CONFIDENTIAL: TANESCO, RICHMOND, DOWANS and BoT

CONFIDENTIAL: TANESCO, RICHMOND, DOWANS and BoT

Kinanchonishangaza hapa ni kwa nini Rex attorney waliwashauri Tanesco kuvunja mkataba halafu wakashindwa kuwatetea tena ICC? Kulikuwa na misingi gani Serikali kupitia wizara ya nishati na madini kushinikiza Tenesco kusaini mkataba huo? Serikali ilituambia teni halitalipwa kumbe ilikuwa ni janja ya nyani kula mahindi mabichi.

Hivi mkataba ulisainiwa na TANESCO au na wizara? Kunakitu hapo nahisi tunachanganya! Nadhani TANESCO hawana mkataba na Dowans bali serikali kupitia wizara walisaini mkataba na Dowans. Kama Dowans wangekuwa na mkataba na TANESCO; TANESCO ingekataaje kulipa? Ama nimemsoma vibaya Ludo! Kuna kitu hapo tunatakiwa ku clarify wazalendo wameleta hii ngoma nje ili tujue style iliyochezwa hapo. Unless you tell me otherwise!

Hapo kwenye kushinkiza need tu be checked kuna watu wanaweza kuwa wametumia cover tu ku link hii issue na TANESCO; ukisoma hiyo document between the lines utagundua hakuna mkataba kati ya TANESCO na DOWANS bali Serikali (Wizara) na DOWANS. Na hapo Auditor amenusa kuna kuwa held responsible asipo kuwa makini akanawa mikono kama pilato sasa hukumu iko kwenu nani asulubiwe kati ya Baraba na Yesu sauti zenu zitaamua kesi hii pilato kesha jitoa.

This is pure my thinking based on the document, unless mnanielewesha lakini kwakiasi kikubwa huwa na mwamini hollyspirit katika ku descern evil.
 
Ah, inachosha tumenyonywa hadi mifupa. Hawa watu wapo tunao mitaani through JF tuhamasishane tuwapige kwa nguvu ya umma, tatizo waty tuko waoga maneneno meeeeengi. Do something.
 
Turudishie kidogo hizo docs tuzione wale ambao hautukubahatika kuziona.
 
Hivi mkataba ulisainiwa na TANESCO au na wizara? Kunakitu hapo nahisi tunachanganya! Nadhani TANESCO hawana mkataba na Dowans bali serikali kupitia wizara walisaini mkataba na Dowans. Kama Dowans wangekuwa na mkataba na TANESCO; TANESCO ingekataaje kulipa? Ama nimemsoma vibaya Ludo! Kuna kitu hapo tunatakiwa ku clarify wazalendo wameleta hii ngoma nje ili tujue style iliyochezwa hapo. Unless you tell me otherwise! Hapo kwenye kushinkiza need tu be checked kuna watu wanaweza kuwa wametumia cover tu ku link hii issue na TANESCO; ukisoma hiyo document between the lines utagundua hakuna mkataba kati ya TANESCO na DOWANS bali Serikali (Wizara) na DOWANS. Na hapo Auditor amenusa kuna kuwa held responsible asipo kuwa makini akanawa mikono kama pilato sasa hukumu iko kwenu nani asulubiwe kati ya Baraba na Yesu sauti zenu zitaamua kesi hii pilato kesha jitoa.

This is pure my thinking based on the document, unless mnanielewesha lakini kwakiasi kikubwa huwa na mwamini hollyspirit katika ku descern evil.

item (viii) ya barua ya CAG to PS MoF.......inasema
In a meeting held on 18th December 2006 between Dowans, the Ministry and Tanesco in a move to resolve the matter, the Ministry INSTRUCTED Tanesco to agree with the transfer of the rights and obligations of Richmond to Dowans to sign the agreement which Tanesco SIGNED on 23rd December 2006...........

Ninachojiuliza hapa ni kuwa Dr. Rashid alipojiuzulu ilikuwa ni kwa ajili ya hii issue au?
 
item (viii) ya barua ya CAG to PS MoF.......inasema
In a meeting held on 18th December 2006 between Dowans, the Ministry and Tanesco in a move to resolve the matter, the Ministry INSTRUCTED Tanesco to agree with the transfer of the rights and obligations of Richmond to Dowans to sign the agreement which Tanesco SIGNED on 23rd December 2006...........


Ninachojiuliza hapa ni kuwa Dr. Rashid alipojiuzulu ilikuwa ni kwa ajili ya hii issue au?


swali zuri pia ambalo litatudokeza ni kuwa ni nani aliyetia sahihi mkataba wa Tanesco na Dowans Disemba 23, 2006 kwa niaba ya Tanesco?
 
Naangalia tarehe za barua

From Hans Lottering (Tanesco) to Mrindoko (Madini na Nishati)

Halafu

from Athur Mwakapugi (Madini na Nishati) to Bal. Kazaura (Tanesco)

Napata kizunguzungu..........au kuna kitu kina-miss?, Naona barua ya Tanesco haijajibiwa!
 
Mkuu kwanza ninakushukuru kwamba umeonyesha kilichojificha ndani ya kauli hizi za TANESCO au SERIKALI kulipa. Mimi binafsi sikumwelewa sawasawa mwenyekiti wa POAC aliposema serikali ndiyo ibebe mzigo wa kuilipa DOWANS. Maana yake ni kwamba, Mh Zitto na kamati yake walikuwa wanahalalisha malipo kwa DOWANS yafanyike. Kimsingi walikuwa wanasema watanzania wailipe DOWANS.

