Club Billicanas. Before then

Club Billicanas. Before then

hapo ndipo palimtoa Sugu, na ndipo sugu na Faiza walikutana. ndo maana akili zao zinafanana.
 
hivi kwanini kila kitu alaumiwe huyu mzee ambaye ni marehemu tayari?
Bado anawatesa tu ikiwa alishawaachia serikali mliyodai?

Club ilivunjwa sababu ya uhuni mwingi na wengi wapiga madili ndio mnaolalamika.

Wengine wamekuja town kwa magari ya mahindi eti nao wanaponda hapa..

Shame..
 
Back
Top Bottom