Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

E fm ni mpya ila watangazaji wa zamani na wakongwe. Hujafikiri vizuri wenzio tumeanza kumsikia kitenge tangu mwaka 2000.
 
waanzishe vita tu#kwani nchi itatikisika?kama hapana,bac wactuchoshe#bifu za kike hatuna time nazo!!
 
Nashukuru Kwa Kumfagilia Jeff Lea Na Kwa Kupoteza Nguvu Zako Nyingi Kuandika Wakati Mada Iliyopo Mezani Ni Ya Clouds FM Na E FM Ila Hiyo Ya Kuhusu Jeff Lea Wako Unaweza Tu Na Wewe Ukamwanzishia UZI Wake MAALUM Na Tunaojua Strength Na Weakness Yake " Tutatiririka " Vile Vile.
Umenena vyema
 
Mleta mada nimependa ulivyoleta mada, inavutia kusoma vipi umesoma journalism? niipopenda zaidi hapo ni hao ulipowaelezea wakongwe wasiokuwa na maendeleo aka wazee wa kamati za ufundi
 
Hapo kwa dina n uongo,na usimchafue mdada wa watu aisee,dina hajawah kuwa na mauhusiano na ruge kabisa,kama hujui kitu bora uulize,dina alkua natoka na reuben ndege na ndo mzazi mwenzie.
Kama humjui mtoa mada yeye anajua kila kitu na kila mtu
 
HATA Ww Mkuu Hayo Baadhi Ya Maneno Yako Yana Harufu Ya SHOMBO La SAMAKI!!! NAYO Ni Chanzo Cha CHUKI, Sasa Unapojaribu Kuwanyooshea Vidole Wao, Nawe Kwako Jitafakari!!!
Mtoa mada ana sifa ya uchonganishi
 
Ili Uone Kwamba BIFU Hili Sasa Linaelekea Pabaya Hawa WATANGAZAJI Wote Wakiwa Off Air Hupigana Madongo Ya UKWELI UKWELI Kwa Mfano Upande Mmoja Unaushutumu Mwingine Kuwa Kuna Mtangazaji Mmoja Ni " MWIBA MCHICHA " Huku Upande Wa Pili Nao Ukiushutumu Mwingine Kuwa Kuna Mtangazaji Mmoja Ni Mpigaji Maarufu Wa Gitaa La Solo La " Dally Kimoko ".
Hivi wewe uliwahi kuugua ugonjwa wa kichaa?
 
Hili tifu kama la ZAY B na SISTER P enzi zile za muziki wa kizazi kipya,wakati mwingine haya mambo ni burudani tosha.
 
Umekosea Kabisa Mkuu Na Kama Ni Safari Basi Sisi Tunaelekea Kigoma Wewe Unataka Kutupeleka " Kisiju " Naona Mnazidi Tu Kupata Shida Hivyo Ngoja Niwafumbieni Tena Na Kama Hapa Msipoelewa au Kung'amua Kitu Basi Hakika Sasa Mtakuwa Ni MAPOPOMA Kweli Na Msinisumbue Tena Kuniuliza Sawa? Tafuteni Gari Zote Za Ubalozini Kisha Angalieni Zile Herufu Zake Za Katikati Ambazo Huwa Ni Mbili Tu Kisha Ongeza Mbele Namba Nne ( 4 ) Halafu " Jiongezeni ". Sitaki Tena Swali Juu Ya Maana Ya " Dally Kimoko " Ukiweza Kulifumbua Hilo FUMBO TAKATIFU Hapo Wewe " JINIASI " Na Tutakuwa Pamoja.
Ngoma AKA Ngwengwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom