Compare between Dar Lux na ndege za panga boi

Compare between Dar Lux na ndege za panga boi

Yaani kweli mabasi hayo ni mazuri sana ndani issues ni kufika mapema
 
...nikiambiwa nichague bombadia na dar lux hata sihitaji ushauri, fasataaa nachukua dar lux, tupa kule kabombadia....
 
Utaoanishaje ndege zetu za pangaboi na buss za kichina??
 
Naombeni msaada wenu wanajamvi! Kwa mwonekano wa ndani, kati ya Bus za Dar Lux na Hizi ndege za hapa kazi Tu hivi hipi ni more luxurious.
Swala la speed tuweke pembeni. Naomba tucompare mwonekano wa ndani tu.View attachment 409419View attachment 409420

Msininukuu vibaya. Nimefanya kuicompare na basi maana nimekosa hata ndege ya kuicompare nayo. Ndege za wenzetu ni level nyingine. Yani nimeshindwa kuicompare hata na ile Air Tz au Fastjet.

Unaruhusiwa kuleta yakwako ili Tufanye comparison pia.
Ujumbe huu umekaa kichuki binafsi zaidi kuliko kulinganisha kwenyewe na ndio maana sehemu moja (ya ndege) umeweka na picha za watu, na hasa mhusika, kwanini na kwenyewe usiache viti vitupu! Cha msingi linganisha usafiri wa bus na ndege za hapa kazi tu (kama unavyoziita)!
 
Ujumbe huu umekaa kichuki binafsi zaidi kuliko kulinganisha kwenyewe na ndio maana sehemu moja (ya ndege) umeweka na picha za watu, na hasa mhusika, kwanini na kwenyewe usiache viti vitupu! Cha msingi linganisha usafiri wa bus na ndege za hapa kazi tu (kama unavyoziita)!
Tatizo mwenye ndege asinge kuwemo. Wapo ambao wangekuja na kusema sio zenyewe kama baadh wanaobisha kuwa izo sio dar lux.
 
Naombeni msaada wenu wanajamvi! Kwa mwonekano wa ndani, kati ya Bus za Dar Lux na Hizi ndege za hapa kazi Tu hivi hipi ni more luxurious.
Swala la speed tuweke pembeni. Naomba tucompare mwonekano wa ndani tu.View attachment 409419View attachment 409420

Msininukuu vibaya. Nimefanya kuicompare na basi maana nimekosa hata ndege ya kuicompare nayo. Ndege za wenzetu ni level nyingine. Yani nimeshindwa kuicompare hata na ile Air Tz au Fastjet.

Unaruhusiwa kuleta yakwako ili Tufanye comparison pia.
unawezaje kulinganisha vitu toafauti?!are u serious?!
 
Kwani shida ni kufika ama "mbwembwe za seat ulipokaa"??? Anyway wahudumu wa ndege zetu hawana "sura za mvuto/at(t)ractive face" kama wa ndege za ETHIOPIA OR RWANDAN AIR OR EMIRATES.
Nando, Peleka maombi ili wewe uajiriwe uwe mhudumu au tuagize wahudumu kutoka Rwanda?
 
Acheni kututumia wanyonge kama kisingizio
Uncle wanasema zimeletwa kufanya biashara ww unasema zimeletwa kuwasaidia wana nchi wanyonge,wakat hata bei haujui
Wanyonge wameshalipia kupitia 18% na 10%. Kila mnyonge, atanyongwa kulingana na ukubwa wa mfuko wake ulivyotoboka au ulivyotobolewa/ulivyotumbuliwa kwa kodi za kaizari.
Wengi watasafiri bure kwa sababu walishalipia tiketi zao kwa kukaza mkanda na kuisoma namba.

Mapangaboi mbele kwa mbele, Mapangaboimbele kwa mbele.
 
kwanza Hio sio dar Lux alaf hio sio ndege mpya its AirTanzania angalia Uniform Ya mhudumu Huyo alieyekaa na JPM and Lastly mtoa thread sio Yeye ni Kijisehemu kidgo kilichojaa upumbav...Huezi leta Pumba Kwa GT tuchambue Pumbafff!!!
 
Pengine kwa kuwa basi linatumia muda mrefu ndio maana liko luxurious kuliko hizi ndege. Maana mtu wa miraba minne sijui kama atatosha katika hivyo viti.
 
haya mazungumzo ya ndege hayaishi sababu ma expert ni wengi mno nchi hii - kila mtu ni expert wa biashara ya ndege.
ndege hizi zinafaa sana kwa usafiri wa ndani kwa sababu tatu kuu , hali ya uchumi au mtaji, economy na kukidhi mahitaji ya sasa
 
Cheka na Lowasa.
Unatekenywa, Unajitekenya na kucheka mwenyewe, endelea na Magonjwa yako.

Haya tumsifu bwana! Tumpambe kwa maua.
Tuimbe: Mapangaboi mbele kwa mbele, Mapangaboi kata mbuga, mapangaboi leta upepo, oooow mapangaboi mbele kwa mbele.
Mapangaboi nambari wani, oooow mapangaboi mbele kwa mbeleeeee.
😀😀😀😀😀😀😀😉
 
Unatekenywa, Unajitekenya na kucheka mwenyewe, endelea na Magonjwa yako.

Haya tumsifu bwana! Tumpambe kwa maua.
Tuimbe: Mapangaboi mbele kwa mbele, Mapangaboi kata mbuga, mapangaboi leta upepo, oooow mapangaboi mbele kwa mbele.
Mapangaboi nambari wani, oooow mapangaboi mbele kwa mbeleeeee.
😀😀😀😀😀😀😀😉
Ha ha ha, endelea kupoteza muda wako kushindana na Magufuli.
 
Childish. Kupinga kila kitu ni wehu. Kila kitu kina mwanzo.

Kwa kweli watanzania walio wengi wahajui wanachokihitaji na wamezidiwa na kubeza tu.Sasa viti vya basi hata vingekuwa na muonekano mzuri kiasi gani vinabaki kuwa viti tu.Hilo basi la Shabiby au lolote lenye sifa za kuwa luxury bado ni basi tu halitakaa liwe na uwezo wa kupaa.Ndege iwe ya mapanga nje au yaliyofunikwa bado zote ni kwa usafiri wa anga tu.Alielala gorofani usingizi wake hauna tofauti na alielala chumba cha chini.Tofauti ya hizi ndege ni kwenye kasi tu ila pangaboi zetu bado zina sifa ya ajali chache na vifo vichache kuliko boeing, jets na Airbus zinazosifiwa na hata hayo mabasi yakiwemo.Hivyo hivyo matumizi ya mafuta kwa mapanga shaa yetu ni kidogo ukilinganisha na mzitamanizo.Sasa kama taifa hatukuwa na ndege za kibiashara na sasa tumepata angalau hizo mbili sio hatua?Ukipata ajira leo utapanga chumba cha bei ndogo kwanza kwani mahitaji yatakuwa mengi.Ukiimarika utakitafuta cha gharama zaidi.Hivyo hivyo hata kwa taifa na shirika lake ATCL wasingefanya vinginevyo.Raisi alisema upo mpango wa kuagiza ndege nyingine mbili mapema na fedha zake zipo.Ndege moja ya abiria 160 na nyingine 240 na hizi zitasafiri ulaya na kwingineko.Nani amewadanganya ndege hizi hazitumiki kwenye mataifa mengine?Marekani wenyewe wanazo zaidi ya arobaini na hata Ethiopia wanazitumia.Tuache bezo zisizo na manufaa yoyote iwe kwako wala kwa taifa.
 
Upumbavu ni kwamba mtoa mada hajui kwamba picha za lux zipo edited and hizo AIR TANZANIA WAGON bado hazijawekwa vitu comfortable items ndani na hta hyo picha haijawa edited
 
hebu mtoa maada tuweke na picha ya fast jet na precision za route za ndani stil bado Zitakuwa azfk hayo mabasi xo tuacheni dhihaka tupende vyetu
 
Back
Top Bottom