Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

Ili Uone Kwamba BIFU Hili Sasa Linaelekea Pabaya Hawa WATANGAZAJI Wote Wakiwa Off Air Hupigana Madongo Ya UKWELI UKWELI Kwa Mfano Upande Mmoja Unaushutumu Mwingine Kuwa Kuna Mtangazaji Mmoja Ni " MWIBA MCHICHA " Huku Upande Wa Pili Nao Ukiushutumu Mwingine Kuwa Kuna Mtangazaji Mmoja Ni Mpigaji Maarufu Wa Gitaa La Solo La " Dally Kimoko ".

Hayo maneno ya mbuu na nyekundu sijayaelewa kabisa, labda fafanua.
 
Ungekuwa Ni Ushindani Mbwiga Angekuwa Anamcheka Ibrahim Masoud " Maestro " Kuwa Kafanya Kazi Clouds Media Kwa Zaidi Hata Ya Miaka 12 Lakini Kaja KUNUNUA Gari Baada Ya Miaka 8 Kazini Wakati Yeye Mbwiga Mbwiguke Kafanya Kazi Sasa Ni Mwaka 1 Tu Tayari Ana GARI? Mkuu Labda Nikuambie Tu YANAYOENDELEA Baina Ya Hawa WATANGAZAJI WA MICHEZO WA HIZI REDIO MBILI Ni MAKUBWA Na Narudia Tena Kama WASIPOKALISHWA Chini Na KUONYWA au KUREKEBISHWA Naiona Hatari Na Watafika Pabaya.

We Jamaa unachekesha sana.Gari ndiyo nini kwenye maisha!.Unathaminisha uwezo wa mtu kwa kuwa na Gari!?
 
Ila Kinachonisikitisha Ni Huu Uwongo Wa Maulid Kitenge Kuwa Hilo Neno La " KAMPA KAMPA TENA " Wao E FM Ndiyo Wamelianzisha ILA Kwa Kuwa Mimi SIPENDI UNAFIKI Na UWONGO Niseme Tu UKWELI Kuwa Aliyekuwa Wa Kwanza Kulianzisha Hilo Neno Hadi Sasa LIMESHIKA Kasi Mpaka Linatumika Sasa Na Watangazaji Wa Michezo Wa Vyombo Vingine Ni Mtangazaji MTUMBUIZAJI Mbwiga Mbwiguke Na Ningemwona Maulid Kitenge Na Wenzake Wa E FM Badala Ya Kufanya MZAHA Nalo Basi Wangekiri tu Japo Kimoyomoyo Kuwa Wamelichukua Kama Siyo Kuliiga Kutoka Kwa Mbwiga Mbwiguke. Kitaaluma Kufanya " Acknowledgement " Siyo KOSA Wala Hakuna AIBU Ila Kujifanya Kuwa Wewe Ndiyo Mwenye Hilo Jambo au Neno Wakati Siyo Kweli Ndiko KUJISHUSHIA HESHIMA Na KUDHARAULIKA Na Wanaojua.
wote wanapiga kelele tuu za debe tupu lisoisha kutika....maneno ya kiswahili mmiliki wake ni baraza la kiswahili la taifa (BAKITA)...hakuna mbwiga wa kitenge mwenye hatimiliki ya neno la kiswahili....ingekuwa hivyo juma nature kasim kiroboto...kibla...angekuwa tajiri wa maneno maana kila nyimbo aliyokuwa akiimba alikuwa anatunga neno au msemo mpya wa kiswahili na unatumika nchi na dunia nzima...mfano?...gado, chonga ngenga, kuku kuku jogoo jina, mapokopoko anjari na kadha wa kadhalika.

waambie hao watoto wakuwe wajuwe...na mbwiga mwambie aache utoto mtu mzima yule asisubiri kupigiwa kengele au alarm kuwa keshakuwa anazeeka sasa.
 
Hao Clouds wakubali tu muda wao wa kuwa juu umeshafika mwisho. Kwanza huyo Shaffi anajifanya mbobezi wa michezo wakati muongo tu, kwa mtu anayejua soccer la ulaya juu juu anaweza kumuona anajua lakinj ni mweupe tu. Kuna vitu anadanganyaga kweupe mchana
 
Dally kimoko yaani mpenzi kimoja,wale wazee wa zote tamu

Umekosea Kabisa Mkuu Na Kama Ni Safari Basi Sisi Tunaelekea Kigoma Wewe Unataka Kutupeleka " Kisiju " Naona Mnazidi Tu Kupata Shida Hivyo Ngoja Niwafumbieni Tena Na Kama Hapa Msipoelewa au Kung'amua Kitu Basi Hakika Sasa Mtakuwa Ni MAPOPOMA Kweli Na Msinisumbue Tena Kuniuliza Sawa? Tafuteni Gari Zote Za Ubalozini Kisha Angalieni Zile Herufu Zake Za Katikati Ambazo Huwa Ni Mbili Tu Kisha Ongeza Mbele Namba Nne ( 4 ) Halafu " Jiongezeni ". Sitaki Tena Swali Juu Ya Maana Ya " Dally Kimoko " Ukiweza Kulifumbua Hilo FUMBO TAKATIFU Hapo Wewe " JINIASI " Na Tutakuwa Pamoja.
 
