periodic table
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 208
- 516
Inatafakarisha sana, mkuu.Gari bovu haliwi na thamani hata likiuzwa bei kubwa.
Fiesta ni biashara ndiyo, ila kulinganiaha na thamani wanayoipa bidhaa yao ni kiashiria wana hali mbaya sana!Tunaojua biashara hatushangai,mkiwa wafanyabiashara wa aina moja wengi automatically bidhaa hushuka thaman..ila haimaanishi kua bidhaa hyo ni mbivu.
Kinachofanyika ni kucheza na nyakati tu
Over [emoji23][emoji23][emoji23]MKUU SIMBA AKIZIDIWA NA NJAA HULA HADI NYASI
Show ya wasafi festival waliofanya dar imewapagawisha wakaona wakifanya Bei kubwa hawatapata watu wengi.Fiesta sasa hiv ishakuwa bonaza na wasanii watakaoperform Hilo tamasha washajishusha thamani watakuwa wasanii wa buku tatu.Wazee, imekuja kama surprise kwangu hadi sijaamini masikio yangu na nikabaki na maswali kibao.
Asubuhi nilikuwa nasikiliza Power Breakfast so ikafika point hawa kina Masoud wakawa wanajadili ishu za Fiesta hasa viingilio. Kusema kweli imeniacha na mshtuko mkubwa sana hadi nimebaki najiuliza sababu ya kufanya Fiesta iwe cheap hivyo nini. Wanaogopa au wamefeli au wanawajali watanzania??
Imagine mtu atapata ticket hadi kwa buku 3. Very cheap, ndiyo. Lakini naamini sio bei walioweka kwa kupenda kwao, itakuwa ni tathmini walioifanya wakahisi wanavyojua wao. Hio sababu ya kuwa ni kura na mapendekezo ya watu naona ni porojo tu. Yaani wabongo tungepewa nafasi ya kuamua kiingilio, si wengi tungesema iwe bure.
Btw, V.I.P ni 20k. Ukilipia getini kwa kawaida ni 5k na kwa Tigo Pesa ni 3k tu. Levoz beibiii!
Miaka 20 ya clouds..usifananishe na media uchwarahapo wanataka watu wawe wengi ili waseme waifunika Wasafi Festival Grand Finale
Usije. Si tutaenda kujumuika na vibaka,kula burudani kutoka kwa wakongwe wa burudani..Wewe ni DJ? Hivi unajua kwamba kipimo cha usalama wangu kwenye starehe ni gharama ya kiingilio? (Mimi binafsi) ninaamini wahuni, vibaka na mateja.. Ukiwawekea kiingilio kidogo, watajaa na kuhatarisha usalama wangu, show Kama Hizo huwa siendi Kabisa.
Ni show ya kila mwananchi every cornerWa Tandale mtatupa shida tu kwenye usafiri
We kama unabakwa unafikiri kila mtu anabakwa...!!! Si wenyewe vibakabila kusahau kubakwa na vibaka
Ikajaa full ya wapi!??? Au "full"ina maana nyingineLakini na sound mbovu ilikuwa na gharama kubwa na ikajaa full,but ngoja tuone hao wanyonyaji wa mawingu na bukubuku zao kama hata robo watafika WCB chama lao.
Unajua maana ya sampling dogo !!???Kusample mziki ni kucopy na kupaste ?
S2kizzy alitoa maelezo ya ile bit kutika mbona muhisika ajaskika akilalamika?
Mondi si msanii wa kwanza kusample , tafuta wimbo wa KIba unaitwa Misspineapple au hadithi then usikie alisample nyimbonza kihindi wewe haujui mziki bali ni mshabiki na siwezi kushangaa ndo kizazi cha dot com 2000
Unazijua gharama za kukodi national stadium?!Sasa kama watu hatuna pesa unataka tufanyaje mkuu ?