kibonde ameajiriwa kama day worker,-part time wa clouds FM,jamani mwacheni amtumikie kusaga and clouds Media,kwani maisha dar ni magumu na hasa ukijua umuhimu wa kutunza na kulinda afya and diet.
in short kibonde can say anything as instructed by his bwana and bwanas freinds/associates.
TUMWACHE KIBONDE AMTUMIKIE ,I listend to his program everyday ktk traffic jams,to me its like listening to comedy,na vichekesho,FULL STOP.tuache kumpa chat kwa kumjadili humu,kipindi cha jahazi sio kipindi siriasi ni sawa na kusoma Cartoon ktk gazeti,unasoma after news na kucheka basi.so Kibonde and Co.tuwaaache,
kitu kizuri ametupa promo ya BURE kwa kutaja Jamii Forums ktk radio.