Comparing: Lowassa vs Pinda

anajifanya mtu wa kanisa

Hapo una maana gani mkuu!au ni ile issue ya kuomba msamaha kanisa?kama ni hivyo basi wewe una matatizo na ukristu,ukristu ulikuwepo,upo na utaendelea kuwepo hata mfanye nini hamtoweza kamwe kuutokomeza ukristu.Mnapoteza muda wenu bure!!
 

Well said! Big UP!
 
Kuna mtu aliuliza kwanini tunamlinganisha Lowassa na Pinda,why not Lowassa and Magufuli; Lowassa and Mwakyembe: Lowassa and Sitta??

Magufuli and Mwakyembe;Magufuli and Sitta;Sitta and Mwakyembe????yaani its like nasoma the same thread every week.....hivi akiwa marehemu by 2015???? Lets talk about other options basi???ni mtizamo tu jamani!
 
Tuko boti moja!Naona hoja hapa ni yupi bora kati ya MWIZI MCHAPAKAZI LOWASSA na MPOLE MDHAIFU PINDA..Mie kwa upande wangu ni bora Mpole Mdhaifu Pinda!
ni bora jambazi kuliko RPC (POLISI BOSI MKOA) anayeelekeza vikosi vya usalama vielekee mashariki mwa mji ili majambazi yapore magharibi mwa mji baadae apate mgao wake kutoka kwa majambazi. JAMBAZI KILA WAKATI TUTAMKWEPA ILA RPC TUTAMKIMBILIA KUMBE ATATUTEKETEZA

 
Huyo Lowassa mnayejaribu kumsafisha humu hasafishiki! Fikirieni mambo mengine.
 
Kalale naona umechoka. Utaachiwa nchi hii jangwa na mashimo. Fisadi hana huruma na mtuu bidii yake kuchumia tumbo anatumia cover ya hard work kuharalisha ujambazi wake. Fisadi hafai ndg yangu, hapo umechemsha usimfagilie mwizi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Jaman hapa ni PINDA vs LOWASA tu na si wengineo.Hivi kama PINDA anatetea Dowans utamtofautishaje na Lowasa?Hivi kuua au kujaribu kuua ni makosa tofauti yasiohukumika na vifungu vinavyofanana?

 
Pinda anajua ukweli wote na nimchapa ila anashindwa kutekeleza tokana na kuzidiwa na mafisadi

nincho mshangaa kwa nn haachii ngazi?
Maana kweli anaumia jinsi mambo yanavyo endeshwa na mkwere.........

Kwanza unajua kuwa pale sumbawanga pinda hatakiwi kabisa baada ya mafisadi kumtuma akampitishe mmbunge wa sumbawanga kwanjia za panya........toka that day wanachi walimchukia kabisa
 
Hapo una maana gani mkuu!au ni ile issue ya kuomba msamaha kanisa?kama ni hivyo basi wewe una matatizo na ukristu,ukristu ulikuwepo,upo na utaendelea kuwepo hata mfanye nini hamtoweza kamwe kuutokomeza ukristu.Mnapoteza muda wenu bure!!
mwanzilishi wa hii sredi ni mimi marytina ni mkristo , EL ni mkristo wote tunajua ,inaelekea wewe uko tayari kumpa kura mtu wa dini yako hata kama ni mchafu MBONA UNAMAWAZO YA UDINI UDINI sana. ANAJIFANYA MTU WA KANISA NAMAANISHA ANAJIFANYA MTU WA MATENDO MASAFI ( wote twajua viongozi wa makanisa wanavyojitahidi kuwa na matendo masafi)

 
Kwa anaye mjua yule legwainani yule!!atakubaliana na mimi kwama EL nimchapa kazi uwezi kumlinganiha na pinda japo kila mmoja anamapungufu yake!!Kwanza anayekumbuka sakata la mnazi mmoja,sakata la city water hivyo niujasiri kwanza akiwa waziri wa mifugo na maji aliwawekea wananchiwake maji,Mabwawa yakutosha hakuna shida ya maji,akiwa waziri mkuu akawawekea mjiwao kwenye mazingira safi,rami,miradi,Na alikuwa na mipango yakupitisha barabara hadi serengeti kupitia monduli,Shule za kata ndo usiseme the guy is :A S thumbs_up:
 
Hivi nanyi ni majuha? Mnajadili bora Lowasa bora pinda bora lowasa bora pinda!..Lowasa ni mwizi,fisadi,mshirikina,Mnafiki, pinda ni Mnafiki,mvivu kutimiza wajibu,mwoga,Hafai! ..Wenye ufahamu watanielewa.
 
