatako majibu ya papo kwa papo
 
Nani, Martha au TB Joshua?

Ukweli ni kwamba tuweke imani kwa Mungu sio kwa binadamu. Bahatu mbaya sana ni wachache wanatofautisha haya mambo mawili. Manabii wamejimilikisha Mungu, na kuona usipoenda kwao wewe hauna wokovu.

Kwa kweli watu wanaumwa sana na makanjanja wanatumia magonjwa ya watu kujinufaisha.

Hivi Watz wanamjua zaidi T.B Joshua kuliko Martha amjuavyo? au Watz wanamjua zaidi Martha kuliko T.B Joshua? Je, unabii wa T.B Joshua haujagundua tu kuwa watz wanahangaika kupata huduma yake kwa kikwazo Martha?
 
Umaskini ni mbaya sana.

Umaskini unamfanya mtu hata uwezo wa kufikiri upungue. Pamoja na kwamba mimi ni muumini Mkatoliki mzuri, lakini hizi imani zinazoibuka zina mlengo zaidi wa kimaslahi kuliko kiroho. Naomba kujua gharama za hicho kichupa cha maji (Anointed Water).

Viongozi wa kidini wamekuwa wafalme kuliko Bwana wao wanaye mhubiri. Yesu alikuwa mnyenyekevu, mtoto wa seremala. Tunaona wanaojiita manabii wanachuma sadaka kwa wasiojiweza, wao wanaendesha Hammer! Bahati mbaya sana hata ukisema watu hawakusikii!

Hapo ndo kuna upako wa kweli, ukiwa na hitaji lako jifungie na kusali novena na hakika Mungu hujibu Maombi kadiri ya Mapenzi yake.
 
Nimeshangaa sana huduma za kiroho zinalipiwa????
people, wake up?
yaani watu wanapenda miujiza bila kujiuliza miujiza inatoka wapi.

Tubu dhambi zako, piga goti umlilie Mungu shida zako, uone kama hatokujibu. Tatizo mnatako majibu ya papo kwa papo

Kazi kweli kweli, sisi huku kijijini kwetu huwa tunajiwekea maji yetu kwenye chupa tunaenda kwa baba paroko anayaombea bure kabisa na tunajichotea baraka tele. Na ukimkosa unaenda tu kanisani yamewekwa anajichotea kwenye chombo chako na kuondoka na baraka za Bwana
 
If you would like to visit The Synagogue, Church Of All Nations, simply go to the Questionnaire, fill it out in detail and submit it. Make sure your complete details are included. Please note, you must wait to receive confirmation of your visit from us before making any travel arrangements/ flight bookings. *All communication with The Synagogue, Church Of All Nations should be through the following email address: info@scoan.org. When planning your visit, we advise you to take into consideration that the prayer line at The Synagogue, Church Of All Nations normally takes place every Sunday. Also, please note that any form of smoking or alcohol consumption is prohibited on the church premises.

Click the link below and fill it out in detail and submit it.

Visit Us
 
Unless you live in West Africa, you will need a visa to enter Nigeria. Visa applications are made through the Nigerian Embassy/ High Commission in your country and it is normally a simple procedure. We will send you an invitation letter which you will present to the embassy with your application form, passport, passport photo and the prescribed fee. Please contact us if you need more information.
info@scoan.org.
 
Once you have confirmed your flight arrival times with us, we will arrange for church representatives to meet you at the airport and escort you to the church premises.

We take special care of all our international visitors. They are met at the airport by authorized church personnel and are then escorted to the church which is located on the outskirts of Lagos. The accommodation is on the church premises and visitors do not leave during their stay unless they are taken to the off-site prayer retreat center. Guided by the Holy Spirit, Prophet T.B. Joshua developed the Faith Resort Ground (known as the ‘Prayer Mountain') with its many beautiful waterways, islands, prayer huts, beaches, prayer grounds and Biblical statues. There you will encounter prayer warriors who pray for the ministry, the nations and for partners throughout the world 24 hours a day, seven days a week in accordance with I Thessalonians 5:16. Man's greatest privilege is to enjoy God's presence; the Faith Resort Ground is quiet place to meet with God in prayer (Mark 6:31).
 
Nani, Martha au TB Joshua?

