Club Billicanas. Before then

Club Billicanas. Before then

Yeah 💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽

Wakati wake nao ulipitaaaa kitambo..
 
Yeah

Wakati wake nao ulipitaaaa kitambo..
giphy.gif
 
Bills kulikuwa na wana fulani toka kko
Wutang walikuwa wanatamba wao tu mule
Mshana Jr

Ova
Walikuwa jamaa fulani wa hiphop yaani session ya hiphop ikianza ni kama wote mnapanguliwa dance floor wabaki wao.... kama unapenda hiphop na haupo kwa crew yao basi chezea juu kidogo ya dance floor!!!
 
Let bygones be bygones, Wazungu wanasema, there is no use crying over spilt milk.
Yaliyopita yamepita, by the way that Club Billicanas was a vibe! Mara ya kwanza kuingia hapo ilikuwa kitambo sana, 1999 , wakati huo nikiwa bado sijaujua vizuri Ufalme wa MUNGU.
 
Back
Top Bottom