I concur with u.
 
hata kama ni MWIZI always LOWASSA amekuwa mchapa kazi na ni mtu mwenye maamuzi bila kuogopa


Wezi wote huchapa kazi...kwa hiyo Lowasa aendelee kuiba tu, hamna shida, ila uongozi asahau kwa kweli.....
Tena siku hizi hata yeye amekata tamaa, juzijuzi alionekana Billila Lodge anatetemeka mikono kwa kubwia maWhisky mengi ili kupunguza msongo wa mawazo! Ama kweli pesa haileti raha kamwe!
 
Nakuunga mkono Marytina.

Hata hizi shule za kata wanazojivunia CCM, na ambazo mamia ya maelfu ya wanetu wanasoma huko pamoja na mapungufu yake, ni 101% kazi ya Lowassa.

Katika kuchagua mashetani wawili kwa kweli nitamchagua Lowassa...

two wrongs don't make right!hao wote ni sawa na pipa na mfuniko...na hizi post za hivi anzianzisahga nani??oops mi mwenyewe nimeshachangia ...smtmz ni kuziignore tu
 

Haha, Monduli hakuna hata maji ya kunywa unasifia uongo huu?
Mie nilienda Monduli juu kuna shida sana: wanachi na ng'mbe , punda na mbwa hunywa , huoga na kufulia kwenye mabwawa machafu sana. Amini nikwambialo, huwezi kunywa yale maji weqwe kama si mwenyeji!
Ila jamaa anawajulia wamasai sana: Huwa anawachomea nyama na yakila tu, utayasikia yanavyoruka na kumsifia! Jamaa ni fisadi, period, na hilo linamwondolea sifa zozote alizokuwa amebakiza.
Kumsifu Lowasa kuwa ni mchapa kazi, ni sawa na kumsifu Maddof, aliyeyeendesha Wall Street kwa weledi mkubwa wa kitapeli kwa miaka mingi. Lakini , wazungu husema , Crime does NOT pay in the long run: Si umeona Economic crisis ya dunia? Mwanzilishi wa ushenzi huu mnaouita uchapa kazi ni Maddoff. Sasa hivi ananyea ndoo kwenye jela za Marekani, na ni aibu mtu kulitaja hata jina lake. Hata watoto wake wanaona aibu kwamba huyo ndiye baba yao, aliyeyumbisha uchumi wa dunia.
Ni udhaifu mkubwa wa akili kujaribu kumsifu mwizi kwamba ni mchapa kazi. Ujasiri huu umeutoa wapi?
Lowasa ,ni mtu wa kutia shaka, na mahali pekee anapoweza kupewa uongozi ni gerezani.....
 
Nimejiuliza na kutafakari, ni mtanzania gani mwenye uwezo wa kuachia utamu baada ya kutuhumiwa? kitendo cha Lowasa kujiuzulu kilikuwa ni cha kiungwana, kila mtu angetake responsibilty kama Lowasa nchi hii ingekuwa mbali, Bravo Lowasa, you are the Man to beat come 2015
 
mimi sipo hapa kujua yupi bora kuliko mwingine ninachojua ni kuwa any QUESTION DESCRIBES HOW INTELLIGENT A MAN IS na the ANSWER GIVEN DESCRIBES HOW WISW A MAN IS. kwa maana hiyo kila mmoja ana mapungufu yake, ila kiukweli ya pinda yamezidi lowassa was much better though he's a cruke. :kev:
 

Narudia tena, mwizi si mchapa kazi, mwizi ni criminal na sehemu yake ni jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…