Coordinator wa SCOAN Tanzania

Coordinator wa SCOAN Tanzania

.
Jamani kwa heshima na taadhima nimeuliza nafasi ya haya maji ya upako na sii tena imani katika damu ya Bwana Yesu? Naona mmejikita zaidi katika kukwazwa na kukwaza kwa mnaemuita Martha badala ya kwa pamoja tuliangalie hili la msingi kabisa la nafasi ya Bwana Yesu katika mwamini? Some one help me p/se maana wivu wa ule uthamani wa ile Damu ya Yesu unanitafuna.
.

Hutapata jibu mkuu. Hii biashara kama ile ya jamaa wanaouza dhahabu fake wameweka kwenye kichupa na seal yake. Nasikia na hayo maji yanakuja yakiwa sealed kwenye vyupa hivyo hivyo. Kumbuka wale manabii wa siku zz ukingoni!!!
 
.
Jamani kwa heshima na taadhima nimeuliza nafasi ya haya maji ya upako na sii tena imani katika damu ya Bwana Yesu? Naona mmejikita zaidi katika kukwazwa na kukwaza kwa mnaemuita Martha badala ya kwa pamoja tuliangalie hili la msingi kabisa la nafasi ya Bwana Yesu katika mwamini? Some one help me p/se maana wivu wa ule uthamani wa ile Damu ya Yesu unanitafuna.
.

Tembelea emmanuel.tv majibu yote utayakuta
 
Nakupongeza sana Sumba-wangu kwa kua muwazi, haya majitu kama martha ,Tabby and Suzie yapo kila kona duniani ni mapepo tu ,ujumbe umefika achana nayo.
 
Tabby unabwabwaja kama mtu uliyekosa matumaini, sema tu nitajirekebisha we vipi? kama huduma zako mbovu watakuchamba tu . Watu wanataka amani na upendo wew unaleta mikwala wakati unategemea hela zao , Let love lead
 
XXLIZ Umejitahidi sana kumtetea Martha (kama sio wewe ndio Martha. Naomba kukuliza mawsali yafuatayo:

1) Ni Watanzania wangapin wanatoa huduma mbali mbali kama Martha ambao wanafamilia zao, wanamaisha yao na stress zao? Cha ajabu anachofanya Martha ni kipi?

2) Ni watanzania wangapi wenye acess na internet ambao wanaweza kufanya on line appointments?

3) Ni kweli kwamba Martha ni mwema kiasi cha kulipia ofisini Benjamini Mkapa na kupiga pesa kwa hela yake? Free of charge?

4) Kama Martha anaona kwamba hiyo kazi ni burden kwake, kwa nini asimwambie T.B. Joshus kwamba it is too much for her?

5) Hivi ni lazima Martha akakatie watu ticket? Si. anaweza kufanya booking na kumpa kila mtu reserveation number, then watu wakakata ticket wenyewe. Hata la Visa inawezekana. Kama anaona ni ngumu sana, basi let her facilitate through dates na sio lazima afanye kila kitu

6) T.B Joshua na wahudumu wenzake wanapokea simu na kuhuudumia watu mara 1,000 ya Martha, how come hawajalalamikiwa? Watu wa kutoka dunia nzima? Martha is the only SCOAN coordinator? What about SA, Kenya and others?


Why Martha??????????????????????????????????????????????


However,
Praise the Lord!

Umemjibu vizuri huyo anaejiita XXLIZ,however,inatakiwa atujibu maswali uliyomuuliza hapo!
 
Nakupongeza sana Sumba-wangu kwa kua muwazi, haya majitu kama martha ,Tabby and Suzie yapo kila kona duniani ni mapepo tu ,ujumbe umefika achana nayo.

Haswaa,na yameshindwa coz nw tunaenda online 2.,.....na tutamweleza joshua live,mbona tushaenda bwana,joshua na team yake wako vzr 2 na wanahudumia watu wengi duniani kuliko wao!
 
Mi simfahamu. Ila inawezekana approach uliyotumia ni kama ya mtu anayetaka huduma hotelini. Customer care unahitaji kwani pale kuna biashara gani anayohitaji kupata faida. Upofu wa kiroho unatufanya tushindwe kutofautisha mambo ya kidunia na ya kiroho ndo unaosababisha arguments kama hizi. Tena bora yaliyokukuta inawezekana ni mpango wa Mungu kwani ameepusha mengi yasitokee kupitia wewe mya be u wakala wa shetani