nchakali yule rubern ndege ndio anatoka tena na zamaradi!1sikazaa na dina marius navyoskia au unamzungumzia ruge
Uwepo Wa Ibrahim Masoud " Maestro " Na Mwenzie Dina Marios Huko E FM Ndiyo KICHOCHEO Kikubwa Cha Yote Haya Kwani WATANGAZAJI Hawa HAWAJAONDOKA Vizuri Clouds Media Group Huku Maestro Akiendeleza CHUKI Zake ALIZOKUWA NAZO DHIDI YA Mbwiga Mbwiguke Na Mtangazaji Mwenzie Shaffi Dauda Huku Mwanadada Dina Akiendeleza Chuki Zake Kwa Bosi Na Hawara Yake ( Bosi KIWEMBE ) Juu Ya KUMTHAMINI Sana Mwanadada Mbau Mbau Wa KIHA Aliyeonekana KUMSHIKA Vilivyo Bosi KIWEMBE Na Sasa Kamzalia Mtoto Wa Pili Hadi Bosi KIWEMBE Sasa Anakaribia Kumuachia MAJUKUMU Mengine Mrembo Mtangazaji " Mbau Mbau ". Hii VITA SI YA KITOTO Na Ni Bonge La FILAMU!
 
Mleta mada mwanzoni ulieleweka sana kama mtaka ufumbuzi wa huo mgogoro,lakini maelezo uliyatoa baada uzi wako yanaonesha nawe pia ni sehemu ya tatizo.Pamoja na UMAKINI WAKO MZURI,lakini unautumia vibaya.
 
Umekosea Kabisa Mkuu Na Kama Ni Safari Basi Sisi Tunaelekea Kigoma Wewe Unataka Kutupeleka " Kisiju " Naona Mnazidi Tu Kupata Shida Hivyo Ngoja Niwafumbieni Tena Na Kama Hapa Msipoelewa au Kung'amua Kitu Basi Hakika Sasa Mtakuwa Ni MAPOPOMA Kweli Na Msinisumbue Tena Kuniuliza Sawa? Tafuteni Gari Zote Za Ubalozini Kisha Angalieni Zile Herufu Zake Za Katikati Ambazo Huwa Ni Mbili Tu Kisha Ongeza Mbele Namba Nne ( 4 ) Halafu " Jiongezeni ". Sitaki Tena Swali Juu Ya Maana Ya " Dally Kimoko " Ukiweza Kulifumbua Hilo FUMBO TAKATIFU Hapo Wewe " JINIASI " Na Tutakuwa Pamoja.

ahahahah..CD4 count haisomi vizuri inabidi iongezwe kitabibu...na chanzo cha hizo cd-4 kushuka ndio tatizo la muhusika.

anyway..bado sipendi kuamini kuwa mpaka leo upungufu wa cd4 unaweza kuwa tusi kwa mtu mwengine ambaye za kwake ziko vizuri.

Yani watangazaji ambao ni kioo cha jamii wanatukanana waziwazi kuwa fulani cd4 zina mgogoro?.....warudi shule wakasome..hapo tatizo ni elimu. Na ndio maana nazidi kuelewa kwanini vipaumbele vya rais wa watu vilikuwa

1- elimu

2-- elimuu

3--- elimuuuu
 
Vizuri Sana Kumbe Hata Wewe UMELIONA Hili. Upo Sahihi 100%! Hili BIFU Lisipotafutiwa Dawa Mapema TUTEGEMEENI Siku Moja Kuyasikia Yale MATUSI Yetu Ya Kibaiolojia HEWANI. Ila Mpenda CHOKOCHOKO MKUU NI Ibrahim Masoud " Maestro " Ambaye Tokea Akiwa Hapo Clouds Media Group Na Kule Klabuni Simba Sports Club Alikuwa Ni MTU WA KUJIKWEZA, DHARAU Na Ana Tabia Moja Mbaya Sana Ya Kupenda KUABUDIWA Kama Siyo KUNYENYEKEWA Lakini Pia Ni Mtu Mzuri Sana Na Wa KUTUKUKA Wa Kamati Zetu Zile Za UFUNDI Tunazoziona Katika Vilabu Vyetu Hivi Vikubwa Viwili ( Kupiga KIPAPAI Wenzake au HOLA HOLA ) Ili Aonekane Yeye Tu Na Aliposhtukiwa Na Wenzake Wa CLOUDS FM Kwa Hiyo Tabia WAKAANZA KUMTENGA Ila Kiboko Yake Ni Kwa Maulid Kitenge Ambaye Jamaa Kila Akimpiga KIPAPAI Kitenge Anakuta Mwenzake KESHAOGA MAJI YA BAHARI Muda Mrefu Sana. Hii FILAMU Naiona Kabisa Inapoenda Na Itakapoishia! TCRA Ingilieni Kati Kwani Hata Kipindi Cha Clouds FM Cha Saa 4 Hadi Saa 7 Kinachorushwa Sasa Na Maadui Zake Dina Marios Na Cha E FM Cha Saa 6 Hadi Saa 9 Mkivisikiliza Ni FULL MIPASHO, VIJEMBE Na MAJUNGU Tena Ya Wazi Wazi. Ni Hatari!
Boss kiwembe ni nani?
 
