Dar Pekee waliokufa ni zaidi ya elfu 10!!

Dar Pekee waliokufa ni zaidi ya elfu 10!!

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,185
Reaction score
24,564
Naandika huu ujumbe kwa uchungu mkubwa sana[emoji24]

Natamani hata nitoke nje nitangazie dunia nzima inielewe!!

Nimedokezwa kuwa Muhimbili pekee kulikua na maiti zaidi 5600 za watu waliopigwa Risasi siku za tarehe 29 na tarehe 30

Hapo bado sijapata taarifa za Mloganzila,Amana, Temeke, mwananyamala na hosptali ya Wilaya ya Ubungo!!

Kuna dada mmoja ni ndugu yangu anafanya kazi pale aisee hali ni mbaya unaambiwa mpaka sasa maiti zilizoorodheshwa ni zaidi ya 5600 hapo ni Muhimbili tu[emoji24]

Sijui hosptali nyingine hali ipoje, bado sijasemea mikoani[emoji24]

Huenda tukawa na idadi ya watu hata elfu 20 hivi huko Mbeya kuna kijiji cha mpakani huko wameuliwa watu zaidi ya 200 hadi wananchi wengine wamekimbilia nchi jirani

Hali ni mbaya sana, tuna kila sababu ya kupaza sauti, huu ni zaidi ya ukatili haya ni mauaji ya kimbari aiseee[emoji24]
 
Naandika huu ujumbe kwa uchungu mkubwa sana[emoji24]

Natamani hata nitoke nje nitangazie dunia nzima inielewe!!

Nimedokezwa kuwa Muhimbili pekee kulikua na maiti zaidi 5600 za watu waliopigwa Risasi siku za tarehe 29 na tarehe 30

Hapo bado sijapata taarifa za Mloganzila,Amana, Temeke, mwananyamala na hosptali ya Wilaya ya Ubungo!!

Kuna dada mmoja ni ndugu yangu anafanya kazi pale aisee hali ni mbaya unaambiwa mpaka sasa maiti zilizoorodheshwa ni zaidi ya 5800 hapo ni Muhimbili tu[emoji24]

Sijui hosptali nyingine hali ipoje, bado sijasemea mikoani[emoji24]

Huenda tukawa na idadi ya watu hata elfu 20 hivi huko Mbeya kuna kijiji cha mpakani huko wameuliwa watu zaidi ya 200 hadi wananchi wengine wamekimbilia nchi jirani

Hali ni mbaya sana, tuna kila sababu ya kupaza sauti, huu ni zaidi ya ukatili haya ni mauaji ya kimbari aiseee[emoji24]
Hizo maito 5000+ muhimbili zimewekwa sehemu gani?..maana idadi hiyo ni sawa na wanafunzi wa Azania,jangwani,tambaza,Ben mkapa+
 
Naandika huu ujumbe kwa uchungu mkubwa sana[emoji24]

Natamani hata nitoke nje nitangazie dunia nzima inielewe!!

Nimedokezwa kuwa Muhimbili pekee kulikua na maiti zaidi 5600 za watu waliopigwa Risasi siku za tarehe 29 na tarehe 30

Hapo bado sijapata taarifa za Mloganzila,Amana, Temeke, mwananyamala na hosptali ya Wilaya ya Ubungo!!

Kuna dada mmoja ni ndugu yangu anafanya kazi pale aisee hali ni mbaya unaambiwa mpaka sasa maiti zilizoorodheshwa ni zaidi ya 5800 hapo ni Muhimbili tu[emoji24]

Sijui hosptali nyingine hali ipoje, bado sijasemea mikoani[emoji24]

Huenda tukawa na idadi ya watu hata elfu 20 hivi huko Mbeya kuna kijiji cha mpakani huko wameuliwa watu zaidi ya 200 hadi wananchi wengine wamekimbilia nchi jirani

Hali ni mbaya sana, tuna kila sababu ya kupaza sauti, huu ni zaidi ya ukatili haya ni mauaji ya kimbari aiseee[emoji24]
Acha uongo yaani Mochary ya Muhimbili haina uwezo wa kubeba maiti 5,600 kawadanganye nyumbu wenzako huko!
 
Naandika huu ujumbe kwa uchungu mkubwa sana[emoji24]

Natamani hata nitoke nje nitangazie dunia nzima inielewe!!

Nimedokezwa kuwa Muhimbili pekee kulikua na maiti zaidi 5600 za watu waliopigwa Risasi siku za tarehe 29 na tarehe 30

Hapo bado sijapata taarifa za Mloganzila,Amana, Temeke, mwananyamala na hosptali ya Wilaya ya Ubungo!!

Kuna dada mmoja ni ndugu yangu anafanya kazi pale aisee hali ni mbaya unaambiwa mpaka sasa maiti zilizoorodheshwa ni zaidi ya 5800 hapo ni Muhimbili tu[emoji24]

Sijui hosptali nyingine hali ipoje, bado sijasemea mikoani[emoji24]

Huenda tukawa na idadi ya watu hata elfu 20 hivi huko Mbeya kuna kijiji cha mpakani huko wameuliwa watu zaidi ya 200 hadi wananchi wengine wamekimbilia nchi jirani

Hali ni mbaya sana, tuna kila sababu ya kupaza sauti, huu ni zaidi ya ukatili haya ni mauaji ya kimbari aiseee[emoji24]
Walijipanga kuua na hawana cha kupoteza ndio maana hawajari
 
Back
Top Bottom