Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,608
- 4,265
Basi waweke anasa hizo kwenye mabehewa ya treni reli ya kati maana hii hutumia siku mbilikutoka Dar hadi Mwanza, Kigoma na Mpanda.Kwenye ndege unakaa saa moja tu angani! Anasa zote za nini?
Basi waweke anasa hizo kwenye mabehewa ya treni reli ya kati maana hii hutumia siku mbilikutoka Dar hadi Mwanza, Kigoma na Mpanda.Kwenye ndege unakaa saa moja tu angani! Anasa zote za nini?
Wahi buku 7NAWASEMA WOTE WANAOPINGA UNUNUZI WA NDEGE!!SWALI LINGINE?
Mkuu, unapata ugumu gani kuwasilisha hoja yako bila kuwatukana watu?Ndie Jesika huyo Mkulu alimchukua apande ili aende kuwahadithia viilaza wenzake wa UDOM uzuri wa Mapangaboi.
Yale mabehewa mampya yana 'anasa' za kutosha... Ukisema uwekewe AC na anasa zingine je mteja yuko tayari kulipia additional costs? Shida ya Wabongo tunapenda kulipia the minimum cost possible...Basi waweke anasa hizo kwenye mabehewa ya treni reli ya kati maana hii hutumia siku mbilikutoka Dar hadi Mwanza, Kigoma na Mpanda.
Kwan ww unamsifia nani bro...Yani kuongoza wa tz ndugu yangu ni mtihani mkubwa kuliko kuswaga ng'ombe.
Walau ng'ombe wanajua kuwa wanataka majani mazuri na maji lakini watz hawajui wanachotaka.
Wao kazi kumsifia aliyepita na kuponda kila anachofanya aliyepo.
Enzi za mwinyi walimsifia nyerere wakamponda mwinyi, enzi za mkapa walimsifia mwinyi wakamponda mkapa, enzi za jk walimsifia mkapa wakamponda jk, now enzi za jpm wanamsifia jk wanamponda jpm, hope akimaliza muda wake watamsifia pia.
[emoji574] [emoji574] ndo napaa ivo na Super MBAULA aka BombardierJpm chapa kazi nakuaminia achana na wazee wa ujuaji wa maandamano wakafie mbele kwa mbele
View attachment 409423 Shabiby Luxury Coach.
Kwani shida ni kufika ama "mbwembwe za seat ulipokaa"??? Anyway wahudumu wa ndege zetu hawana "sura za mvuto/atractive face" kama wa ndege za ETHIOPIA OR RWANDAN AIR OR EMIRATES.Ndege za mapangaboi zimeletwa ili kuwahudumia wananchi wanyonge na masikini wa kitaa, wacheni ziwahudumie walalahoi na wadanganyika.
Kuna mpango na mchakato kwa kila mkoa kupatiwa ndege 2 za mapangaboi. Siri-kali hii ina fedha za kutosha, kaeni mkao wa kutumbuliwa tu. Hapana kazi tu.
Comment yangu ilijiegemeza kwenye dhana kwamba hayo mabasi ya Dar Lux yamekuja kwa ajili ya matumizi ya matajiri ilhali ndege za hapa kazi tu zimekuja kwa ajili ya walalahoi. Nilikuwa najaribu kulinganisha uwezo wa walalahoi wa Tanzania kulipa nauli kwenye ndege hizo (za walalahoi). Ngoja tusubiri nauli zitangazwe. Ila kwa kuwa tulishapewa mlinganisho kuwa nauli Dar-Mwanza ni laki nane kwa ndege zilizopo sasa, na Rais akaahidi kuweka nauli ya chini ya hapo, basi walalahoi wajiandae kusafiri kwa nauli ya punguzo kati ya laki 6 hadi 7...(assuming ni kweli kwamba nauli ya sasa ni lakini nane)Yale mabehewa mampya yana 'anasa' za kutosha... Ukisema uwekewe AC na anasa zingine je mteja yuko tayari kulipia additional costs? Shida ya Wabongo tunapenda kulipia the minimum cost possible...