Ndio shida yetu kubwa watanzania.
Ukipanda daladala, ukakanyagwa huna haki ya kuuliza kwa nini.
Unatakiwa kunyamaza tu.
Ukiuliza linakuwa kosa kubwa, jibu utakalopwe na kuambiwa "nenda kapande tax"!
Wala havina hata uhusiano.
Ajabu hata "Great Thinkers" wako mstari wa mbele kutetea Philosophy hiyo

cc Tabby, Mtambuzi, XXLIZ, Suzie
 
.
Jamani kwa heshima na taadhima nimeuliza nafasi ya haya maji ya upako na sii tena imani katika damu ya Bwana Yesu? Naona mmejikita zaidi katika kukwazwa na kukwaza kwa mnaemuita Martha badala ya kwa pamoja tuliangalie hili la msingi kabisa la nafasi ya Bwana Yesu katika mwamini? Some one help me p/se maana wivu wa ule uthamani wa ile Damu ya Yesu unanitafuna.
.
Kiby tumekupata.
Kwa nini usianzishe mjadala kama huu kule kwenye jukwaa la Imani/Dini?
Kule ndio mahali pake hasa.
Hapa tunaongelea jinsi coordinator wa SCOAN Tanzania anavyotukwaza.
Tungetaka kujadili kwa undani maswala yako, tungehamia JUkwaa ya dini/imani.
It is not too late, anzisha uzi kwenye jukwaa husika utapata majibu yote
 
Last edited by a moderator:
Hutapata jibu mkuu. Hii biashara kama ile ya jamaa wanaouza dhahabu fake wameweka kwenye kichupa na seal yake. Nasikia na hayo maji yanakuja yakiwa sealed kwenye vyupa hivyo hivyo. Kumbuka wale manabii wa siku zz ukingoni!!!
macho_mdiliko mshauri ndugu yako ahamishie swali lake na aende kuanzisha uji kwenye Jukwaa linalohusika.
Kule atapata majibu yote anayohitaji
 
Last edited by a moderator:
Nakupongeza sana Sumba-wangu kwa kua muwazi, haya majitu kama martha ,Tabby and Suzie yapo kila kona duniani ni mapepo tu ,ujumbe umefika achana nayo.
komesha kila kwenye jambo la Mungu, na wanadamu tunapotaka kumtafuta Mungu wetu, shetani naye hachezi mbali
 
Last edited by a moderator:
Tabby unabwabwaja kama mtu uliyekosa matumaini, sema tu nitajirekebisha we vipi? kama huduma zako mbovu watakuchamba tu . Watu wanataka amani na upendo wew unaleta mikwala wakati unategemea hela zao , Let love lead
komesha, sisi watanzania hatujui hata haki yetu.
Tulizoea huduma za bure wakati wa Ujamaa.
ndio maana jirani zetu wanatutoa kamasi kwenye hi era ya globalization.
Tumeshindwa kabisa kubadilika.
Ukidai haki unashambuliwa.
 
Haswaa,na yameshindwa coz nw tunaenda online 2.,.....na tutamweleza joshua live,mbona tushaenda bwana,joshua na team yake wako vzr 2 na wanahudumia watu wengi duniani kuliko wao!
maria pia

Tumeshamwambia na tunaendelea kuwaambia.
na wewe umwambie.
Mimi nimeandika mails.
Na simu nimepiga kuwaeleze karaha na usumbufu wa Martha.
Wangekuwa wanaelewa Kiswahili tungewapa links za JF

cc nndondo



 
Last edited by a moderator:
nAOMBA NIWATOE UJINGA NDUGU ZANGU, SIFA MOJA YA MUNGU WETU NI KWAMBA YUPO KILA SEHEMU NA WAKATI WOTE, NI IMANI YAKO TU NA KUMUABUDU KTK ROHO NA KWELI!.

Japo siamini katika huu ujinga 'in the name of Mashiku, sorry jesus' lakini mkuu nimependa comment yako! Asante sana.
 
Ndio shida yetu kubwa watanzania.
Ukipanda daladala, ukakanyagwa huna haki ya kuuliza kwa nini.
Unatakiwa kunyamaza tu.
Ukiuliza linakuwa kosa kubwa, jibu utakalopwe na kuambiwa "nenda kapande tax"!
Wala havina hata uhusiano.
Ajabu hata "Great Thinkers" wako mstari wa mbele kutetea Philosophy hiyo

cc Tabby, Mtambuzi, XXLIZ, Suzie
Siamini kaka Great Thinker wana nafasi kwenye maisha ya kiroho.Hebu jikumbushe kuzaliwa kwa Yesu na kuumbwa kwa ulimwengu wewe kama great thinker unaweza ukaelezea kibinadamu?

