Compare between Dar Lux na ndege za panga boi

Compare between Dar Lux na ndege za panga boi

Tatizo Wewe Huelewi unachofanya Mpka Ulichopost maana huwezi Compare basi na ndege..alaf Picha zako za Kucompare zenyewe Hazijalingana Kabisa Lastly ndege Ile mtu unapanda kwa Lisaa limoja na Nusu ulitaka wakuekee tv au?!
Kama vipi Omba wabadilishe shabiby iwe ndege sasa!!
 
Pangaboi ziko tangu enzi za East African Airways.Wengi wa watema pumba ni madogo tu waliozaliwa mwishoni mwa miaka ya themanini au mbeleni kidogo.yaani hii forumns inapungukiwa watu wenye weledi tofauti na ilivyoanza miaka ile.Naweza kusema forumn imeingiliwa
 
haya mapanga boy atapanda aliyeyanunua tu na ndugu zake, ndege zina kelele utafikiri zinataka kupasuka ukisafiri ukifika masikio yameziba
 
Soma halafu u edit although nazijua Greyhound
Ni edit nini Zile zilizopo road sio Five Star nyingi zinabeba watalii Pretoria to Cape unataka kubisha hakuna basi SA five star? basi lote gorofa juu na chini lina seat 18 tuu...Mkuu kwa sisi Wasizwa tukikueleza utabisha vingi tuu
 
Tatizo Wewe Huelewi unachofanya Mpka Ulichopost maana huwezi Compare basi na ndege..alaf Picha zako za Kucompare zenyewe Hazijalingana Kabisa Lastly ndege Ile mtu unapanda kwa Lisaa limoja na Nusu ulitaka wakuekee tv au?!
Kama vipi Omba wabadilishe shabiby iwe ndege sasa!!
1475213498729.jpg
ulitaka niilinganishe na ndege ipi labda?
 
kuna watu wanaziponda ndege wakati hawajawahi kupanda ndege,,,,,huu ni ujinga wa mwisho ,,,,huwezi kuacha kuisapoti serikali yako kwa maendeleo inayokuletea .Nafikiri uzalendo unahitajika kama vipi hamia kenya
 
Mods njooni huku,hizi threads nyingine zinazoanzishwa zinatudhalilisha ma great thinkers,hivi na akili zako kweli una compare ndege kama Dash 8 na basi za kichina!na sio Dash 8 tu hata pia huwezi kulinganisha na ile mikweche ya ATR za Precision air.
 
Panga boy kwa shabiby anasubiri. Alafu tangu lini ukampa mtoto koti analovaa baba. Hauoni kwamba unaidhalilisha shabiby kwa kuicompare na panga boy ya hapa kazi tu
 
Mimi sioni tofauti, labda hizo Tv, Halafu vitu kama hivyo huwa muhimu kwa safari ndefu, sasa wewe lisaa limoja unataka uwekewe na tv. Ukitaka kizuri labda utengeneze kwako. Big up Panga boi.
 
Mods njooni huku,hizi threads nyingine zinazoanzishwa zinatudhalilisha ma great thinkers,hivi na akili zako kweli una compare ndege kama Dash 8 na basi za kichina!na sio Dash 8 tu hata pia huwezi kulinganisha na ile mikweche ya ATR za Precision air.
Wewe wataka tuilinganishe na ndege ipi sasa? Toa thread yako
 
Mkuu,
Nadhani tofauti kubwa ni kwamba wakati Dar Lux inachukua masaa zaidi ya 15 kutoka Dar es salaam mpaka Mbeya,Pangaboi inachukua masaa mawili tu.
'Kama huwezi kulipia 200 ya kivuko basi PIGA MBIZI'
 
Back
Top Bottom