wote wanapiga kelele tuu za debe tupu lisoisha kutika....maneno ya kiswahili mmiliki wake ni baraza la kiswahili la taifa (BAKITA)...hakuna mbwiga wa kitenge mwenye hatimiliki ya neno la kiswahili....ingekuwa hivyo juma nature kasim kiroboto...kibla...angekuwa tajiri wa maneno maana kila nyimbo aliyokuwa akiimba alikuwa anatunga neno au msemo mpya wa kiswahili na unatumika nchi na dunia nzima...mfano?...gado, chonga ngenga, kuku kuku jogoo jina, mapokopoko anjari na kadha wa kadhalika.

waambie hao watoto wakuwe wajuwe...na mbwiga mwambie aache utoto mtu mzima yule asisubiri kupigiwa kengele au alarm kuwa keshakuwa anazeeka sasa.

Wewe Ungekuwa HAKIMU Ungetufunga Wengi Sana Labda Mwenyezi Mungu Alijua Ndiyo Maana Sasa Ni Messenger Tu Hapo Ulipo. Umeanza Vizuri Sana KIUFAFANUZI Lakini Nimeshangaa Hapo Mwishoni Ulipomalizia Umemsema Tu Mbwiga Mbwiguke Kuwa Ni Mzee Na AJIREKEBISHE Wakati Tunaomjua Mtangazaji Ibrahim Masoud " Maestro " UMRI Wake Hautofautiani Na Wa Mbwiga Mbwiguke Na Yawezekana Huyo Mbwiga Unamuona Ni Mzee Kwakuwa Labda Alikuwa Ni FUNDI SELEMALA Kisha MUOKOTA MAKOPO Hadi Pale Alipochukuliwa Na Azam Media Ambapo Hakukaa Sana MKOMBOZI WA WANYONGE NA ANAYEPENDA KUWAIUNUA WATU Mwanamichezo, Mchambuzi Na Mtangazaji Shaffi Dauda ALIPOMUONA Na Kugundua KIPAJI Chake Na Kwenda Nae Clouds Media Group Ambako Sasa Mbwiga Mbwiguke Ni Muajiriwa Na Anakula MAISHA MATAMU Na MAZURI Kwa UTUNDU Wake Tu Wa KUONGEA Huku Wengi Wetu Tukiwa WASOMI Tena WA KUTUKUKA Lakini 24/7 Tunazunguka Tu Na MIBAHASHA Kutafuta AJIRA Hadi Viatu Vyetu " Vinalala Yombo " Yaani Vinapinda Katika Visigino. Usomi Uendane Na Kipaji Na Kwa Nchi Zetu Hizi Za Africa Ukiwa Na Kipaji au Kitu Cha Ziada Zaidi Ya ELIMU Utatoka Tu UPESI Sasa Kimbembe Uwe UMESOMA Sijui Una Ka Degree au Ka Masters Kako Halafu Huna UBUNIFU Wa KIMAISHA au KIPAJI CHOCHOTE Kila Siku UTAMWONA Dr. MAGUFULI Na Wazazi Wako Wabaya " Nuksi ". MJINI KIPAJI ELIMU KAWALINGISHIE WANAVIJIJI WENZAKO HUKO!
 
Clouds kuwa na beef na hao efm ni uboya cuz ni ka redio ka juzi(although ni kali) lakini huku mikoani hakuna kitu na it will take time kukamata wasikilizaji wa mikoani..so CLOIDS bado iko juu...na hao watangazaji wa kiume waache UBOYA wa kurushiana maneno ya kikekike..
 
Siku nyingi sijasikiliza Clauds FM, nilishaipotezea kitambo, siwafagilii
 
ANA OFISI MIKOCHENI JOINT VENTURE FLANI, UNATAKA "MRABAHA?" KWA YULE JAMAA ALIE GAWA PESA STANBIC? JIONGEZE, SI VYOTE UTAFUNIWE

Huwa Nawapenda " MAJINIASI " Kama Nyie ( Wewe ) Mkuu. Akhsante Kwa Kuzidi Kumuelewesha Huyo Mwanadamu Mwenzetu.
 
Hata hivyo ukichunguza vizur utajua tangu hapo awali ujue clouds kama wamepigwa gepu na wapinzani wao wamepata watu wengi saaaana sasa sikiliza vizurii utajua tu kuna bifuu na hata ktk uchambuzi clouds simba Efm young African
 
Back
Top Bottom