Club Billicanas. Before then

Club Billicanas. Before then

Missing u bills
Akatokea mshamba mmoja akaona tunafaidi sana kuruka majoka pale akaamrisha ivunjwe wakati yeye alikua machakani huko ikiwa inajengwa. Ngoja nitameuliza kibatala juu ya malipo maana nakumbuka kuna kesi mbowe alishindaga sijajua iliishia wapi. Hopefully na hii itaishia pazuri tu. Ijengwe tena na wa mkoani nao wakija dar waoshe...
 
kweli mkuu!

kiingilio safi, entertainment ya kipekee. siku hizi watu wanakusanya tu pesa mlangoni, wanauza pombe bei za ajabu!

dah... ipo siku tu!

nashukuru kwa kunikumbusha mbali!
nashukuru kwa kunikumbusha mbali!
 
Back
Top Bottom