Kuna vitu vya kuviangalia tunapotazama utendaji wa Bunge na serikali. Ukichukua taifa kama kampuni ambayo inamilikiwa na wana hisa utaona kwamba:
(i) Taifa la Tanzania linakaliwa na Watanzania wenyewe ambao kimsingi ndiyo kama wanahisa wa Rasirimali zilizopo Tanzania.
(ii) Serikali ni Utawala- Management katika taifa letu. Hapa ni sawa na kuwa na Mkurugenzi mtendaji wa kampuni pamoja na wasaidizi wake, ambao ni wakuu wa Idara mbalimbali katika kampuni. Rais wa tanzania ni kama Mkurugenzi mtendaji wa kampuni na mawaziri wake ni kama wakuu wa idara wa kampuni.
(iii) Bunge ni kama Bodi ya Wakurugenzi iliyopewa dhamana ya kuhakikisha (a) Serikali yaani management inatimiza wajibu wake wa kuhakikisha rasirimali (Amana) za nchi zinatumika ipasavyo na kuongeza tija. (b) Bunge linakuwa ni kama vile NOn- Executive Directors wa kampuni. Sasa basi, Bunge haliwezi lote kuwalinafanya kila kitu, ndipo zikawepo kamati mbalimbali kama za akina Zitto na wengine kwa lengo la kurahisisha wajibu wa Bunge katika kuwatumikia wanahisa wa nchi ya Tanzania.

Sasa basi, Mh Zitto na wenzake wanaposimama kwa niaba ya Bunge kusema Serikali ndiyo iwalipe Dowans, inamaanisha kwamba Utawala utumie amana za taifa kuwalipa DOWANS jambo ambalo TUNALIPINGA NA CHADEMA kikiandamana kupinga hilo. Hapo ndipo ninajiuliza maswali kwamba hivi Mh Zitto na wenzake hawakupata kuona kwamba wanajichanganya na kwamba hawaelewi vizuri majukumu yao???

Zitto na wenzake watoe hoja zinazoeleweka badala ya kuanza kujikanganya!! Tunahitaji utendaji wa Bunge wenye tija siyo kuzungumza zungumza vitu ili mradi kupata media coverage!!

mazee sijui hata unaongea nini
 
Ndugu wana Jamii forums, jukumu kubwa tulilonalo ni kuwaelimisha wengine kwa kuhakikisha kuwa wameziona hizi docs.....

Naamini media zenye Uthubutu kama mwanahalisi zitaweka mambo peupe.... ili na wananchi wengine wafahamu kinachoendelea....

Nalisubiri mwanahalisi toleo lijalo kwa hamu kubwa!!
 
Naangalia tarehe za barua

From Hans Lottering (Tanesco) to Mrindoko (Madini na Nishati)

Halafu

from Athur Mwakapugi (Madini na Nishati) to Bal. Kazaura (Tanesco)

Napata kizunguzungu..........au kuna kitu kina-miss?, Naona barua ya Tanesco haijajibiwa!

There is something you guys are missing, kuandika kuwa forced inawezekana kabisa hiyo ndo information aliyo pewa or documented for people to take cover (true or not need to be checked) kwani kusema siyo maana kuwa kweli mtu wa TANESCO ali sign try to find out this you might find holly spirit has revealed to me something which is amazing! This is purely spiritual intelligence through meditation ebu ka nzi comfirm kama na mimi Mungu wangu aweza inuliwa.
 
swali zuri pia ambalo litatudokeza ni kuwa ni nani aliyetia sahihi mkataba wa Tanesco na Dowans Disemba 23, 2006 kwa niaba ya Tanesco?

Hans Lottering

Ni Mtanzania huyu kweli?

Nafikiri kabla ya kwenda kwenye Utaifa wa Mtu..............inabidi tupate background ya huyu Hans Lottering.......who and what is HE/SHE

Let me be Devil's Advocate here...............Kuna mtu hapo Tanesco alikuwa anaitwa Parsalaw, kuna General Mstaafu wa Jeshi (sikumbuki jina lake) ni mwenyeji/mzaliwa wa Mbeya na wengine wengi tu na majina ya Kigeni............

Who is Hans Lottering?
 
Nafikiri kabla ya kwenda kwenye Utaifa wa Mtu..............inabidi tupate background ya huyu Hans Lottering.......who and what is HE/SHE

Let me be Devil's Advocate here...............Kuna mtu hapo Tanesco alikuwa anaitwa Parsalaw, kuna General Mstaafu wa Jeshi (sikumbuki jina lake) ni mwenyeji/mzaliwa wa Mbeya na wengine wengi tu na majina ya Kigeni............

Who is Hans Lottering?

Ina maana the week before 26th June 2006 ali sign na wa Finish na 23 December 2006 aka sign mwingine na DOWANS? I am lost!

Tanesco, Finland in $92m Generator Bid

Deogratius Joseph
26 June 2006

Dar Es Salaam - The state owned power utility firm, Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) and a Finnish company Wartsila OY have signed a US$ 92.3million contract to procure and install 100MW gas-based emergency power-generators.
Mr. Hans Lottering, the Tanesco deputy managing director said last week in Dar during the signing ceremony that said the generators would substantially reduce the current power problems the country faces.

Source: http://allafrica.com/stories/200606261157.html
 
Back
Top Bottom