Upande wangu naamini asilimia mia kuwa wote wanaoenda huko wanataka kuwa na pesa nyingi zaidi.Ukiamini katika roho na kweli kila kitu kinawezekana popote pale ulipo.

NB:Nihatari kwa wale wamtegemeao mwanadamu kuliko Mungu,Mungu yupo na wewe muda wote lakini huamini kama ukimweleza shida zako atakusikia hadi unaamua kwenda kumfuata mwanadamu kwa gharama tena kubwa sana.
 
Siamini kaka Great Thinker wana nafasi kwenye maisha ya kiroho.Hebu jikumbushe kuzaliwa kwa Yesu na kuumbwa kwa ulimwengu wewe kama great thinker unaweza ukaelezea kibinadamu?

Upande wangu naamini asilimia mia kuwa wote wanaoenda huko wanataka kuwa na pesa nyingi zaidi.Ukiamini katika roho na kweli kila kitu kinawezekana popote pale ulipo.

NB:Nihatari kwa wale wamtegemeao mwanadamu kuliko Mungu,Mungu yupo na wewe muda wote lakini huamini kama ukimweleza shida zako atakusikia hadi unaamua kwenda kumfuata mwanadamu kwa gharama tena kubwa sana.

umeongea point sana, binadamu siku hizi wanawaabudu binadamu wenzao.!

siku hizi makanisa ni sawa makampuni ya kibiashara,

watumishi wa Mungu badala ya kumsifia Mungu wanajisifia wao kwanza, na kutangaza uwezo wao badala ya uwezo wa Mungu.

watumishi sasa hivi hatuna imani, tumejaa tamaa za utajiri tu.
mbaya zaidi tunapenda njia za mkato.!!
 
Nafikiri njia bora zaidi ilikuwa ni kumwambia muhusika na sio kuja kulalamika humu jamvini. Pia mie nashindwa kuelewa kama ni kweli dada huyu anaweza fanya kama mnavyomlalamikiwa kwa sababu wisemen wangeshamwondoa kwenye hiyo nafasi.
 
Sumbawanga mimi sio Martha and ila i know martha kiasi and sometimes i try to help her katika mambo mbalimbali as the spirit directs so i am not saying things out of the air , naomba tuwasiliane inbox kama kweli umekwazika sana na unataka kwenda scoan, i have been to scoan more than once with marthas Group so i know what you experienced.
Naomba kukujibu
1.cha ajabu anachokifanya martha ni kuwa anapokea maagizo kutoka kwa prophet on what to do in order to get visitors to visit scoan.she has direct communication to the scoan anytime any day .scoan wanamuamini yeye na sometimes hawezi kufanya chochote bila kuwa directed by scoan lagos and prophet

2
Watanzania wenye access na internet ni wachache thats why Martha is there to help coordinate wale ambao hawawezi kuapply basi sisi wenye acces ya kutumia mtandao kutupa lawama tutumie hii chance kuapply direct tusifanye watu wakakosa chance ya kupata deliverance kwa kumchafua the ONLY BRIDGE that we so far have (maana kuwa na martha na nyodo zake its a priviledge that we should appreciate)

3. Its hard to believe but yes martha pays for the office kiubinadamu huwezi kuamini but yes yes yes and she pays for everything to get you there,..........sasa sijui nikuaminisheje. Thats why i say the truth willl always stand and prevails

4.i believe as human she has , the job is too much for her, i believe anakwazika , anaregret, anaanguka , analia because of this coordinating people who have no appreciation to her humanity.

5.nakubaliana na wewe kuwa hiyo inaweza kuwa ni solution nzuri sana ila kibongo bongo unamfanyia booking mtu then atakupigia kukuuuliza ni dola ngapi? Mwingine atakwambia sijui ofisi ya ubalozi iko wapi? Hela yangu haijatosha nimetumia kwenye hiki na kile .etc believe me we tanzanians are full of excuses and we donot want procedures and systems .
In my poor understanding ni kuwa hii system yooooooote ya kwenda scoan imeratibiwa na scoan wenyewe Martha has no power to do otherwise without the concent of Man of GOD ,believe me she has respect for him and his guidances .

6.wahudumu wa scoan are also not angels they are also guided by the man of GOD and kama utapata neema ya kufika SCOAn utajua kuwa unachokifikiria kuhusu huduma kuwa watakupet pet mpaka uwe delivered sio tena unaweza lia . And they tell it to your face wht you need to be told Martha cha mtoto.

Naomba nimalizie kuwa mimi ni kabwela tu wa kariakoo nimeamua kujibu tuhuma hizi because i have been to scoan iwasaidie watu, hata sasa she is under pressure na anahitaji msaada wa kufanaya hiki na kile ili grupu liende .Tunatakiwa kumwombea kwa Mungu amuinulie watu wa kumsaidia au hata aondoe kibanzi chake kama kipo.. ONLY GOD can be the JUDGE,we are human we are not perfect ,to her she is putting her best self to what she is sent to do by the Lord through the Prophet AND THAT IS WHAT IS NEEDED.majibu yangu yanaweza yasiwe right kwako kwa mtazamo wako but nimeandika ninachokijua kusaidia na sio kwamba najidai kujua sana . I believe in TRUTH

Ulichoandika kina matundu mengi tu, na inaonesha aina ya imani uliyonayo!

Hebu angalia hapo pekundu ndio utajua! Eti unaiita ni privilege, nakuapia unapaswa kujua kuwa Mungu ndiye anayewapeleka na kuwaponya hao watu, mtu kufanya upuuzi wa kuwatia watu makwazo eti halafu wewe unaiita privilege kuwa nae, kisa analipia ofisi na ku’coordinate safari za kwenda huko, kwani amelazimishwa?!

Unalopaswa kujua ni kwamba hata asingekuwepo, Mungu angeinua mtu mwingine wa kufanya hilo, hivyo wakati unamshauri kiroho kama ulivyosema, mwambie asijivishe umungu mtu kisa ana direct access na prophet, maana hiyo siyo guarantee ya kuingia mbinguni, she has to work her way through it all. Kila mtu ataingia mwenyewe kule.

Ona eti unasema kuwa wale wahudumu wa SCOAN, they tell it to your face na Martha ni cha mtoto?! Huoni hata aibu kuyasema haya humu?! Sijui ulilenga kusifia ama kulaani?! unaleta ushabiki kwenye mambo ya kipuuzi, kwani kuwa mhudumu wa TB Joshua ndiyo standard ya jambo jema na baya?! Kama wanafanya kitu cha kibaya kinabaki kuwa kibaya, so hao unaowasema kuwa ni zaidi ya huyu wa huku kwetu, pata nafasi ya kuwashauri pia kuliko kuja kutetea ujinga humu.

Najua wengi wenu katika hatua mlofikia hamjazoea kuambiwa ukweli jinsi ulivyo.
Imeandikwa wanaojikweza watashushwa…!
 
XXLIZ acha kumsingizia TB Joshua kwamba anatoa maagizo yote kwa martha. Kuna kipindi martha aliwatoza hela zaidi watu tbj mwenyewe akamwambia awarudishie na habari ziliwekwa mpaka facebook tbj akawatahadharisha macoordinator wote wakumbuke wito wao na wasitafute kunufaika kupitia shida za watu
 
Last edited by a moderator:
XXLIZ Umejitahidi sana kumtetea Martha (kama sio wewe ndio Martha. Naomba kukuliza mawsali yafuatayo:

1) Ni Watanzania wangapin wanatoa huduma mbali mbali kama Martha ambao wanafamilia zao, wanamaisha yao na stress zao? Cha ajabu anachofanya Martha ni kipi?

2) Ni watanzania wangapi wenye acess na internet ambao wanaweza kufanya on line appointments?

3) Ni kweli kwamba Martha ni mwema kiasi cha kulipia ofisini Benjamini Mkapa na kupiga pesa kwa hela yake? Free of charge?

4) Kama Martha anaona kwamba hiyo kazi ni burden kwake, kwa nini asimwambie T.B. Joshus kwamba it is too much for her?

5) Hivi ni lazima Martha akakatie watu ticket? Si. anaweza kufanya booking na kumpa kila mtu reserveation number, then watu wakakata ticket wenyewe. Hata la Visa inawezekana. Kama anaona ni ngumu sana, basi let her facilitate through dates na sio lazima afanye kila kitu

6) T.B Joshua na wahudumu wenzake wanapokea simu na kuhuudumia watu mara 1,000 ya Martha, how come hawajalalamikiwa? Watu wa kutoka dunia nzima? Martha is the only SCOAN coordinator? What about SA, Kenya and others?


Why Martha??????????????????????????????????????????????


However,
Praise the Lord!

Mkuu umemuuliza maswali mazuri sana huyu anayejiita XXLIZ itafurahisha iwapo atakujibu.

Hapo pekundu ningependa kusisitiza, wapo watu waliomfuata Yesu sio kwa sababu ya kupata Neno la Uzima bali kwa sababu ya ule muujiza wa mikate na samaki. Sikumbuki kitabu ila imeandikwa kabisa. Hizo sehemu nilizoweka rangi zina mashaka sana! Inaonekana mbuzi ameanza kula kwenye urefu wa kamba yake, sasa anajisahau!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom