Vizuri Sana Kumbe Hata Wewe UMELIONA Hili. Upo Sahihi 100%! Hili BIFU Lisipotafutiwa Dawa Mapema TUTEGEMEENI Siku Moja Kuyasikia Yale MATUSI Yetu Ya Kibaiolojia HEWANI. Ila Mpenda CHOKOCHOKO MKUU NI Ibrahim Masoud " Maestro " Ambaye Tokea Akiwa Hapo Clouds Media Group Na Kule Klabuni Simba Sports Club Alikuwa Ni MTU WA KUJIKWEZA, DHARAU Na Ana Tabia Moja Mbaya Sana Ya Kupenda KUABUDIWA Kama Siyo KUNYENYEKEWA Lakini Pia Ni Mtu Mzuri Sana Na Wa KUTUKUKA Wa Kamati Zetu Zile Za UFUNDI Tunazoziona Katika Vilabu Vyetu Hivi Vikubwa Viwili ( Kupiga KIPAPAI Wenzake au HOLA HOLA ) Ili Aonekane Yeye Tu Na Aliposhtukiwa Na Wenzake Wa CLOUDS FM Kwa Hiyo Tabia WAKAANZA KUMTENGA Ila Kiboko Yake Ni Kwa Maulid Kitenge Ambaye Jamaa Kila Akimpiga KIPAPAI Kitenge Anakuta Mwenzake KESHAOGA MAJI YA BAHARI Muda Mrefu Sana. Hii FILAMU Naiona Kabisa Inapoenda Na Itakapoishia! TCRA Ingilieni Kati Kwani Hata Kipindi Cha Clouds FM Cha Saa 4 Hadi Saa 7 Kinachorushwa Sasa Na Maadui Zake Dina Marios Na Cha E FM Cha Saa 6 Hadi Saa 9 Mkivisikiliza Ni FULL MIPASHO, VIJEMBE Na MAJUNGU Tena Ya Wazi Wazi. Ni Hatari!