Hata ndege wakati wa kugusa ardhi hua rubani anafunga breki kali sana kupunguza speed ile iliyokua nayo angani.Ndege ni ndege tuu hata iwe ya Jeshi uwezi fananisha na basi hata zile Greyhound five star bus huwezi fananisha na bus...basi dereva akifunga breki ghafla unaanza kuangalia mbele kuna nini...
Hata ndege wakati wa kugusa ardhi hua rubani anafunga breki kali sana kupunguza speed ile iliyokua nayo angani.
Mkuu ndege ni hatari hapo kwetu na wengi tumeanza kuzipanda umri ushatembea ndio maana kila mtu anaongea lake..,wakati wa kutua na kupaa si kila abiria anakuwa attention na anaelewa kwa nini imefanyika hivyo labda usiwe msafiri wa basi au ndege ndio unaweza kuongea kufananisha hivyo vitu..,Hata ndege wakati wa kugusa ardhi hua rubani anafunga breki kali sana kupunguza speed ile iliyokua nayo angani.
Ha haa haaa, khe kheeeeeeee. Sikujua kuwa wewe ndio Magufuli(makufuli?).Ha ha ha, endelea kupoteza muda wako kushindana na Magufuli.
Kwani sio hivyo?Ujinga ni kudhani ndege Lazima iwe nzuri Zaidi ya bus.
Upuuzi mtupu.Ha haa haaa, khe kheeeeeeee. Sikujua kuwa wewe ndio Magufuli(makufuli?).
Wewe baada ya hapana kazi tu, umejipachika na Magonjwa?
Mgonjwa wa Magonjwa ,rudi kijijini ukalime kwa meno, jf unapoteza muda wako bure, bure kabisa.
Mapangaboi mbele kwa mbele, kata anga, kata mbuga, mapangaboi mbele kwa mbeleeee.
Mimi namuombea Magu awatumbue wadanganyika wote.
Mgonjwa itikia, ameeen.
😀😀😀😉
Umekiri sasa kwamba wewe una Magonjwa. Enenda ile ya Mirembe wakusaidie.Upuuzi mtupu.
Na wewe chukua iyo ya bombadia uiedit. So wamaanisha itarudishwa canada ndyo waweke ivyo vitu confortable?Upumbavu ni kwamba mtoa mada hajui kwamba picha za lux zipo edited and hizo AIR TANZANIA WAGON bado hazijawekwa vitu comfortable items ndani na hta hyo picha haijawa edited
hebu mtoa maada tuweke na picha ya fast jet na precision za route za ndani stil bado Zitakuwa azfk hayo mabasi xo tuacheni dhihaka tupende vyetu
ujinga ni kudhani kufanya neno "uzuri" ni sawa na "ubora"!!Ujinga ni kudhani ndege Lazima iwe nzuri Zaidi ya bus.