Compare between Dar Lux na ndege za panga boi

Compare between Dar Lux na ndege za panga boi

Ukichukua Bentley Flying Spur na Toyota Crown Athlete halafu umwambie mtoto wa kindergaten achague kati ya hayo mawili atachagua Toyota Crown kwahio msishangae kuona kuna watu wanasema bus la kawaida lenye LED na fake leather seat linaweza kuwa comfortable zaidi ya 76 passenger turbo prop plane.
 
Naombeni msaada wenu wanajamvi! Kwa mwonekano wa ndani, kati ya Bus za Dar Lux na Hizi ndege za hapa kazi Tu hivi hipi ni more luxurious.
Swala la speed tuweke pembeni. Naomba tucompare mwonekano wa ndani tu.View attachment 409419View attachment 409420

Msininukuu vibaya. Nimefanya kuicompare na basi maana nimekosa hata ndege ya kuicompare nayo. Ndege za wenzetu ni level nyingine. Yani nimeshindwa kuicompare hata na ile Air Tz au Fastjet.

Unaruhusiwa kuleta yakwako ili Tufanye comparison pia.
Usikalili mkuu ndege na bus ni tofauti hata kimapato na gharama za uendeshaji utoaji ajira pia nao ni tofauti hata kwenye makusanyo ya Kodi pia tofauti jifunze kitu kupitia somalia wao walianzaje wapoje na goals zao kunasehemu tunakosea sana sisi watanzania katika biashara
 
Naombeni msaada wenu wanajamvi! Kwa mwonekano wa ndani, kati ya Bus za Dar Lux na Hizi ndege za hapa kazi Tu hivi hipi ni more luxurious.
Swala la speed tuweke pembeni. Naomba tucompare mwonekano wa ndani tu.View attachment 409419View attachment 409420

Msininukuu vibaya. Nimefanya kuicompare na basi maana nimekosa hata ndege ya kuicompare nayo. Ndege za wenzetu ni level nyingine. Yani nimeshindwa kuicompare hata na ile Air Tz au Fastjet.

Unaruhusiwa kuleta yakwako ili Tufanye comparison pia.
Jifunzeni kukubali mazuli yanayotokea ambayo yalikua yameshatoweka.
 
Ukichukua Bentley Flying Spur na Toyota Crown Athlete halafu umwambie mtoto wa kindergaten achague kati ya hayo mawili atachagua Toyota Crown kwahio msishangae kuona kuna watu wanasema bus la kawaida lenye LED na fake leather seat linaweza kuwa comfortable zaidi ya 76 passenger turbo prop plane.
Wewe wataka tuilinganishe na nini kwa mfano?
 
Kalete ya kwao uwe unapanda kwan lazima upande ndeg, si ukapande iyo dar lux, tatizo ukuta umewavuruga
 
mwisho wa siku ndege itabaki kua ndege tuu hata kama dar lux iwe na kitanda na choo bado kwenye bamps utaruka tuu
 
Naombeni msaada wenu wanajamvi! Kwa mwonekano wa ndani, kati ya Bus za Dar Lux na Hizi ndege za hapa kazi Tu hivi hipi ni more luxurious.
Swala la speed tuweke pembeni. Naomba tucompare mwonekano wa ndani tu.View attachment 409419View attachment 409420

Msininukuu vibaya. Nimefanya kuicompare na basi maana nimekosa hata ndege ya kuicompare nayo. Ndege za wenzetu ni level nyingine. Yani nimeshindwa kuicompare hata na ile Air Tz au Fastjet.

Unaruhusiwa kuleta yakwako ili Tufanye comparison pia.
hii interior sio ya darlux ni ya body kutoka kenya Master fabricators na huwezi kuifananisha na ya panga boy
 
Naombeni msaada wenu wanajamvi! Kwa mwonekano wa ndani, kati ya Bus za Dar Lux na Hizi ndege za hapa kazi Tu hivi hipi ni more luxurious.
Swala la speed tuweke pembeni. Naomba tucompare mwonekano wa ndani tu.View attachment 409419View attachment 409420

Msininukuu vibaya. Nimefanya kuicompare na basi maana nimekosa hata ndege ya kuicompare nayo. Ndege za wenzetu ni level nyingine. Yani nimeshindwa kuicompare hata na ile Air Tz au Fastjet.

Unaruhusiwa kuleta yakwako ili Tufanye comparison pia.
Mkuu kwani hiyo ndege ni yako daah hongera


Haya mwingine lete tukompee
 
Naombeni msaada wenu wanajamvi! Kwa mwonekano wa ndani, kati ya Bus za Dar Lux na Hizi ndege za hapa kazi Tu hivi hipi ni more luxurious.
Swala la speed tuweke pembeni. Naomba tucompare mwonekano wa ndani tu.View attachment 409419View attachment 409420

Msininukuu vibaya. Nimefanya kuicompare na basi maana nimekosa hata ndege ya kuicompare nayo. Ndege za wenzetu ni level nyingine. Yani nimeshindwa kuicompare hata na ile Air Tz au Fastjet.

Unaruhusiwa kuleta yakwako ili Tufanye comparison pia.
Sema nyie mna roho mbaya sana
 
Inakera halafu kiongizi anaona ni sawa pyuuuuu tutakamatwa wengi
 
Back
Top Bottom