Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

Ili Uone Kwamba BIFU Hili Sasa Linaelekea Pabaya Hawa WATANGAZAJI Wote Wakiwa Off Air Hupigana Madongo Ya UKWELI UKWELI Kwa Mfano Upande Mmoja Unaushutumu Mwingine Kuwa Kuna Mtangazaji Mmoja Ni " MWIBA MCHICHA " Huku Upande Wa Pili Nao Ukiushutumu Mwingine Kuwa Kuna Mtangazaji Mmoja Ni Mpigaji Maarufu Wa Gitaa La Solo La " Dally Kimoko ".

Hapo kwenye mchicha mwiba nimekuelewa, sasa huku kwenye ''gitaa la solo la dally kimoko'' sijui nani huyu?
 
Hili tifu kama la ZAY B na SISTER P enzi zile za muziki wa kizazi kipya,wakati mwingine haya mambo ni burudani tosha.
 
...mleta mada umeandika porojo nyingi zilizokosa uthibitisho,je,wao wakija kusema walihama Cloudz kufuata malipo mazuri E FM utasema nini?!
 
Hili tifu kama la ZAY B na SISTER P enzi zile za muziki wa kizazi kipya,wakati mwingine haya mambo ni burudani tosha.
 
Ungekuwa Ni Ushindani Mbwiga Angekuwa Anamcheka Ibrahim Masoud " Maestro " Kuwa Kafanya Kazi Clouds Media Kwa Zaidi Hata Ya Miaka 12 Lakini Kaja KUNUNUA Gari Baada Ya Miaka 8 Kazini Wakati Yeye Mbwiga Mbwiguke Kafanya Kazi Sasa Ni Mwaka 1 Tu Tayari Ana GARI? Mkuu Labda Nikuambie Tu YANAYOENDELEA Baina Ya Hawa WATANGAZAJI WA MICHEZO WA HIZI REDIO MBILI Ni MAKUBWA Na Narudia Tena Kama WASIPOKALISHWA Chini Na KUONYWA au KUREKEBISHWA Naiona Hatari Na Watafika Pabaya.
Kununua gari ndio nn? Mbna wabongo mnakuwa na mawazo mgando namna hii jaman
 
Hahahahaa naona mnamchokoza rafiki yangu kipenzi POPOMA,na naona kishaingia na kanzu nyingine ila Sheikh ni yuleyule.
Teh Teh kaka yako ana kila aina ya nguo na ana mfahamu kila mtu kwenye kila tasnia...
 
Unajua clouds ni vipaji na ubunifu na ndio maana wanabamba sana.. Hawa EFm wanakuja vizuri hizi ni mbinu tu za kutafuta attention.. Biashara!
 
Ila Kinachonisikitisha Ni Huu Uwongo Wa Maulid Kitenge Kuwa Hilo Neno La " KAMPA KAMPA TENA " Wao E FM Ndiyo Wamelianzisha ILA Kwa Kuwa Mimi SIPENDI UNAFIKI Na UWONGO Niseme Tu UKWELI Kuwa Aliyekuwa Wa Kwanza Kulianzisha Hilo Neno Hadi Sasa LIMESHIKA Kasi Mpaka Linatumika Sasa Na Watangazaji Wa Michezo Wa Vyombo Vingine Ni Mtangazaji MTUMBUIZAJI Mbwiga Mbwiguke Na Ningemwona Maulid Kitenge Na Wenzake Wa E FM Badala Ya Kufanya MZAHA Nalo Basi Wangekiri tu Japo Kimoyomoyo Kuwa Wamelichukua Kama Siyo Kuliiga Kutoka Kwa Mbwiga Mbwiguke. Kitaaluma Kufanya " Acknowledgement " Siyo KOSA Wala Hakuna AIBU Ila Kujifanya Kuwa Wewe Ndiyo Mwenye Hilo Jambo au Neno Wakati Siyo Kweli Ndiko KUJISHUSHIA HESHIMA Na KUDHARAULIKA Na Wanaojua.
hivi maneno yana hati miliki
 
Unajua clouds ni vipaji na ubunifu na ndio maana wanabamba sana.. Hawa EFm wanakuja vizuri hizi ni mbinu tu za kutafuta attention.. Biashara!
Wanao lalamika ni Clouds na siyo E-FM
 
Hapo anamaanisha NGWENGWE kaka,ohooooo humjui popoma eeh?
Teh Teh kaka yako anamjua kila mwenye ngwengwe nchi hii...huwa nacheka tuu eti gitaa la dalikimoko...
 
Teh Teh kaka yako anamjua kila mwenye ngwengwe nchi hii...huwa nacheka tuu eti gitaa la dalikimoko...
Hahahahahaa mimi kila akitaja hilo gitaa la dali kimoko sina mbavu.
Nashangaa leo hajasema kuhusu Magomeni kwa macheni.....
Maana hayo mawili huyataja sambamba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom