Naombeni msaada wenu wanajamvi! Kwa mwonekano wa ndani, kati ya Bus za Dar Lux na Hizi ndege za hapa kazi Tu hivi hipi ni more luxurious.
Swala la speed tuweke pembeni. Naomba tucompare mwonekano wa ndani tu.View attachment 409419View attachment 409420
Grow up, screw up Dogo....ukikua utaacha ujinga,kazi kupinga tuuuNaombeni msaada wenu wanajamvi! Kwa mwonekano wa ndani, kati ya Bus za Dar Lux na Hizi ndege za hapa kazi Tu hivi hipi ni more luxurious.
Swala la speed tuweke pembeni. Naomba tucompare mwonekano wa ndani tu.View attachment 409419View attachment 409420
Tumechoka na thread zenu za ndege....katafute yakoKutwa kama wachawi hamna jema washiranga na wazandiki wakubwa
Nyie hizo dharua zenu ujue Mungu anawaona, Hivi utawezaje Ku compare Ndege na Bus linalotoka Dar Mwanza masaa takriban 18 na Ndege saa 1.20. Tupende cha kwetu jaman sio kila kitu kukejeliMleta mada anaulizia comfortability ya ndani sio mwendo,kama ni mwendo Mkulu alisha prove mwenyewe kuwa Bajaji ina mwendokasi kuliko hayo Mapangaboi.
Naombeni msaada wenu wanajamvi! Kwa mwonekano wa ndani, kati ya Bus za Dar Lux na Hizi ndege za hapa kazi Tu hivi hipi ni more luxurious.
Swala la speed tuweke pembeni. Naomba tucompare mwonekano wa ndani tu.View attachment 409419View attachment 409420
Watanzania buana, khaaa!!!Dar Lux imeizidi Pangaboi kwa mbali sana tena mno,Pangaboi kwa ndani imekaa kama zile Dala Dala za Mbagala Rangi3 kwenda Chasimba na Kiburugwa.
Mahitaji sio trave time tu, hata confortability na exposure ni muhimu. Mtalii huhitaji kuona zaidi kuliko uharaka.Linatumia muda gani from DSM to Mwanza?
Kwangu bado air Magufuli is the best option
Hivi wamesema nauli toka Dar hadi Mwanza itakuwa bei gani? Maana nasikia inasemwa eti zitakuwa "za walalahoi". Tangu lini walalahoi wakamudu usafiri wa eropleni? Hao waboreshewe tu usafiri wa treni, ndio mkombozi kwao. Usafiri wa anga hauwezi kuwa wa mlalahoi au mkeshahoiNdege za mapangaboi zimeletwa ili kuwahudumia wananchi wanyonge na masikini wa kitaa, wacheni ziwahudumie walalahoi na wadanganyika.
Kuna mpango na mchakato kwa kila mkoa kupatiwa ndege 2 za mapangaboi. Siri-kali hii ina fedha za kutosha, kaeni mkao wa kutumbuliwa tu. Hapana kazi tu.