Ukweli ni kwamba tuweke imani kwa Mungu sio kwa binadamu. Bahatu mbaya sana ni wachache wanatofautisha haya mambo mawili. Manabii wamejimilikisha Mungu, na kuona usipoenda kwao wewe hauna wokovu.

Ni T. B. Joshua.

Mkuu ni kigezo gani kinawafanya watu wakimbilie kwa mtu?
Kwani unadhani hayo makanisa yako ya RC na Lutheran hayapo?
 
Nimeshangaa sana huduma za kiroho zinalipiwa????
people, wake up?
yaani watu wanapenda miujiza bila kujiuliza miujiza inatoka wapi.

Tubu dhambi zako, piga goti umlilie Mungu shida zako, uone kama hatokujibu. Tatizo mnatako majibu ya papo kwa papo

Yes,sio kosa lako,coz u don knw nthing abt this minstry......na ss yanatolewa bure 4 u a information
 
Nimerudi tena na kupata moyo sana toka kwa wachangiaji kwamba kweli tunamtafuta mungu aliye hai. Kuna watu wameulize humu maswali ambayo hayajajibiwa kwa ufasaha. Kwa uzoefu wangu yawezekana wengine wana taarifa tofauti wazijaze hapa, source yangu ni experience yangu mwenyewe. Garama ya malazi kwa siku 5 mpaka 7 kule ndani scoan ikiwemo chakula milo mitatu, malazi ya ku share double deka vyumba visafi vyenye maji y akutosha, toilet papers na pengine sabuni, chakula kizuri tu na kingi, chai na mikate wakati wowote, na kule ndani kuna duka linalouza vinywaji, na vitafunio kama unataka, lakini kule eneo la congregation kuna restaurants za kumwaga. Hivi vyote havizidi us $ 600 - 800. Nauli kwa kupitia kwa madame Martha ni garama za kawaida za Ethiopia Airline. Visa ya Nigeria ni T.shs 100,000 garama official maana mimi ninatumia sana kwa kuwa nina consultancy ya muda mrefu Abuja naenda mara kwa mara na kurudi. Kwa hiyo unaweza ukalipa kati ya dola 1600 na 1800, Kwa hiyo kwa kuwa ananunua ticket kwa wingi anapata viti mbalimbali vyenye bei mbali mbali kwa hiyo anakupa rebate. Of course swala la agent anayemtumia ni kituko manake mnaweza kwenda huko kurudi mkaambiwa hamna confirmation na yeye bila haya wala aibu akajipakia yeye na yule mtoto wake wa kiume na wapambe wake wakaondoka na kuwaacha huko Lagos, Huyo ndio Madame Martha Kaaya.

Sasa kule ndani kuna alternative, kwenye wale wanaotaka private rooms kwa mwaka jana ilikua ni US$4000 kwa private room. Sasa hii sijui kama ni inclusive of nauli ya ndege kama unavyoona if it is so then it not bad baada mnakua kama vile mnalipa 200 -300 dollars per person from the average of the cost of those of us who stay in the dormitories.

Why do we need to go through the coordinator: inarahisisha sana huduma kwa wasafiri na hata kwa watoa huduma kule scoan, they pick you from the airport and therefore organise transportation for you, huhitaji kuzubaa zubaa na kutapeliwa na majambazi wa Nigeria, its safe and very descent. They organise escort ya polisi hivyo hamkumbwi na ile foleni ya kufa mtu ya jiji la lagos kwa kuwa mnakuta police wameweka blockages njia yenu na kusafirishwa kwa vin'gora. Given the challenge ya religious intolerance in Nigeria it is a very good option. Of course tatizo lake hakuna privacy kama wewe unaonea aibu hitaji lako. But this should not bother you kwa kuwa believe you me, kila aendaye huko anahitaji lake, yawezekana kabisa ukaona lako ni la aibu zaidi lakini kumbuka, mungu hakuonei aibu kwa kuwa all ungodly conducts ikiwemo aibu zetu ni kazi ya shetani. I have been to the scoan and have seen the living god in my life, Natamani ndugu zangu nyie, kaka na dada zangu, watanzania wenzangu wote mpate nafasi ya kwenda ili muwe huru. Pia kuna wanaowasiliana nae kwa facebook, kuna school mate wangu amepata baraka hiyo amewasiliana nae directly kwa facebook mara tatu na akamuonyesha siri ya haja ya moyo wake.

Sasa mungu atusamehe kwa kuwalalamikia wenzetu, Ni vizuri pia tujipime kwa mizani ya macho, na kuwaombe hawa wenzetu, kwa maana yawezekana Martha na kundi lake wanatuona sisi walalahoi, lakini bado tukawa rafiki za mungu, maana neno la mungu si kama uchawe ama charm, eti kwa sababu Blandina Nyoni yuko jikoni ndio shutuma zake juu ya ufisadi huku akiendelea kutumia gari la serikali na mafuta ya serikali hadi leo, havijalishi. Naamini hata Madame mwenyewe madhali anafanya haya yasiyoya kimungu, manake kiburi si cha bwana, basi na yeye amefunikwa na ukungu usio wa kitakatifu. Sisi pia mungu atusamehe maana tumehukumu, na wao pia mungu awasamehe ili wafanye yaliyo sawa. Lakini la kuandika kwa TB Joshua juu ya huu uhuni liko pale pape, maana imeandikwa ya kwamba tutahukumiwa sawasawa na matendo yetu. Mimi tayari tangu asubuhi nimeshatuma email 10 kwenda scoan. Simu ntaanza kupiga jumanne kwa sababu leo wako kwenye misa, tusiogope jamani.

nndondo asante sana kwa muda wako na very educative message. Kwa kweli umetufumbua macho tulikuwa gizani. Naomba unisaidie email ambayo unaitumia kuwasalina na SCOAN.

NB: Messages za kutoka kwa Martha jioni hii zimepata upako wa TB Joshua.
Praise the Lord.
Long live JF
 
Last edited by a moderator:
Once you have confirmed your flight arrival times with us, we will arrange for church representatives to meet you at the airport and escort you to the church premises.

We take special care of all our international visitors. They are met at the airport by authorized church personnel and are then escorted to the church which is located on the outskirts of Lagos. The accommodation is on the church premises and visitors do not leave during their stay unless they are taken to the off-site prayer retreat center. Guided by the Holy Spirit, Prophet T.B. Joshua developed the Faith Resort Ground (known as the ‘Prayer Mountain’) with its many beautiful waterways, islands, prayer huts, beaches, prayer grounds and Biblical statues. There you will encounter prayer warriors who pray for the ministry, the nations and for partners throughout the world 24 hours a day, seven days a week in accordance with I Thessalonians 5:16. Man’s greatest privilege is to enjoy God’s presence; the Faith Resort Ground is quiet place to meet with God in prayer (Mark 6:31).

Biblical statues ! ..........yaani masanamu ?
 
Kazi kweli kweli, sisi huku kijijini kwetu huwa tunajiwekea maji yetu kwenye chupa tunaenda kwa baba paroko anayaombea bure kabisa na tunajichotea baraka tele. Na ukimkosa unaenda tu kanisani yamewekwa anajichotea kwenye chombo chako na kuondoka na baraka za Bwana

Mkuu hata sisi tunayo hayo!
 
Biblical statues ! ..........yaani masanamu ?

Kaka salama?
Unafuatilia sana TB Joshua.
Do you want to cross the roads?

Tunaweza kwenda wote Nigeria, wakati sisi tunapiga maombi na kupata Upako, wewe unaweza kwenda kuwasalimia Boko haram.
Sisi tunamhudumia munge wetu na wewe utamhudumia mungu wako, kuwasaidia ndugu zako kupigania uhuru (against who) !!!!!!?????
Tukimaliza tunapanda pamoja ndege na kurudi "Kisiwa cha amani'.
 
..sio maji ya kawaida km unayoyajua ww,by the way....it seems hujui kinachoendelea kuhusu hii ministry....

Kwani kuna tofauti ya kikombe cha Babu wa Loliondo na maji ya anoited !? Yote si yameombewa na Bwana !
 
Kaka salama?
Unafuatilia sana TB Joshua.
Do you want to cross the roads?

Tunaweza kwenda wote Nigeria, wakati sisi tunapiga maombi na kupata Upako, wewe unaweza kwenda kuwasalimia Boko haram.
Tukimaliza tunapanda pamoja ndege na kurudi "Kisiwa cha amani'.

Wapigania uhuru wale ! Wameshtukia mafuta yanavyomalizwa na westerners. Nyie mmekalia masikioa na kujazwa ujinga wa annoited water !
Kama vile ' gesi haitoki Mtwara !
 
Back
Top Bottom