Yani kuongoza wa tz ndugu yangu ni mtihani mkubwa kuliko kuswaga ng'ombe.Aliye roga vichwa vya watz alishafariki.
Kwa fikra na chuki hii nadiriki kusema ili kuiongoza tz usiwasikilize unaoongoza wanasema nini, wewe fanya tu ipo siku watakushukuru kama ambavyo eti sasa wanamuona jk mzuri wakati walimpona kwa miaka yote 10.
Nahisi jirani zetu wanatushangaa kwa kitojipenda.
Si unajua tena mambo ya promo.Mi mwenyewe nilikuwa bado natafut uhakika.Hapo hakuna bus la dar lux. Dar lux hana Master fabrication
Unajua kinachowafanya viongozi washambuliwe ni chuki za watu dhidi ya chama tawala.Kama kusingekuwa na historia mbaya kati ya raia wengi na chama haya yote yasingekuwepo.Hata J P Ma asingefikiria kuomba msaada wa malaika kuja kuzipoteza JF,fb,twitter,instagram nk.Aliye roga vichwa vya watz alishafariki.
Kwa fikra na chuki hii nadiriki kusema ili kuiongoza tz usiwasikilize unaoongoza wanasema nini, wewe fanya tu ipo siku watakushukuru kama ambavyo eti sasa wanamuona jk mzuri wakati walimpona kwa miaka yote 10.
Nahisi jirani zetu wanatushangaa kwa kitojipenda.
Acheni kututumia wanyonge kama kisingizioNdege za mapangaboi zimeletwa ili kuwahudumia wananchi wanyonge na masikini wa kitaa, wacheni ziwahudumie walalahoi na wadanganyika.
Kuna mpango na mchakato kwa kila mkoa kupatiwa ndege 2 za mapangaboi. Siri-kali hii ina fedha za kutosha, kaeni mkao wa kutumbuliwa tu. Hapana kazi tu.
Pep Gurdiola na KALIMANGONGA RAMADHANI MTORO ONGALLA.Ndege ni ndege tu,..huwezi linganisha kocha wa Man city na Majimaji ya Songea!
PoyeHapo hakuna bus la dar lux. Dar lux hana Master fabrication
Team TUSIONAJEMA.Childish. Kupinga kila kitu ni wehu. Kila kitu kina mwanzo.
[HASHTAG]#TUSIONAJEMA[/HASHTAG].Acheni ushamba wa kukashifu vitu vyetu. Mnasumbuliwa na makabila ya vyama to.
Watu wapo conscious babAliye roga vichwa vya watz alishafariki.
Kwa fikra na chuki hii nadiriki kusema ili kuiongoza tz usiwasikilize unaoongoza wanasema nini, wewe fanya tu ipo siku watakushukuru kama ambavyo eti sasa wanamuona jk mzuri wakati walimpona kwa miaka yote 10.
Nahisi jirani zetu wanatushangaa kwa kitojipenda.
