Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

Hivi Dina Marios si alikuwa mzazi mwenzie Dr Ndege kabla hawajaondoka Clouds Fm?
 
Usiogope ntagharamia kila kitu ili ukapimwe akili yako na upewe Tina ya sindano za kudungwa kwenye kichwa chako,,maana nafuatilia topic zako nyingi umu huwa utaki kuulizwa swali,na Mara nyingi Una majibu km MTU anaekaribia kupatwa na uchizi(madman)__

Nilipojiita " GENTAMYCINE " Hakika SIKUKOSEA Na Ndiyo Nawapeni Tu TIBA Humu Na Kiukweli MAPOPOMA Wa Aina Yako Humu Mnanyooka. Kumbe Umekuwa Tokea Siku Nyingi Sana UKIFUATILIA Posts Na Threads Zangu Humu JF? Nimefurahi Sana Leo Kusikia Kuwa Nina FOLLOWER Aina Ya POPOMA Kama Wewe Anayenifuatilia Humu. Si Wewe Tu Mkuu Unayenifuatilia Bali Hata MALAIKA WA MBINGUNI KWA MWENYEZI MUNGU WANANIFUATILIA NA WANAPENDA KAMA SIYO KUVUTIWA NA VITU NINAVYOVILETA HUMU. Na Kama Haitoshi Hata Rais Wako Magu HALALI Na HAPITISHI Siku Bila Kufungulia JF Kuangalia " Mathematicien " GENTAMYCINE Ameandika au Ameanzisha Uzi Gani Humu. Kufuatiliwa Na Rais Wa Ni Bahati Sana Mkuu Japo Najua Kabisa Kuwa Wewe FOLLOWER Wako Mkubwa Humu Ni " LUCIFER ".
 
Hivi Dina Marios si alikuwa mzazi mwenzie Dr Ndege kabla hawajaondoka Clouds Fm?

Huyo Dr. Aeroplane Alikuta Tu Tayari Rubani Mwenzie Wa Kihaya Amesharusha Ndege Yake Sana Katika Kiwanja Hicho Cha Dina Marios International Airport.
 
Sio bifu huo ni ushindani ila tatizo lenu nyie mashabiki ndio mnagombanishaga siku zote.
 
Ila Ibrahim Masoud " Maestro " Bingwa Wa MAJUNGU, FITINA Na Mambo Ya HOLA HOLA Kwa Watangazaji Wenzie Unamuheshimu? au Ndiyo Wewe Ndiye Mwenyewe Hivyo " Jiwe Limemlenga Mlengwa? ".
unajua shaffii kazunguka sana hii dunia na anavyoongea anaonyesha ni mtu mwenye uelewa mkubwa. sasa uswahili anatoa wapi? au mbwiga anamuambukiza?
 
Ungekuwa Ni Ushindani Mbwiga Angekuwa Anamcheka Ibrahim Masoud " Maestro " Kuwa Kafanya Kazi Clouds Media Kwa Zaidi Hata Ya Miaka 12 Lakini Kaja KUNUNUA Gari Baada Ya Miaka 8 Kazini Wakati Yeye Mbwiga Mbwiguke Kafanya Kazi Sasa Ni Mwaka 1 Tu Tayari Ana GARI? Mkuu Labda Nikuambie Tu YANAYOENDELEA Baina Ya Hawa WATANGAZAJI WA MICHEZO WA HIZI REDIO MBILI Ni MAKUBWA Na Narudia Tena Kama WASIPOKALISHWA Chini Na KUONYWA au KUREKEBISHWA Naiona Hatari Na Watafika Pabaya.
Daaah!! Kumbe Mbwiga Ana Mambo Ya Kitoto Hivi.. , Basiii....Nimemshusha!! kuwah Kununua Gar Au Kuchelewa, Ailetii Maana!! Tunaishi Kwa Mipango.
 
Km unafuatilizia vzr chambuzi za michezo hasa mechi ikiwa inachezwa utaonj kabisa kina daudi hawapo vzr kulinganisha na wengine kwangu mm geofrey lea iz da best then 2tofautishe mchambuzi wa mpira mtangazaji na m2 wa kucheza na habari za mitandao...nawasilisha
Jeff Lea kashasepa yupo azam, clouds hamna kitu ktk uchambuzi kazi kubeba vitu goal.com kule e.FM maestro yupo vizuri na yule Oscar Oscar ni hatari kwny michezo wamepigwa gap clouds
 
Acha KEJELI Na SANIFU Za Kirejareja. Ungesoma Journalism au Ungekuwa Ni Mbobezi ULIYETUKUKA Hasa Kwa Masuala Ya Communication Usingebeza Nilichokiweka Hapo. Maelezo Yako Yanaakisi UNAFIKI Wako. Wewe Huyo Huyo Unasema Waliosoma Wakupe Summary Halafu Wewe Tena Unasema Unataka Kuujua Huu Mtanange.

Shida ndio ipo hapo......sijasoma journalism hakyamungu.......niadisie kwa kifupi basi........
 
Wapo watangazaji waliohama toka Clouds na kwenda EFM, baada ya hapo kumefuatia vijembe vya hadharani, yaani wakati vipindi vikiendelea, wanarushiana madongo hewani.

Asante mwaya.....@GENTAMYCINE anasema namvunjia.......
 
Mimi hata wakipigana haidhuru kwangu maana siwajui japo napenda kusikiliza vipindi vyao.
 
eti dina mario kaachwa ba boss wake kiwembe .. na bosi kiwembe yupo nazamaradi ..mi hilo ndiyo linanihusu umbea wa siku huu

Hapo ndio penye point.......tungeanzia hapo hapo.......
 
bora usifahamu kabisa maana mm mwenyewe sijui kabisa na wala sio msikilizaji wa hizo redio bora nichat jf kuliko kusikiliza radio hizo za vijembe na mipasho

Hebu fanya ufahamu.......jinsi miss chagga alivyonisamaraizia.......nadhani kuna ubuyu wa vimto hapo kati.......
 
Hapo ndio penye point.......tungeanzia hapo hapo.......
sasa kwa hiyo wanabifu sasa dina kaamia EFM na zamaradi yupo clous wanapigana vijembe live live redioni .. khe h ehehe eti kisa bosi kiwembe ,.. ngoja nianze kusikiliza kote kote niupate vyema
 
Dina Marios na Zamaradi hawajagomea bwana (mkurugenzi kiwembe) Dina anarelationship na Reuben Ndege miaka 10 sasa na uhusiano unajulikana kila mtu anajua mpaka Ndege ameondoka pale, sasa wana mtoto
 
Clouds kuwa na beef na hao efm ni uboya cuz ni ka redio ka juzi(although ni kali) lakini huku mikoani hakuna kitu na it will take time kukamata wasikilizaji wa mikoani..so CLOIDS bado iko juu...na hao watangazaji wa kiume waache UBOYA wa kurushiana maneno ya kikekike..
Kusema ukweli E-Fm ni radio yenye nguvu kama ilivyo Clouds Fm na huko mikoani ni kwa sababu bado hawapewa frequence lakini watu wa Dar wanajua nguvu ya E -Fm..

Na hakika E-FM ndio baba wa habari za michezo hakika wako vizuri Clouds hawagusi!

Na wakifika huko mikaoani itakuwa ni hatari sana..jamaa wabunifu sana.

Ni aibu watu kuanza kugombea neno ambalo kimsingi hakuna mwenye hati miliki! Ni utoto kusema maneno yako yanatumiwa na hii ni ishara ya kuzidiwa...labda mmoja wao athibitishe amelikwenda COSOTA kupata hati miliki ya neno kampa na kampa tena..!

Huu ni utoto kabisa....
 
Kusema ukweli E-Fm ni radio yenye nguvu kama ilivyo Clouds Fm na huko mikoani ni kwa sababu bado hawapewa frequence lakini watu wa Dar wanajua nguvu ya E -Fm..

Na hakika E-FM ndio baba wa habari za michezo hakika wako vizuri Clouds hawagusi!

Ni aibu watu kuanza kugombea neno ambalo kimsingi hakuna mwenye hati miliki! Ni utoto kusema maneno yako yanatumiwa na hii ni ishara ya kuzidiwa...labda mmoja wao athibitishe amelikwenda COSOTA kupata hati miliki ya neno kampa na kampa tena..!

Huu ni utoto kabisa....
Kiukweli hata Mimi clouds fm wamenishangaza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom